mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Wengi wa Wanawake hupendwa na Kuanza kubadirika mkiwa kwenye Mapenzi,Baadae ndio matokeo ya Kuachana au Kumchukia Mwanamke huanza.Wengi wa Ke ndio Chanzo cha sisi Me Kubadiri misimamo yetuIla wanaume kama humpendi mtu kwanini umtongoze kwanini uamshe hisia za mapenzi kwenye moyo wake then baadae unamuacha ateseke it's very sad acheni kuplay na hisia za watu jamani