Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani million 10 sio Hela ya mboga?Al
ikuwa wizara ya Ardhi alichokifanya cha maana ni nini? Huyu si ndiyo alisema milioni kumi hela za mboga? Dump her in toilet pit
Kuhusu nini?Awe mshauri wa Rais
Pamoja... Ya Charles pia nisogezee link bro 🙏🏽Nita icheki kaka
ya Charles niliona wasafi channel tu bro.Pamoja... Ya Charles pia nisogezee link bro 🙏🏽
Cheki msasa tv Kuna interview ziko deep piaPamoja... Ya Charles pia nisogezee link bro 🙏🏽
Kama kwako ni hela ya mboga ila kuna milioni yq WaTanzania kwao hiyo hela hawajawahi kuiona kabisaKwani million 10 sio Hela ya mboga?
Msasa tv au msasa podcast ya hisiaCheki msasa tv Kuna interview ziko deep pia
msasa podcast ya yule Elisha, search mwanajeshi by msasa uta Iona simple tuMsasa tv au msasa podcast ya hisia
Poa Poa...msasa podcast ya yule Elisha, search mwanajeshi by msasa uta Iona simple tu
Samia ana ushupavu gani nawewe!.unawaelewa watu shupavu? Au hujui maana ya shupavuHuyu Prof ana akili sana combination ya raisi Samia + Anna Tibaijuka tutapata kitu, ni Wanawake shupavu sana
Kwanza kipindi chake cha uwaziri alifanya nini cha maana?Alishakua waziri alitoa mchango wake na sasa anaweza kubaki kuwa advisor akiwa nje ya mfumo kupitia hizo critic
Wanampenda kina nani?Wanampenda sana ndiyo maana wamempa heshima ya mama
Aliyemwita ni Wananchi mpaka wachukue uamuzi huo inamana kwamba ni shupavu na wamemkubali
Unaota wewe.Wananchi