Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Mapenzi mabaya sasa hawa wabunge viti maalumu wa Chadema wana kazi gani bungeni?
Ebu nitajie mchango hwa Mbunge Rose Kamili, Ester Matiku, Cristiana Lissu, Regia Mtema, yule mtoto wa Ndesamburo na mtoto wa Mashishanga..
wapo wengi hawafai, hakuna mbunge makini viti maalum sio CCM wala Chadema, CUF wote ni pumba tu..
Viti maalum vifutwe vyote ni mzigo kwa taifa
Leo imenibidi nikubaliane na wewe