Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wazii ngoja akamzimikie cappuccino tunda 😂😂😂Real mzee wenyewe wanadai ukishindwa kuthamini hisia za kweli zinapopatikana ipo siku utazitafuta hutazipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazii ngoja akamzimikie cappuccino tunda 😂😂😂Real mzee wenyewe wanadai ukishindwa kuthamini hisia za kweli zinapopatikana ipo siku utazitafuta hutazipata
Huyu bwege bado huu mchezo wa mapenzi ajaujua. Huko atakapoangukia yeye sasa atavaa chupi kichwani. [emoji23][emoji23][emoji23] Ni swala la muda tu!!! Usiombe upende zaidi kuliko unavyopendwa...show itakuwa kali!
hujaelewa ni kheri kuvumila kuliko kuvumiliwaHakuna heri yoyote,ukishaamua kukaa na mtu jua kila kitu ambacho wewe unahitaji na yeye anahitaji vile vile, ukijaribu kujidanganya kwamba utaweza kuvumilia si kweli utafika mahali utachoka na utakua umepoteza muda wako.
Na ndo circle ya love ilivo unapopendwa hupendi... Unapopenda sasa ndo huitajiki kabisaHuyu bwege bado huu mchezo wa mapenzi ajaujua. Huko atakapoangukia yeye sasa atavaa chupi kichwani. 😂😂😂 Ni swala la muda tu!!! Usiombe upende zaidi kuliko unavyopendwa...show itakuwa kali!
Unajikuta unapambana kumfurahisha mtu ambaye anakuona option. Hii ni mbaya zaidi kwetu wanaume sababu mwanamke wako kuna possibility ya 90% atakazwa nje tu na watu wampendao.hujaelewa ni kheri kuvumila kuliko kuvumiliwa
Na ndo circle ya love ilivo unapopendwa hupendi... Unapopenda sasa ndo huitajiki kabisa
Atajua hajui awaulize wenzieWazii ngoja akamzimikie cappuccino tunda 😂😂😂
Af litakuja humu dah mpenzi wangu hapokei simu, mara antafuti hadi nimuanze mimi, anaomba hela sana 😂😂😂Atajua hajui awaulize wenzie
Je huyo kama ni dada yakoDawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake. Tafuta mwanamke unayempenda uishi nae na mama mtoto akijua atajiengua mwenyewe
Sasa mtoto wa miezi 6 ingewezekana vipi kubaki naye?Sasa umemuacha aondoke na binti ako?!ujinga wa kutotumia condom wakati unajua huna malengo wala mapenzi kwa wanawake zenu ...unapelekea watoto wengi kulelewa na mama/baba wa kambo(hii ni mbaya).
Na hapo umejifikiria wewe umesahau kuna mtoto ako.
Mapenzi sio huruma. Ni bora uishi na mtu unayempenda katika maisha yako kuliko usiyempenda. Hata angekuwa dada yangu siwezi kulazimisha aishi na mtu ambaye hampendiJe huyo kama ni dada yako