USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

Wabunge wa viti maalumu nao pia ni ufisadi....huko bungeni wanawakilisha interest za mabosi wao and not citizen<br />
<br />
narudia tena to me viti maalumu ni mzigo kwa taifa.
<br />
<br />
ME TOO BOY
 
Sasa imagine mtu anakuwa viti maalum for 15 years ivi mnataka apate experience gani kuwa mbunge wa kawaida na agombee kama wengine
 
V. Nahondha V. Atarejea Unguja?? Manake atakuwa hana Thamani Kwenu!
 
And Mdee bana... naona niache tu.... One thing is for sure... she is way great ukifananisha na the speacial seats wengine...
kwani mdee ni special seat................uko wapy weye hebu kawaamshe special seats bungeni
 
Sielewi alosema mwanamke akiwezeshwa anaweza ...manake kwangu inamaanisha dharau kuwa mwanamke hawezi mpaka awezeshwe!


...Sijui hii mantiki ya tukiwezeshwa tunaweza hivi ni nani aliye ianzisha? ni wanawake au?


Yes, ni kauli rasmi ya wanawake kiserikali.

Margaret Sitta, akiwa Waziri wa Jinsia, alisoma hotuba ya Wizara siku ya Wanawake duniani mwaka jana Tabora mbele ya Rais (siku ile Kikwete aliposema vitoto vya shule vinavyotiwa mimba vinapenda vyenyewe kuchakachuliwa) akasisitiza kauli hiyo mara kibao "Tukiwezeshwa tunaweza...Tukiwezeshwa tunaweza"! Nilishangaa mno. Ukiwezeshwa na nani, kivipi, akufadhili na akufanyie na akumiliki na akutunze halafu akutumie kama nyama ya kujifurahishia? Yani mnajidharaulisha na kuonyesha wazi kwamba gender perspectives za wanawake wa Tanzania bado ni finyu mno.

Ni kauli rasmi ya muelekeo wa sera ya maendeleo ya jinsia iliyotengenezwa na wanawake wenyewe, vinginevyo Wizara isingeiweka kwenye hotuba ya Waziri.

Kimey, hata hilo pendekezo lako la "tukiamua tunaweza" is no better. Ukiamua unaweza, ni ile ile kitchen floor mentality ya mwanamke kutokuwa na maamuzi, subiri kwenye vigoda vya uani na mazuria ya ukili, sio kwenye meza ya maamuzi mbele mjengoni. Kuja mbele kuamua na kuweza subiri sisi tukuwezeshe.
 
kwani mdee ni special seat................uko wapy weye hebu kawaamshe special seats bungeni


Ungesoma toka discussion imeanza ungegundua katolewa mfano wa wadada wajiwezao ni sio kwamba ni speacial seats....
 





Yes, ni kauli rasmi ya wanawake kiserikali.

Margaret Sitta, akiwa Waziri wa Jinsia, alisoma hotuba ya Wizara siku ya Wanawake duniani mwaka jana Tabora mbele ya Rais (siku ile Kikwete aliposema vitoto vya shule vinavyotiwa mimba vinapenda vyenyewe kuchakachuliwa) akasisitiza kauli hiyo mara kibao "Tukiwezeshwa tunaweza...Tukiwezeshwa tunaweza"! Nilishangaa mno. Ukiwezeshwa na nani, kivipi, akufadhili na akufanyie na akumiliki na akutunze halafu akutumie kama nyama ya kujifurahishia? Yani mnajidharaulisha na kuonyesha wazi kwamba gender perspectives za wanawake wa Tanzania bado ni finyu mno.

Ni kauli rasmi ya muelekeo wa sera ya maendeleo ya jinsia iliyotengenezwa na wanawake wenyewe, vinginevyo Wizara isingeiweka kwenye hotuba ya Waziri.

Kimey, hata hilo pendekezo lako la "tukiamua tunaweza" is no better. Ukiamua unaweza, ni ile ile kitchen floor mentality ya mwanamke kutokuwa na maamuzi, subiri kwenye vigoda vya uani na mazuria ya ukili, sio kwenye meza ya maamuzi mbele mjengoni. Kuja mbele kuamua na kuweza subiri sisi tukuwezeshe.

Taso asante kwa ufanunuzi.

Inaonyesha huyo Bi.Sitta yeye hakuweza mpaka alipowezeshwa na akadhani ni lazima iwe hivyo kwa wanawake wote. Ni aibu kwa mwanamke aliyesoma akashika wadhifa kisha apiga upatu kuwa "ukiwezeshwa unaweza" kana kwamba hujiwezi mpaka aje mwanamme akuwekee njia sawa kwanza. Na ikiwa ni hivyo basi ni upendeleo kwa wanawake dhidi ya wanaume, kitu ambacho hakikubaliki katika nchi yenye kupigania haki na usawa
 
Inapofikia stage ya kuona hata mbunge wa kuchaguliwa anaacha kugombea tena ili ateuliwe kama mbunge wa viti maalum then huo ni ujumbe tosha kabisa kuwa viti maalum no longer fit for purpose.
 
