Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
havina mpango wowote hapo ndipo napokubali ya kuwa ukimuona kobe juu mti ujue kawekwa.Toa hivi vt havina mpango wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini viwepo ngazi ya udiwani na halmashauri na si bunge na executive?? is it because ni wanawake walio kwa viti maalum?give us your reasons.....:A S 13:
Swala cio viti maalum tatizo ni ufanisi wa mbunge yoyote mi naona idadi ya wabunge ipungue 360 too much,chukulia wengine wapo kwa ajiri ya kuzomea wenzao kama majuha na wengine kazi kusinzia kama yule ko....ba
Sio viti maalumu tu, hata Bunge lenyewe lisiwepo kwani halitusaidii chochote sisi walalahoi na ni mzigo kwetu tena kuliko wa dowans!
hawana maana ...sasa kama Vick kamata eti mbunge sasa anaoingea nini bungeni kama sio kwenye kujipaka mapoda tu na kujibinua binua