Ushauri: Rais Samia, kwenye teuzi za DED's na DAS's ifae sana watoke kwa Maafisa Elimu Kata (AEK's) wenye sifa wapo wengi

Mkuu katika hili sina research yoyote ya kutosha kukujibu

Hivyo sina haki ya kuzungumza
 
Mkuu uwe una fikiri Kwanza then unaandika
 
Ummy amewadanganya baadhi ya wakuu wa shule Tanga Jiji kama atawapigia chapuo.
Yupo mkuu wa shule mmoja aliambiwa aende Kigoma kwenye kampeni za uchaguzi mdogo atampigia pande lakini kwenye u_DC jamaa hajaamini amepatwa na kihoro
 
Mkuu katika hili sina research yoyote ya kutosha kukujibu

Hivyo sina haki ya kuzungumza
no no no inever wanted you to even answer me pls kuhusu nchemba, but ukiangalia mtu hujulikana kaa ana elimu kupitia yale maamuzi anafanya, kubuka magufuri alijiita phd holder, angalia zile alikuwa anafanya hata wa la 7 ni better, hope my point is taken sir, thanks
 
Ongopa msomi anayesomea PhD akiwa mbunge au waziri. Hapo pesa inaongea. Kuna wenye Masters, thesis imeandikiwa makerere au Uganda, ikaja kusahihishiwa Tanzania, na mteja hajui kilichoandikwa kwenye hiyo thesis. Na degree anapewa, anajiita msomi .
 
Mkuu Kama unewahi kurudia mtihani wa level yoyote ndo ukapita basi ndo kuunga unga uko
Usikariri mkuu!!

Unaporudia kitu chochote sio lazima iwe mitihani tu inamaanisha unataka ufanye kwa Ufasaha

Walioweka nafasi ya kurudia mitihani fulani fulani sio wajinga na ndio maana mitihani mingine hairudiwi katika kipindi chote mfano mitihani ya darasa la saba

Unaweza usirudie mitihani ukadhani wewe ni genius lakini ukakuta mambo mengine unarudia kila kukicha na wenzako hawarudii kama wewe mfano mzuri ni kurudia rudia kuoa, uchumi mbaya, kuomba Ajira kila uchao kwa watu wenye akili waliotengeneza ajira, kwenda kufanya kazi za watu kama kibarua na madegree yako n.k

Akili sio kufaulu mitihani peke yake mkuu
 
Mkuu nimepokea

Ila simuhukumu ila matendo ya waziri ni zaidi ya hukumu
 
Watoto wako wanafundishwa na Walimu wa Nchi hii hii?
 
Unasema Afisa elimu kata ni hub ya Maendeleo huko kwenye Kata are you serious?

Unaelewa Kazi ya Afisa Maendeleo Kata (CDO)? na hawa wote wako chini ya Mtendaji Kata(WEO).

Mtu anayefanyakazi sawa na Mkurugenzi ni Mtendaji Kata kama hujui maana huyu ndo msimamizi Mkuu wa Maendeleo Katani na Mkuu wa watumishi wote kwenye Kata yake.
 
Hata kama mwalimu au afisaelimu Kata ana PhD bosi wake ni mtendaji wa Kata regardless mtendaji wa Kata ana elimu gani.
 
Mkuu laiti ungeelewa unalolisema usingelisema
Nchi hii kuna mahali pana Afisa Elimu kata ila weo anakaimu
Msome kwanza miongozo ndio utajua Afisa Elimu kata ni nani
Siwaongelei Waratibu Elimu Kata
 
Naona unachanganya kati ya Afisa Mtendaji Kata (WEO) na Mratibu Elimu Kata (MEK)
 
Naona unachanganya kati ya Afisa Mtendaji Kata (WEO) na Mratibu Elimu Kata (MEK)
Sijawahi kuchanganya na haitatokea

Ni sawa na kuwa jambazi kuu kwenye movie halafu unavaa barakoa haiwezekani
 
Kwani shida hapo Nini? Kuna njia nyingi za kufikia huko, mbona jpm alienda kwa mtindo huohuo..?
 
Nakumbuka nikiwa chuo kikuu undergraduate Kuna jamaa kila mwaka ilikuwa lazima abebe kozi, na akirudia hyo kozi lazima aibuke na B+ au A kabisa, kwa Sasa jamaa anachukua PhD japani.Ni kweli kurudia kupo
 
Sawa Afisa Elimu Kata ya Kidaru, Tumekuelewa. Lakini nitoe onyo yule Afisa Elimu Kata ya Ulemo anafanya Mapenzi hadi na wanafunzi wa secondary, hafai hata kuwa mwenyekiti wa Kitongoji.

Tena muonyeni Sana, yule hakufaa hata kuwa Mtumishi wa umma huyu Mr Mmanyi. Jamaaa ni bazazi hatari. Anatembea pia na wake za watu mitaani.

Huyu naye tumpe UDED ilihali taarifa zake tunazo ktk vyombo vyetu nyeti?
 
No research, no right to speak
 
No research, no right to speak
Mtetee ila zungumza na watu, huyo jamaa yenu hakufaa sio Afisa Elimu Kata tu bali hata kuwa Mtumishi wa umma. Nenda Ulemo uchukue data zake, Kisha nenda Mtekente na Ndago secondaries alizowahi kufundisha. Pia ukimwona mwanafunzi yeyote aliyewahi kumfundisha mdodose Kisha leta mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…