Ushauri tafadhali Kutoka Jf,, mapenzi changamoto

Ushauri tafadhali Kutoka Jf,, mapenzi changamoto

1. Mmama kaolewa, ana mume.

2. Mmama huyo akachepuka na somebody X hadi kuzaa watoto wawili kimya kimya (yaani mimba awamu mbili nje ya ndoa), hadi binti mkubwa wa mmama huyo 'anafahamu' hiyo scandal ya mama yake kwa somebody X !!!!

3. Binti wa mmama now anataka kumpa mbunye kijana wa somebody X.
______________

Uduwanzi duwanzi tu kila kona... si ndoani, si batani.

-Kaveli-
Kwa hiyo somebody x amekuwa akigonga mbuye ya somebody y kwa approximately miaka 4 au zaidi coz hatujui watoto wana umri gani huku somebody y akijua ni watoto wake. Ni hatari kweli, huyu shetani aliyepewa dhamana kuhakikisha vikojoleo vinatumika isivyo sahihi ana PhD ya kufa mtu.
 
Kwa hiyo somebody x amekuwa akigonga mbuye ya somebody y kwa approximately miaka 4 au zaidi coz hatujui watoto wana umri gani huku somebody y akijua ni watoto wake. Ni hatari kweli, huyu shetani aliyepewa dhamana kuhakikisha vikojoleo vinatumika isivyo sahihi ana PhD ya kufa mtu.
Kuna watu huenda wanalishwa mizizi mzee ni for more 5 years wapo on relationship
 
1. Mmama kaolewa, ana mume.

2. Mmama huyo akachepuka na somebody X hadi kuzaa watoto wawili kimya kimya (yaani mimba awamu mbili nje ya ndoa), hadi binti mkubwa wa mmama huyo 'anafahamu' hiyo scandal ya mama yake kwa somebody X !!!!

3. Binti wa mmama now anataka kumpa mbunye kijana wa somebody X.
______________

Uduwanzi duwanzi tu kila kona... si ndoani, si batani.

-Kaveli-
Ngumu kuimeza
 
Huyo Ni wewe mwenyewe unasingizia rafiki!! Hicho unachofikiria kufanya we fanya tu cos hata tukikushauli usile hiyo mbususu we utakula tu kwani umeshadhamilia kufanya hivyo.
 
Sijaelewa story hv nimelewa au
Duh,,,,Mama G ameolewa na Baba G. ,,Baba K anachepuka na mama G na wamezaa watoto F na H,,,K alimtongoza G akaambiwa mm Sina shida but you know that F na K n watoto wa baba ako?

Ushauri K ale mbususu ama assume kuwa G nae ni ndugu yake?
 
Huyo Ni wewe mwenyewe unasingizia rafiki!! Hicho unachofikiria kufanya we fanya tu cos hata tukikushauli usile hiyo mbususu we utakula tu kwani umeshadhamilia kufanya hivyo.
Jenga Imani na mm ,,sinaga unafiki
 
Habari za kwenu wadau.
Kuna jamaa moja hivi rafk yangu ameniomba ushauri juu ya Hilo.

Alimtongoza demu moja hivi huyo demu akamwambia "Sina shida na hilo but you know that my mom n mchepuko wa mzee wako? Na wamezaa watoto wa wili?".. but yeye demu sio miongoni mwa hao watoto,na kimila kwa kuwa yule mwanamke bado kaolewa kwake na yupo na mume wake wale watoto hawatahesabika kuwa wa mzee wa huyu mshikaji wangu....

Mimi aliniomba ushauri aendelee au la?
Mm nilimwambia tafuna mbususu hiyo..

Wadau mnaonaje?
Kama siyo Dada yake ,amtafune tu.
 
Back
Top Bottom