Do!!!!sasa hiyo ni too much....family friend wenu unamnanga hivi. Basi nanyi ni watu wa usingizi msingeruhusu family friend awe yeye
 
Ilikuwa shida kwa uzito wa baadhi ya wabunge wetu walikuwa wanene sana na viti vya karimjee havifai kulala, walipoongezeka waligoma kufanya mazoezi ya kuwa fiti na kupunguza unene badala yake wakataka ukumbi mkubwa watakapoa kaa vizuri na kusinzia
 



Na Chalila Kibuda

Balozi wa Finland nchini Tanzania, Sinikka Antilla, amewaasa wanawake kugombea nafasi za uongozi ili waachane na mfumo wa kuteuliwa kwenye viti maalum kwa kuwa unawanyima sauti kwenye maamzi.


Antilla aliyasema hayo juzi wakati wa maadhimisho ya siku ya Demokrasia Duniani kwa Wanawake, yaliyofanyika katika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam ambalo liliratibiwa na umoja wa wanawake wenye uwakilishi bungeni (T-WCP).
Alisema kupigania nafasi za uongozi kwa kusimama wenyewe kutawejengea kuwa na maamzi mazuri katika masuala yao na kutetea wanawake wenzao.

Antilla alisema juhudi za wanawake Tanzania bado si za kutosha, hivyo akawataka washiriki kikamilifu katika siasa kwa kogombea na kuacha nafasi za kuteuliwa ambazo zinawafanya wasiwe na sauti.


Alisema wanawake wa Rwanda wameweza kuwa katika maamzi kutokana na kushiriki kikamilifu katika siasa na kuweza kufikia asilimia 51 katika nchi za Afrika.

Antilla alisema kuwa wanawake wakifikia asilimia 50 wanaweza kushinikiza serikali kuweka bajeti ya wanawake ambayo itashughulikia masuala yao ambayo yamekuwa kikwazo.


 
na chalila kibuda

balozi wa finland nchini tanzania, sinikka antilla, amewaasa wanawake kugombea nafasi za uongozi ili waachane na mfumo wa kuteuliwa kwenye viti maalum kwa kuwa unawanyima sauti kwenye maamzi.


antilla aliyasema hayo juzi wakati wa maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani kwa wanawake, yaliyofanyika katika ukumbi wa karimjee, jijini dar es salaam ambalo liliratibiwa na umoja wa wanawake wenye uwakilishi bungeni (t-wcp).
alisema kupigania nafasi za uongozi kwa kusimama wenyewe kutawejengea kuwa na maamzi mazuri katika masuala yao na kutetea wanawake wenzao.

antilla alisema juhudi za wanawake tanzania bado si za kutosha, hivyo akawataka washiriki kikamilifu katika siasa kwa kogombea na kuacha nafasi za kuteuliwa ambazo zinawafanya wasiwe na sauti.


alisema wanawake wa rwanda wameweza kuwa katika maamzi kutokana na kushiriki kikamilifu katika siasa na kuweza kufikia asilimia 51 katika nchi za afrika.

antilla alisema kuwa wanawake wakifikia asilimia 50 wanaweza kushinikiza serikali kuweka bajeti ya wanawake ambayo itashughulikia masuala yao ambayo yamekuwa kikwazo.



hizo nafasi ni lazima ziendelee kuwapo bungeni kwa mtazamo wa chama cha magamba, hayo ni mapoozeo ya waheshimiwa sana wa magamba wawapo mjengoni.
 
Viti maalumu vinawafanya wanawake waonekane hawana uwezo.
Ushauri mzuri sana.
 
Uchunguzi wangu umenionyesha kwa asilimia kubwa ya wawakilishi wa viti maalumu wanamahusiano ya namna moja ama nyingine na wanasiasa "Nguli" katika vyama vyao. Uhusiano ulioshika kasi zaidi ni "uhusiano wa kimapenzi" na wa "kindugu" yaani mke wa..mchumba wa...hawara wa....girlfriend wa...aliwahi kuwa na...mtoto wa...Dada wa...nk. Nawaheshimu wote wasiokuwa na aina hii ya mahusiano natambua wapo ila ni wachache.
 
Tena wengi wa wabunge wa viti hivi maalum sio tuu ndio magarasa kule bungeni bali ndio majamvi ya wenzao.
 
Bora ulivyowaambia ukweli. Waache kutaka dezo
 
wakatae viti maalum?? huyu balozi anacheza nini.. wakikataa dhahabu na ushungi kule bungeni atavaa nani?? steve wassira??
 
Tabia ya wanaume kuhonga wanawake si ya kustajabisha katika utamaduni wetu. Inapotokea Kiongozi anahonga cheo cha kisiasa inamaanisha anatushirikisha wote kuchangia kwa njia ya kodi zetu kwenye starehe yake hii haikubaliki. Wakuu malizaneni na vimada/wapenzi wenu bila kutushirikisha wananchi wote. Wenzenu tunatumia hicho hicho tulichonacho tunamalizana. Acheni jamani kupenda ubwete kiasi hiki...Haiingii kabisa akilini mtu unamzawadia cheo cha umma mpenzi wako.Hivi kweli mnatufanya wote sisi kwa ujumla wetu mafala?
 
Back
Top Bottom