Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Swala la uaminifu lina nguvu katika kipengele za kutembea "kuiba" cash.
Kujiunga na kuweza kunufaika na huduma ya mikopo kwa laini ya biashara ni madhaifu ya mfumo wa voda katika kulinda wamiliki wa laini hizo za biashara.
Wewe ndio una uelewa duni sana juu ya wajibu wa makampuni ya simu kuweka "control" zenye tija na nguvu kulinda watu walioamua kuwekeza katika biashara ya kipesa.Uelewa wako ni duni sana ,unajidai kuuliza maswali ili yaonekane ni logic questions kumbe ni upupu,wewe ndo ulimpa access huyo msimamizi wa Laini Yako na ukampa password,Sasa unadhani voda wana vifaa vya kujua kuwa huyu anayekopa ni mmiliki wa Laini au siye!?
Jichanganye kuwashitaki waje wakufirisi Hadi uhame mtaa,,mfano Mimi Laini yangu ya voda inakopesheka Hadi sh 2M Sasa siku nikikuta mtu kaikopa hiyo Hela ni washitaki vodacom au mtu niliyempa access ya Laini yangu?
Kuna haja ya kuanzisha vyuo vya kukuza uelewa Kwa watanzania
Mm haya makampuni ya simu tangu yalipotumiwa kumuua Tundu Lissu na kumfuatilia Kabendera, sina hamu nayo tena. Haya makampuni ni zaidi ya magaidi.Sitaki salamu na mtu!
Kijana wangu wa dukani kaniibia pesa zote kasepa.
Maumivu zaidi line zangu za Vodacom zimetumika kukopa milion 2.8 bila ridhaa yangu. Hii pesa ina riba kubwa kila siku sh 20500
Nimeenda voda kuwaomba walau wasimamishe riba sijawaelewa hawaeleweki. Sasa nnampango wa kufungua kesi.
Inakuwaje line yangu ya biashara aweze kukopea mtu mwingine?
Mimi huduma niliyosajiliwa kwenu ni pamoja na hiyo ya kuomba mikopo?
Hamjui kuwa kwenye viduka vyetu tunafanya kazi na watu wa mshahara?
Uthubutu wa kukopesha ovyo mmeupata wapi?
Kumuamini swala moja, kukosekana kwa control ni swala lingine. Malalamiko ni juu ya kukosekana kwa control.Uaminifu Hapo kwèñye cash tuu hata kwèñye Float.
Mpaka umemuajiri Mtu ukampa password kuendesha biashara yako ya uwakala WA mpesa au tigopesa au Airtelmoney NI kwamba umemuamini.
Huo si mkopo wa kawaida bali ni mkopo kwa mawakala wakiishiwa float. Ni huduma inapatikana kwa mawakala na haipo kwa bahati mbaya ni product yao kwa mawakalaSwala la uaminifu lina nguvu katika kipengele za kutembea "kuiba" cash.
Kujiunga na kuweza kunufaika na huduma ya mikopo kwa laini ya biashara ni madhaifu ya mfumo wa voda katika kulinda wamiliki wa laini hizo za biashara.
Vyovyote unavyoielezea haiondoi ukweli kuwa kuna madhaifu katika kutekeleza hilo. Unapokuja na product mpya, lazima waje na suluhu kulinda wamiliki halali wa biashara hizo. Hizo ni laini za biashara, si jambo la kushangaza mtu zaidi ya mmiliki kuendesha laini hiyo. Kinachotakiwa ni mbinu stahiki katika ulinzi.Huo si mkopo wa kawaida bali ni mkopo kwa mawakala wakiishiwa float. Ni huduma inapatikana kwa mawakala na haipo kwa bahati mbaya ni product yao kwa mawakala
Una uhakika na honga?Si ukomae na kesi ya wizi iliyowazi kuliko kuendesha kesi nyingine usiyojua hata kanuni zake, Kadiri muda unavyozidi dogo anazidi kuitafuna na kuhonga, anazidi kutafuta mbinu za kukukwepa.
Upepo utageuka, una kesi yako ya madai, voda nao wana kesi na wewe ya utapeli.
Kama unamwamini mtu unampa line yenye float ya mamilion na anatuma kwa wateja kwa kuweka pin basi ina maana unamwamini anaweza kukopa float.Vyovyote unavyoielezea haiondoi ukweli kuwa kuna madhaifu katika kutekeleza hilo. Unapokuja na product mpya, lazima waje na suluhu kulinda wamiliki halali wa biashara hizo. Hizo ni laini za biashara, si jambo la kushangaza mtu zaidi ya mmiliki kuendesha laini hiyo. Kinachotakiwa ni mbinu stahiki katika ulinzi.
