peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hata za kusomea nyumbani ni PhDMkuu hizi ni hangover za kawaida kabisa
Kwan PhD za hivyo vyuo zinafundishwa na malaika?
PhD ni PhD tu mkuu provided ni PhD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata za kusomea nyumbani ni PhDMkuu hizi ni hangover za kawaida kabisa
Kwan PhD za hivyo vyuo zinafundishwa na malaika?
PhD ni PhD tu mkuu provided ni PhD
Haahaa kuungaunga ndo nn mkuu?Kama kuna afisaelimu Kata mwenye PhD ya chuo kikuu Cha DSM anyooshe kidole na aseme Yuko Kata gani Tanzania. Tutampigia debe ateuliwe. Pia elimu yake asiwe ameunga unga.
Mkuu PhD zote sawa tu,Punguza maneno mkuu, nimesema mwenye PhD kutoka chuo kikuu Cha DSM anyooshe kidole .
Elimu ya kuunga unga maana yake ni Elimu ya hapa na pale,form 4 tu peke yake unakuta ana vyeti sitaMkuu wangu hii sentensi ni general sana
Elimu yake isiwe ya kuunga unga una maanisha nini?
Civil servant lazima awe anaunga unafanya kazi unaenda kusoma unafanya tena kazi unaenda kusoma hawa wana uzoefu kulikoni hao wa 'one way'
Pili, sitegemei kuwa PhD inatolewa Udsm peke yake nchi hii. Wapo baadhi ninaowajua ni PhD candidates na Masters sio Udsm tu na vyuo vingine
Mwisho lakini si kwa ulazima, nadhani wapimwe mchango wao kwenye utumishi wa umma na kuonekana wanafan wateuliwe na sio vimemo weee kila uchao
Serikali hasa Ummy Mwalimu anajua honourable contribution kwenye maendeleo kutoka kwa hawa watu
Nadhani time is due and the available vaccant is theirs
F4 anakula 4, anaenda Cheti grade A, anaristi F4, anaenda diploma ya ualimu baada ya kufanya mitihani masomo matatu ya kidato cha sita anapata E mbili na F moja. A kwenda chuo kikuu anaanza bachelor ,anarudi kazini anaenda Master anarudi kazini, anaenda PhD.Haahaa kuungaunga ndo nn mkuu?
F4 anakula 4, anaenda Cheti grade A, anaristi F4, anaenda diploma ya ualimu baada ya kufanya mitihani masomo matatu ya kidato cha sita anapata E mbili na F moja. A kwenda chuo kikuu anaanza bachelor ,anarudi kazini anaenda Master anarudi kazini, anaenda PhDHaahaa kuungaunga ndo nn mkuu?
"Ongeza sauti mkuu"Elimu ya kuunga unga maana yake ni Elimu ya hapa na pale,form 4 tu peke yake unakuta ana vyeti sita
Katika nafasi ambazo serikali inapoteza fedha za bure kuwalipa posho ni hawa watu binafsi Kama mdau kwenye sekta ya elimu sioni impact yao kwenye taaluma.Salaam!
HALMASHAURI ndio Ofisi pekee zinazotekeleza Sera na Utendaji wa siku kwa siku wa serikali hasa zile za Mitaa. Kiukweli Maafisa Elimu Kata ndio wanayo mawanda mapana sana kwenye kusimamia shughuli za serikali anzia taaluma kwenye kata zao, miradi ya ujenzi wa majengo ya serikali na kuhamasisha Maendeleo huko Katani na uzoefu wa kushawishi wananchi kwenye Maendeleo kitu ambacho ni Adimu sana kwa sasa.
Uzoefu huo adimu sana wanajua namna ya kusimamia hasa miradi, waajiriwa wa serikali (walimu) shule za Msingi na Sekondari na mwisho ni ule uzoefu walionao kukaa hata maeneo ya vijijini kabisa ambapo Maafisa wengine hawawezi. Hawa ni field officers kweli kweli.
Tatizo la kuwa Maafisa Elimu Kata ni kukosekana kwa Magodfather (tabia inayoota mizizi nchi hii) na watu wa kuwasemeasemea. Lakini kama Madam SSH atapitia uzi huu, hakika hutojuta kuwachagua maafisa hawa kwani wana uwezo mkubwa na wana nidhamu sana za kiutumishi. Kwahiyo kazi ni yake kuwaibua ili wamsaidie kazi na hatimae HALMASHAURI zipae kimaendeleo.
