Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Maswali nilobaki nayo kichwani zaidi Ni utimamu wa akili za huyu mwanamke.

Tatizo lipo hapa 👆👆

Kuna mwanamke mmoja kazaa na jamaa; anadai matunzo na kupewa ila hataki mwanaume amuone mtoto kwa kisingizio kwamba mwanaume hajaenda nyumbani kwa mwanamke kukabidhiwa mtoto rasmi.

Hataki hata kumuonyesha kadi ya mtoto wala tangazo la kuzaliwa, ila matunzo ya mtoto anataka.

Kuna tabia unaweza ukadhani ni mimba inasababisha lakini hapana.

Kuna wanawake wana tabia za mauaji kwa watoto wao.

Hata kama wazazi au mzazi ana makosa, mtoto hapaswi kuingizwa kwenye machafuko baina ya wazazi.
 
Apeleke watoto KWA wazazi wake kama wazazi wanaeleweka, awawekee mdada wa kaz I awahudumie ,avunje aina zote za mawasiliano, aende ustawi aeleze apewe haki ya malezi,
Maana wanawake ni wachawi sana,usikute anapima upepo aongezewe hela


Ni wazi yeye shida yake ni nyumba kubwa na hapo kawatanguliza watoto soon anajiunga nao.

Hapo atakua anasubiri reaction ya mke wa jamaa tu ili yeye acheze her next move.


Akili za concubines duniani pote hazijawahi kuwa tofauti.


Rafiki yake na huyo DP ni Jinga sana.
 
Kwa maana hiyo huoni jamaa Yako katupiwa mkosi, kitendo Cha kutafuta Mwanamke mwingine huku na kazi haieleweki na bado ana mke Hali bado tu huoni?

Mkuu, ikiwa mahusiano ni ya heri lazima mtapendana, katika dhiki mwenza atakuhurumia, na utafanikiwa.

Kama hakuna mtu anayetumia nyota ya jamaa Yako ama aliyeshusha nyota na inamletea mamikosi haya bas niite Mimi Technologist ni MWONGO...

Jamaa Yako anatumika sehemu nyingine, anawavunia uchumi watu wengine...
 

Mwambie jamaa yako ya kwamba huyo mtoto si wake,huyo mtoto ana mababa zaidi ya mmoja
 
Duh! Kimoyomoyo nikajua huyu madam Ni mshari Sana
Sio mshari tu, Bali ana dalili zote za changamoto ya akili, "uwezo wa kufikiri" ,kwa aliye mzima angekuwa mtu wa kushukuru kupangishiwa nyumba nzima na angekuwa mzvumilivu ili mume wake ajipange awe sawa kama awali.
 
Mkuu unataka kusema walimu wa kizazi hiki ni chenga??
Kuna mwalimu wa kizazi hiki ana utimamu wa akili
Nadhani ni tabia ya mtu binfasi haipaswi kujumuisha walimu wote, na sio kada ya Ualimu tu bali kwa kada zote. Kumbuka kale kamsemo ka "watu wa hovyo", "wanavyojiita" kuwa ukitaka "waifu" material basi oa Mwalimu
 
Huyo mwanamke na yule mzazi mwenzie dotto Magari wako so typical. Nashukuru Mungu sijazaa na mwanamke mpumbavu hata mmoja na kama ntazaa nje ya ndoa basi ntahakikisha nimezaa na mwanamke ambaye ni boss mwenye maisha yake timamu.
 
Hawa viumbe ni hatari sana tutumie akili kubwa kuishi nao vinginevyo tutakufa mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…