mwanaone
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 637
- 760
kama ni uwakilishi wa wanawake unatakiwa mi ningeshauri wabunge viti maalum wawepo ila mchakato wa upatikanaji ubadilishwe kila mkoa uwe una idadi flani ya viti maalum kulingana na ukubwa na idadi ya watu afu hizo nafasi zigombewe na wanawake kutoka ktk vyama mbalimbali na wapigiwe kura na wananchi na kama ni zaidi ya mmoja wapangwe kutokana na idadi ya kura . Hii itasaidia ktk uwajibikaji coz watakuwa wamechaguliwa na wananchi sio sasa wanawajibika kwa vyama vyao zaidi kuliko wananchi sababu wamepata ubunge through vyama na wala sio wananchi tusipobadilsha hivyo bungeni wataendelea kuingia mahawara na watoto wa vigogo wa vyama vya siasa ambao hawana uchungu na taifa bali wameenda kuganga njaa na kulinda maslahi ya vyama vyao no wonder wanashabikia tu kipuuzi puuzi tu ka ma***ya wameeona pesa na mzinga wa konyagi
umenena ndugu ni lazima na wao wagombee kwa njii hii naiafiki