kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
bure! mwaka huu asaidie kutafuta kura
Sifazake
1) ana PHD 15 13 zadarasani 3 zaheshima
Sifazake
1) ana PHD 15 13 zadarasani 3 zaheshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapoHuyu Prof ana uwezo mkubwa sana wa kuongoza na kufundisha sio wa mchezo mchezo kama baadhi ya watu wanavyomchukulia
Aligawana na mawaziri wenzie yale mabilioni ya IPTL halafu alipoulizwa akasema ilikuwa ni hela ya mboga tuAcha ujinga uyu mama akupewa uongoz ndan ya serikali?? Alifanya nini
Kiongozi wa namna hiyo anaweza kuongoza nchi na ikapiga hatua? Kama aliweza kuhongwa pesa za escrow ataweza kuongoza wizara? Amekuwa mbunge wa muleba nini amekifanya muleba cha maana? Amekuwa wizara ya Ardhi niambie alichokifanya cha maanaSwala la kusema ni hela ya mboga ni kawaida sana kwasababu sifa ya kiongozi lazima uwe na uwezo wa fedha, huwezi kuongoza watu wakakuelewa kama ni maskini sana lakini kiongozi akiwa na uwezo wa fedha inampa sifa, kashfa ya hela ya mboga sio kosa kusema hivyo alitaka kuonesha uwezo wake wa fedha kwamba ana nguvu kubwa ya kiuchumi na hiyo ni sifa ya kiongozi
Mfano Marekani hawataki kiongozi maskini
mbafu watu wanakufa kwa kukosa pesa ya matibabu 20000 halafu yeye anasema 10M hela ya mboga?Ile kauli ya hela ya mboga binafsi sioni kama ni vibaya kwasababu sifa ya kiongozi mzuri lazima awe na uwezo mkubwa sana wa fedha na sio maskini, ndiyo maana mataifa makubwa kama Marekani wanawapa vyeo viongozi wenye uwezo mkubwa wa fedha
Uongo!Huyu Prof ana akili sana combination ya raisi Samia + Anna Tibaijuka tutapata kitu, ni Wanawake shupavu sana
Mmeshindwa kabisa kumsamehe kwa kauli hiyo aliyoteleza? Nafkiri alitamka kwa mihemko alipokuwa amekasirika, Mungu akishikilia makosa ya watu namna hii hakuna hata mmoja atakayeiona pepoP
Kiongozi wa namna hiyo anaweza kuongoza nchi na ikapiga hatua? Kama aliweza kuhongwa pesa za escrow ataweza kuongoza wizara? Amekuwa mbunge wa muleba nini amekifanya muleba cha maana? Amekuwa wizara ya Ardhi niambie alichokifanya cha maana
+ TuliaHuyu Prof ana akili sana combination ya raisi Samia + Anna Tibaijuka tutapata kitu, ni Wanawake shupavu sana
Shangazi yake.Una undugu naye?
Teleza alikuwa sahihi? Hatumtaki labda aongoze buhaya empireMmeshindwa kabisa kumsamehe kwa kauli hiyo aliyoteleza? Nafkiri alitamka kwa mihemko alipokuwa amekasirika, Mungu akishikilia makosa ya watu namna hii hakuna hata mmoja atakayeiona pepo
CrapIle kauli ya hela ya mboga binafsi sioni kama ni vibaya kwasababu sifa ya kiongozi mzuri lazima awe na uwezo mkubwa sana wa fedha na sio maskini, ndiyo maana mataifa makubwa kama Marekani wanawapa vyeo viongozi wenye uwezo mkubwa wa fedha
Ile interview ya Charles right??, nili msikiliza pia.Alisema mwenyewe kuwa ni ngumu kwa academicians au diplomats kama yeye kufanya vizuri kwenye mifumo iliyopo kwa sababu uwezo ama Cv hailusaidii kuliko politics..
Naamini kwa udhoefu wake mbali na shule alizonazo, naamini anaweza kuanzisha hata taasisi na ikafanya makubwa kuliko kuwa waziri. Mwisho wa siku impact ndio muhimu
Ya salama na. Kwangu mimi ile ni moja ya interview bora kabisa maana mama Anna aliongea vitu vingi vya kimaisha.Ile interview ya Charles right??, nili msikiliza pia.
ana Jenga hoja na kusema ukweli bila ya kuyumba yumba.
😂Wassira analea wajukuu CCM!
Nita icheki kakaYa salama na. Kwangu mimi ile ni moja ya interview bora kabisa maana mama Anna aliongea vitu vingi v
Nlomo uliponza kichwa........mdigo udigonii💯
Kuna yule aliyekuwa kitengo cha Afya Ummi nae alipanda sana chat sijui walimpeleka wapi