Ina maana kwenye hiyo hudumaHuo si mkopo wa kawaida bali ni mkopo kwa mawakala wakiishiwa float. Ni huduma inapatikana kwa mawakala na haipo kwa bahati mbaya ni product yao kwa mawakala
Hiyo biashara ulikuwa unaiendesha wewe mwenyewe binafsi au ulikuwa msimamizi mmiliki wakati aliyekuibia akichakata madili ya kuzalisha mali?Namjua ila ndio keshaniibia.
Hili lipo kwa wenye mamlaka hayo (polisi)
Lawama zangu kwa voda ni iweje line niliyosajili kwa NIDA yangu, LESENI YA BIASHARA yangu TIN number yangu.
Alafu mfanyakazi wangu aweze kukopea bila mimi kuwa na taarifa?
Unatoaje milioni hizo bila uthibitisho kuwa mimi mteja wako ndiye ninayekopa?
Na wewe kwanini unaweza kumuamini mfanyakazi wako pasipo kuchukua tahadhari na bila kuwa na closer monitoringNamjua ila ndio keshaniibia.
Hili lipo kwa wenye mamlaka hayo (polisi)
Lawama zangu kwa voda ni iweje line niliyosajili kwa NIDA yangu, LESENI YA BIASHARA yangu TIN number yangu.
Alafu mfanyakazi wangu aweze kukopea bila mimi kuwa na taarifa?
Unatoaje milioni hizo bila uthibitisho kuwa mimi mteja wako ndiye ninayekopa?
Mkuu hiyo huduma iko hivi. Kuna wakati kama wakala unaweza kujikuta una cash lakini huna float, sasa mawakala huwa wanabadilishana float unakuta una wakala unamjua labda unamtumia tigo yeye anakutumia ya voda na ndio maana wana magroup yao. Hii si official ni njia watu waligundua kuweza kuepuka kwenda kudeposite pesa kila mara.Ina maana kwenye hiyo huduma
Kwenye kuconfirm hakuna taarifa mhusika anapata kwamba ameomba mkopo
Wasajili line mbili za mhusikaMkuu hiyo huduma iko hivi. Kuna wakati kama wakala unaweza kujikuta una cash lakini huna float, sasa mawakala huwa wanabadilishana float unakuta una wakala unamjua labda unamtumia tigo yeye anakutumia ya voda na ndio maana wana magroup yao. Hii si official ni njia watu waligundua kuweza kuepuka kwenda kudeposite pesa kila mara.
Sasa voda wao wakaja kuwa ukiishiwa float kama wakala unaweza kukopa float kwa hiyo line yako. ukirudisha ndani ya saa 10, makato ni madogo sana ila yakizidi makato ndo yanakuwa makubwa kidogo na wanaikata pale unapoweka floaat, au mtu akija akatoa pesa.
Sasa zamani line zilikuwa mbili, ya kuendesha biashara nyingine ya kufuatilia biashara na kupokea comission. Siku hizi huo mfumo haupo line ni moja ile ile till. So messages na kila kitu ni humo humo kwenye line.
Hivyo, ukiweka mtu hakikisha unamwamini, unafuatilia maana kitendo cha kumpa mtu line, fedha in cash, float ni sawa umempa power of attorney kufanya yale yote wewe mwenye line uliyostahili kufanya.
Na hii huduma ipo kufanya mtu anayehitaji float kwa dharura aipate haraka labda mtu anataka kuweka ila kapungukiwa, sasa ikiwa itachukua muda huo itakuwa haina maana kwa kuwa mtu si angeenda deposite tu kama kawaida.
Hivyo ndivyo walianza voda line za till za mwanzo zilikuwa mbili mbili, ila mitandao mingine wakaja na moja, na voda wakaachana na huduma ya line mbili mbili ikawa line moja moja.Wasajili line mbili za mhusika
Ili ikitokea kitu kama hiki mhusika apate taarifa au ni ngumu kuweka mfumo kama huo
Mwambie aende Mahakamani,akitoboa niite mbwa Niko pale nimekaaWewe ndio una uelewa duni sana juu ya wajibu wa makampuni ya simu kuweka "control" zenye tija na nguvu kulinda watu walioamua kuwekeza katika biashara ya kipesa.
Hayo uliyoyaandika yananihusu?Hapo mkuu mtafute mtuhumiwa..... Voda hawahusiki kwa sababu hawakukwambia umwajiri mtu.
Songea pia ulikubali vigezo na masharti kwa kubonyeza 1.
Pole sana
Ova
Mbaya wako ni huyo kijakazi wako, kusumbuka na voda ni kujipotezea muda tu.Namjua ila ndio keshaniibia.
Hili lipo kwa wenye mamlaka hayo (polisi)
Lawama zangu kwa voda ni iweje line niliyosajili kwa NIDA yangu, LESENI YA BIASHARA yangu TIN number yangu.
Alafu mfanyakazi wangu aweze kukopea bila mimi kuwa na taarifa?
Unatoaje milioni hizo bila uthibitisho kuwa mimi mteja wako ndiye ninayekopa?