Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
hawana maana ...sasa kama Vick kamata eti mbunge sasa anaoingea nini bungeni kama sio kwenye kujipaka mapoda tu na kujibinua binua
Afadhali huyu anae jipaka poda na kujibinua binua kama unavyosema, maana yuko active, je wanaosinzia, kujamba na kukoroma?