USHAURI: Rais nikuombe usihalalishe kupanda kwa bei kirahisi hadharani unahujumiwa sana

kwann msimwambie tuu aache kupangiwa baraza la mawaziri pamoja na teuzi hizo anazofanya maana woote hao ni msoga line. pia kuna mtu anaitwa Msanii kasema jambo la ukweli sana kwamba hao wateule wake wanamuharibia sana huku nyumbani. Ila pia mkikutana nae muulizeni yule #MWANAMWEMAWAAFRICA ndio siku hizi kawa #SIMBAWAYUDA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…