Siku ya wanawake duniani nilialikwa star tv nikiwa daktari ili nifafanue nafasi za wanawake katika sector ya afya, nilianza kwa kuwauliza maswali;-
1. je mnaamini kuwa mnaweza bila kuwezeshwa
-wakajibu, ndiyo tunaweza.
2. je viti maalum ni aina gani ya uwezo, je inaepuka dhana yenu ya kuwezeshwa?
- no huko unaenda kusiko kuhusu kabisaaa
3. je hamuoni kuwa kauli mbiu yenu ya ''tukiwezeshwa tunaweza'', inawakosesha uhalali wenu wa kuweza bila back up
-kwa hilo walikuwa wakali sana,ila niliwaomba wadhihilishe kudai haki yao ya kutodharaulika kwa kufanya maandamano nchi nzima wapinge viti maalum,kwani vinawadhalilisha,na wawe tayari kuingia ulingoni kama wabunge wengine wa kucchaguliwa,si wanasema haki sawa,na pia mwanamke anaweza kama mwanaume!!!!!
BASI NI HAYO TU ILA KWA HIVI VITI MAALUM HAKUNA ANAYEJUA KAZI YAO NA FAIDA YAO ZAIDI YA KUTAFUTA BALANCE TU YA KIJINSIA,AMBAYO WAO WANASEMA MUDA WA MWANAMKE KUBEBWA UMEISHA...SO LET THEM TOIL FOR WHAT THEY THINK,TO JUSTIFY THEIR DIGINITY.