Ushauri: Rais Samia mpe kazi Prof. Anna Tibaijuka, ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi

Ushauri: Rais Samia mpe kazi Prof. Anna Tibaijuka, ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
1000063613.jpg


Ushauri wangu kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia ampe tena kazi Prof Anna Tibaijuka kwasababu ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi akili kubwa kama hii isistaafu mapema

Prof Tibaijuka ana uwezo mkubwa sana wa masuala ya utumishi vilevile anaweza kuwa kama mama mwenye busara

Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikimfuatilia katika speech zake niligundua ana akili sana lakini nikasikitika kuona hayupo tena kwenye mfumo wa Serikali

Huyu Profesa Tibaijuka ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya nje na ndani ya nchi na anaweza kutufikisha mahali tunapostahili

Binafsi nashauri apewe angalao hata Wizara moja hakika tutavuna kitu kutoka kwake
 
Mimi sioni tena haja ya Tibaijuka Kuingia kwenye mfumo wa Serikali yani Kuwa mtendaji
Mimi binafsi namfurahia Ivo kuwa Nje na Kufanya Constructive Criticism inatusaidia Akiwa ndani kuna Mambo hatayasema mwanche akae uko Uko nje ya Mfumo ili awe kama Jicho kwenye issue za Check and balance
 
Al
Ushauri wangu kwa raisi wa Tanzania Dr Samia ampe tena kazi Prof Anna Tibaijuka kwasababu ana uzoefu mkubwa sana wa maswala ya utumishi akili kubwa kama hii isistaafu mapema

Prof Tibaijuka ana uwezo mkubwa sana wa maswala ya utumishi vilevile anaweza kuwa kama mama mwenye busara

Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikimfuatilia katika speech zake niligundua ana akili sana lakini nikasikitika kuona hayupo tena kwenye mfumo wa Serikali

Huyu Prof ana uzoefu mkubwa sana wa maswala ya nje na ndani ya nchi na anaweza kutufikisha mahali tunapostahili

Binafsi nashauri apewe angalao hata Wizara moja hakikia tutavuna kitu kutoka kwake
ikuwa wizara ya Ardhi alichokifanya cha maana ni nini? Huyu si ndiyo alisema milioni kumi hela za mboga? Dump her in toilet pit
 
Al
ikuwa wizara ya Ardhi alichokifanya cha maana ni nini? Huyu si ndiyo alisema milioni kumi hela za mboga? Dump her in toilet pit
Hata hao wengine hakuna walichofanya kwasababu kesi za ardhi zimejaa Mahakamani, fikeni Mahakamani muone
 
Alisema mwenyewe kuwa ni ngumu kwa academicians au diplomats kama yeye kufanya vizuri kwenye mifumo iliyopo kwa sababu uwezo ama Cv hailusaidii kuliko politics..

Naamini kwa udhoefu wake mbali na shule alizonazo, naamini anaweza kuanzisha hata taasisi na ikafanya makubwa kuliko kuwa waziri. Mwisho wa siku impact ndio muhimu
 
Ushauri wangu kwa Rais wa Tanzania Dkt. Samia ampe tena kazi Prof Anna Tibaijuka kwasababu ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi akili kubwa kama hii isistaafu mapema

Prof Tibaijuka ana uwezo mkubwa sana wa masuala ya utumishi vilevile anaweza kuwa kama mama mwenye busara

Kwa miaka mingi sana nimekuwa nikimfuatilia katika speech zake niligundua ana akili sana lakini nikasikitika kuona hayupo tena kwenye mfumo wa Serikali

Huyu Profesa Tibaijuka ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya nje na ndani ya nchi na anaweza kutufikisha mahali tunapostahili

Binafsi nashauri apewe angalao hata Wizara moja hakikia tutavuna kitu kutoka kwake
Unajua umri wake àu uñaropoka tuu?
 
Kwa Elimu yake kubwa anafaa kupewa urais.Tofauti na hiyo itakuwa ni kumdhalilisha.Tumuombe mama ampishe hiyo nafasi ili kizimkazi ipumzike.
Huyu Prof ana akili sana combination ya raisi Samia + Anna Tibaijuka tutapata kitu, ni Wanawake shupavu sana
 
Kwani JK uwezo wàke wa akili umepungua?; Kastaafu mwaka wa 9 sasa.
Kustaafu kwa raisi wao wanafuata taratibu za Katiba kwamba ni maiaka 10 lakini haimaanishi wanakuwa wamechoka au kupungukiwa uwezo wa akili, kwa Prof Anna Tibaijuka yeye ana sifa kwasababu kuna vyeo vya kuteuliwa
 
Huyu Hana ubunifu zaidi ya kupeleka nchi kwa wazungu...Akili yake hauwezi kubuni kitu mpaka wazungu wakati huo waafrika wengi wanaenda kujitegemea...

Kiufupi hamna elimu zaidi ya ustaarabu wa wazungu.
 
Back
Top Bottom