balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
- Thread starter
- #81
Haki yako inapoishia ndipo haki ya mwenzako inapoanziaMtetee ila zungumza na watu, huyo jamaa yenu hakufaa sio Afisa Elimu Kata tu bali hata kuwa Mtumishi wa umma. Nenda Ulemo uchukue data zake, Kisha nenda Mtekente na Ndago secondaries alizowahi kufanya kazi. Pia ukimwona mwanafunzi yeyote aliyewahi kumfundisha mdodose Kisha let's mrejesho.