Hivyo, Ofisi za teuzi zikiwa makini Maafisa Elimu Kata ni 'recruiting post' kwa nafasi yoyote ya DED au DAS kwenye ngazi ya halmashauri.
Kila la kheri Madam SSH!
Ilo swali Ni la msingi sanaPhD zenyewe unazungunzia kutoka chuo gani?
Huwezi kumpata Hawa maafisa elimu kata wengi walikua walimu wa primary wakashtuka mapema wakaenda kujiendeleza uwezo mdogo sio Kama jamaa anavyojinadi hapo juu.Kama kuna afisaelimu Kata mwenye PhD ya chuo kikuu Cha DSM anyooshe kidole na aseme Yuko Kata gani Tanzania. Tutampigia debe ateuliwe. Pia elimu yake asiwe ameunga unga.
👍Huwezi kumpata Hawa maafisa elimu kata wengi walikua walimu wa primary wakashtuka mapema wakaenda kujiendeleza uwezo mdogo sio Kama jamaa anavyojinadi hapo juu.
Ulichoulizwa na ulichouliza kama huoni tofauti yàke unatakiwa uishi karibu na MirembeRais wako ana level ya elimu gani?
Mkuu Kama unewahi kurudia mtihani wa level yoyote ndo ukapita basi ndo kuunga unga ukoMkuu wangu hii sentensi ni general sana
Elimu yake isiwe ya kuunga unga una maanisha nini?
Civil servant lazima awe anaunga unafanya kazi unaenda kusoma unafanya tena kazi unaenda kusoma hawa wana uzoefu kulikoni hao wa 'one way'
Pili, sitegemei kuwa PhD inatolewa Udsm peke yake nchi hii. Wapo baadhi ninaowajua ni PhD candidates na Masters sio Udsm tu na vyuo vingine
Mwisho lakini si kwa ulazima, nadhani wapimwe mchango wao kwenye utumishi wa umma na kuonekana wanafan wateuliwe na sio vimemo weee kila uchao
Serikali hasa Ummy Mwalimu anajua honourable contribution kwenye maendeleo kutoka kwa hawa watu
Nadhani time is due and the available vaccant is theirs
Tatizo ni nini hapo?F4 anakula 4, anaenda Cheti grade A, anaristi F4, anaenda diploma ya ualimu baada ya kufanya mitihani masomo matatu ya kidato cha sita anapata E mbili na F moja. A kwenda chuo kikuu anaanza bachelor ,anarudi kazini anaenda Master anarudi kazini, anaenda PhD
"Ongeza sauti mkuu"
Huna tofauti na Ndugai, hujaelewa ninalenga niniUlichoulizwa na ulichouliza kama huoni tofauti yàke unatakiwa uishi karibu na Mirembe
Ndio jibu lake halisiMkuu Kama unewahi kurudia mtihani wa level yoyote ndo ukapita basi ndo kuunga unga uko
i support you lakini sio kila mweye degree au masters au hata phd ni holder wa kweli, katika watu wengi kuna weye hizo degrees ila wako nazo tu kwa makaratasi na sio kwa kichwa, nikuulize waziri wa finance nchemba angalia ile uteuzi wa kina hamisa mobeto, je degrees za mwigulu ni za kweli???????Kwenye thread yangu nimelizingatia sana hilo
Elimu na swala la Msingi
Maana ya Afisa Elimu Kata maana yake lazima aanzie DEGREE na kuendelea
Wapo Maafisa Elimu kata wana Masters mpaka PhD
Tatizo ni kutotambuliwa kwa hawa jamaa ila uwezo wanao na ndio 'hub' huko katani kwenye maendeleo
Mtu anaeweza kuendesha kata kimaendeleo hawezi kushindwa kuendesha HALMASHAURI
Wanao weredi mkubwa sana ila uzoefu na elimu zao ndivyo vizingatiwe naamini watamsaidia sana Rais
Kimsingi wana 'Peculiar Character (PC)'
Chadema watabishaHuna tofauti na Ndugai, hujaelewa ninalenga nini
Acheni ulemavu wa akili, sio kila kitu muingize u vyamaChadema watabisha