USHAURI: Rais nikuombe usihalalishe kupanda kwa bei kirahisi hadharani unahujumiwa sana

USHAURI: Rais nikuombe usihalalishe kupanda kwa bei kirahisi hadharani unahujumiwa sana

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Mh. Rais Samia kurasimisha kupanda bei hadharani kunahamasisha wafanya biashara kupandisha bei hata vitu visivyo hitaji kupandishwa gharama tena wanafanya hivyo kwa makusudi kabisa

Nikuombe mama usipende kuhalalisha hili la bidhaa kupanda bei hadharani kwa kauli na hasa ukizingatia wewe ni rais wa nchi na kiongozi mkuu, kila kauli yako ina impact kubwa sana katika utekelezaji na wakati huo huo unasalitiwa sana kuhusu hilo, wananchi wanaumizwa sana hilo.

Nikutonye jambo mama:
Kuna mawaziri wako hapo unawaamini sana ila wapo na motives za kimya kimya za urais 2025 na wanakuhadaa na wana jikusanyia pesa za hiyo motives yao na hawana uchungu wowote na watanzania kwa sasa kwa sababu wanajua wanacho kifanya.

Mama stuka umezungukwa na mafisi wanao jifanya washauri wako na watu wema kwako nikuombe pitia upya watu wako wa karibu tena wapitie kwa jicho pevu unless uwe hauna mpango wa kuingia tena kwenye kinyanganyiro cha urais 2025.
 
Mh. Rais Samia kurasimisha kupanda bei hadharani kunahamasisha wafanya biashara kupandisha bei hata vitu visivyo hitaji kupandishwa gharama tena wanafanya hivyo kwa makusudi kabisa

Nikuombe mama usipende kuhalalisha hili la bidhaa kupanda bei hadharani kwa kauli na hasa ukizingatia wewe ni rais wa nchi na kiongozi mkuu, kila kauli yako ina impact kubwa sana katika utekelezaji na wakati huo huo unasalitiwa sana kuhusu hilo, wananchi wanaumizwa sana hilo.

Nikutonye jambo mama:
Kuna mawaziri wako hapo unawaamini sana ila wapo na motives za kimya kimya za urais 2025 na wanakuhadaa na wana jikusanyia pesa za hiyo motives yao na hawana uchungu wowote na watanzania kwa sasa kwa sababu wanajua wanacho kifanya.

Mama stuka umezungukwa na mafisi wanao jifanya washauri wako na watu wema kwako nikuombe pitia upya watu wako wa karibu tena wapitie kwa jicho pevu unless uwe hauna mpango wa kuingia tena kwenye kinyanganyiro cha urais 2025.
Unajisumbua kumshauri Kiongozi mwenye roho mbaya anashadadia RAIA waishi maisha magumu kwake ndio nafsi inapenda
 
Mama yeye hafanyi siasa, Mama anafanya majukumu yake kuongoza nchi.

Yale mazoea ya kufanya Siasa kwenye nafasi aliyonayo Mama yamepita.

IMG_0843.png

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Kwa hili Mama kwa nafasi yake ameteleza sana. Amehalalisha na amepigia debe mfumuko wa bei bila kutambua athari zake. Amehalalisha wafanya biashara wafanye watakavyo sababu " Si mmemsikia, Mama kasema". Lilikuwa ni suala la yeye na wataalam wake, kuweka mkakati wa kukabiliana na hili si kuaminisha umma kuwa hana uwezo nalo.
 
Mbona zanzibar wanatengenezewa mazingira ya maisha mepesi? kuanzia umeme, wamachinga, vyakula, mafuta....SIYO KWAMBA HAJUI ANAFANYA MAKUSUDI KAKUMBUSHA WAFANYABISHARA MARA 3 KUPANDISHA BEI NA WALIKUWA WANASITA HIYO KABLA HATA YA MAFUTA KUPANDA
 
Atamke au asitamke bei zitapanda tu. Bei za bidhaa huwa zinapanda au kushuka kwa sababu ya hali ya uchumi .
 
Mbona zanzibar wanatengenezewa mazingira ya maisha mepesi? kuanzia umeme, wamachinga, vyakula, mafuta....SIYO KWAMBA HAJUI ANAFANYA MAKUSUDI KAKUMBUSHA WAFANYABISHARA MARA 3 KUPANDISHA BEI NA WALIKUWA WANASITA HIYO KABLA HATA YA MAFUTA KUPANDA
Kama nimekuelewa
 
Atamke au asitamke bei zitapanda tu. Bei za bidhaa huwa zinapanda au kushuka kwa sababu ya hali ya uchumi .
Ukielewa utakuja kivingine ila hadi uelewe nadhan kazi ya ziada ifanyike
 
Mama yeye hafanyi siasa, Mama anafanya majukumu yake kuongoza nchi.

Yale mazoea ya kufanya Siasa kwenye nafasi aliyonayo Mama yamepita.
Hapa sio swala la siasa , uongozi wa nchi unahitaji sana psychology na uweze kutumia vema kichwa na hasa kwa nchi kama tanzania iliyo jaa wezi
 
Back
Top Bottom