polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Mh. Rais Samia kurasimisha kupanda bei hadharani kunahamasisha wafanya biashara kupandisha bei hata vitu visivyo hitaji kupandishwa gharama tena wanafanya hivyo kwa makusudi kabisa
Nikuombe mama usipende kuhalalisha hili la bidhaa kupanda bei hadharani kwa kauli na hasa ukizingatia wewe ni rais wa nchi na kiongozi mkuu, kila kauli yako ina impact kubwa sana katika utekelezaji na wakati huo huo unasalitiwa sana kuhusu hilo, wananchi wanaumizwa sana hilo.
Nikutonye jambo mama:
Kuna mawaziri wako hapo unawaamini sana ila wapo na motives za kimya kimya za urais 2025 na wanakuhadaa na wana jikusanyia pesa za hiyo motives yao na hawana uchungu wowote na watanzania kwa sasa kwa sababu wanajua wanacho kifanya.
Mama stuka umezungukwa na mafisi wanao jifanya washauri wako na watu wema kwako nikuombe pitia upya watu wako wa karibu tena wapitie kwa jicho pevu unless uwe hauna mpango wa kuingia tena kwenye kinyanganyiro cha urais 2025.
Nikuombe mama usipende kuhalalisha hili la bidhaa kupanda bei hadharani kwa kauli na hasa ukizingatia wewe ni rais wa nchi na kiongozi mkuu, kila kauli yako ina impact kubwa sana katika utekelezaji na wakati huo huo unasalitiwa sana kuhusu hilo, wananchi wanaumizwa sana hilo.
Nikutonye jambo mama:
Kuna mawaziri wako hapo unawaamini sana ila wapo na motives za kimya kimya za urais 2025 na wanakuhadaa na wana jikusanyia pesa za hiyo motives yao na hawana uchungu wowote na watanzania kwa sasa kwa sababu wanajua wanacho kifanya.
Mama stuka umezungukwa na mafisi wanao jifanya washauri wako na watu wema kwako nikuombe pitia upya watu wako wa karibu tena wapitie kwa jicho pevu unless uwe hauna mpango wa kuingia tena kwenye kinyanganyiro cha urais 2025.