Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 832
<br />hizo nafasi ni lazima ziendelee kuwapo bungeni kwa mtazamo wa chama cha magamba, hayo ni mapoozeo ya waheshimiwa sana wa magamba wawapo mjengoni.
<br />
Duh, we Khakha we! Sijui S. Simba anachungulia humu?