mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari za kwenu wadau.
Kuna jamaa moja hivi rafk yangu ameniomba ushauri juu ya Hilo.
Alimtongoza demu moja hivi huyo demu akamwambia "Sina shida na hilo but you know that my mom n mchepuko wa mzee wako? Na wamezaa watoto wa wili?".. but yeye demu sio miongoni mwa hao watoto,na kimila kwa kuwa yule mwanamke bado kaolewa kwake na yupo na mume wake wale watoto hawatahesabika kuwa wa mzee wa huyu mshikaji wangu....
Mimi aliniomba ushauri aendelee au la?
Mm nilimwambia tafuna mbususu hiyo..
Wadau mnaonaje?
Kuna jamaa moja hivi rafk yangu ameniomba ushauri juu ya Hilo.
Alimtongoza demu moja hivi huyo demu akamwambia "Sina shida na hilo but you know that my mom n mchepuko wa mzee wako? Na wamezaa watoto wa wili?".. but yeye demu sio miongoni mwa hao watoto,na kimila kwa kuwa yule mwanamke bado kaolewa kwake na yupo na mume wake wale watoto hawatahesabika kuwa wa mzee wa huyu mshikaji wangu....
Mimi aliniomba ushauri aendelee au la?
Mm nilimwambia tafuna mbususu hiyo..
Wadau mnaonaje?