Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Unajua kuna kitu nimegundua asilimia kubwa wanawake wanachangia kutelekezewa watoto hapo sijaona kosa la jamaa hila ni huyo mwanamke anatumia nguvu kubwa kufanya jamaa amtelekeze hii Mimi imenikuta kuna demu kanitangazia nimekataa mtoto na matusi ya nguoni juu
 
Yaani wanamlaumu binti lakini huyo jamaa ni mpumbavu wa kwanza.
 
Huyo binti kakataa 10-20 per day alafu anaenda kuchekelea 150K kwa mwezi, ni maajabu.

Binti hana akili,nia yake ilikua ni kumkomoa jamaa.

Mtaani kuna binti mwingine alikataa laki 3 kwa mwezi kaishia kuambulia 50k ya ustawi wa jamii[emoji23][emoji23]

Hawa mabinti mnao watongoza angalieni utimamu wa akili zao kwanza
 
Jamaa hana akili anatombaje mwalimu bila kondomu waalimu mzunguko wao wa kuzaa ni chap ukimwaga inajibu😂😂😂 apambane sana yaani akomae watoto wakue ila sirudie kula hivi viwalimu
 
Binti hana akili,nia yake ilikua ni kumkomoa jamaa.

Mtaani kuna binti mwingine alikataa laki 3 kwa mwezi kaishia kuambulia 50k ya ustawi wa jamii[emoji23][emoji23]

Hawa mabinti mnao watongoza angalieni utimamu wa akili zao kwanza
Nakaziaaa kaangaika kote huko kutafuta punguzo.

DADA ZANGU, Mwanaume kama anajitoa kuhudumia na unajua hali yake ya kiuchumi sio vizuri kupelekana ustawi wa jamii. Wengi wana huu ukichaa waache madhara ni makubwa kuliko faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…