Ushauri: Rais Samia mpe kazi Prof. Anna Tibaijuka, ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi

Ushauri: Rais Samia mpe kazi Prof. Anna Tibaijuka, ana uzoefu mkubwa sana wa masuala ya utumishi

Huyu ajuza Tibaijuka Hana lolote ila debe tupu tu na utapeli wa maslahi.
Tanzania inataka wapewe Fursat vijana wenye damu moto ya ufanisi, ubunifu na uzalendo.
Leave dead woods alone.
 
Huyu Prof ana akili sana combination ya raisi Samia + Anna Tibaijuka tutapata kitu, ni Wanawake shupavu sana
Samia ana ushupavu gani nawewe!.unawaelewa watu shupavu? Au hujui maana ya shupavu
 
Alishakua waziri alitoa mchango wake na sasa anaweza kubaki kuwa advisor akiwa nje ya mfumo kupitia hizo critic
 
Samia ana ushupavu gani nawewe!.unawaelewa watu shupavu? Au hujui maana ya shupavu
Wanampenda sana ndiyo maana wamempa heshima ya mama
Aliyemwita ni Wananchi mpaka wachukue uamuzi huo inamana kwamba ni shupavu na wamemkubali
 
Back
Top Bottom