Mapenzi mabaya sasa hawa wabunge viti maalumu wa Chadema wana kazi gani bungeni?
Ebu nitajie mchango hwa Mbunge Rose Kamili, Ester Matiku, Cristiana Lissu, Regia Mtema, yule mtoto wa Ndesamburo na mtoto wa Mashishanga..
wapo wengi hawafai, hakuna mbunge makini viti maalum sio CCM wala Chadema, CUF wote ni pumba tu..
Viti maalum vifutwe vyote ni mzigo kwa taifa
Mapenzi mabaya sasa hawa wabunge viti maalumu wa Chadema wana kazi gani bungeni?
Ebu nitajie mchango hwa Mbunge Rose Kamili, Ester Matiku, Cristiana Lissu, Regia Mtema, yule mtoto wa Ndesamburo na mtoto wa Mashishanga..
wapo wengi hawafai, hakuna mbunge makini viti maalum sio CCM wala Chadema, CUF wote ni pumba tu..
Viti maalum vifutwe vyote ni mzigo kwa taifa
Huu ni ukweli usiopingika kabisa kwamba hizi ofa wanazopewa hawa kina mama wa CCM kuingia bungeni wanazitumia vibaya.
Mara nyingi nimekuwa nikuatilia vikao vya bunge,na kwa umakini niliougundua ni kwamba, wabunge hao wa CCM hawako mle ndani kwa ajili ya kutetea maslahi ya watanzania bali kwa ajili ya kulinda chama chao na wale waliowapa ofa..
Wamekuwa ndio chanzo kikubwa cha kuvuruga amani bungeni,huku spika wao akiwakingia kifua.
Kutetea hoja zisizokuwa na kichwa wala mguu..
Hakuna wanachojua zaidi ya umbea tu.
- Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kwenye katiba mpya, Tanzania TUTAONDOKANA NA Wabunge wa Bure na Viti maalum, I am sick na Bunge kujaa vimada wa Viongozi wa vyama vyetu vya siasa vyote kuanzia CCM mpaka Upinzani, ENOUGH! Wabunge wote wawe wa Majimbo tu Only Mwanasheria Mkuu ndiye aruhusiwe kuingia Bungeni na Cabinet bila kugombea jimbo!
- Taifa letu linapoteza Shillingi Billioni 90 kila miaka mitano on hawa Wabunge wa bure, that is insane kwa taifa masikini kama letu.
Much Respect People!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
- Ni matumaini yangu makubwa sana kwamba kwenye katiba mpya, Tanzania TUTAONDOKANA NA Wabunge wa Bure na Viti maalum, I am sick na Bunge kujaa vimada wa Viongozi wa vyama vyetu vya siasa vyote kuanzia CCM mpaka Upinzani, ENOUGH! Wabunge wote wawe wa Majimbo tu Only Mwanasheria Mkuu ndiye aruhusiwe kuingia Bungeni na Cabinet bila kugombea jimbo!
- Taifa letu linapoteza Shillingi Billioni 90 kila miaka mitano on hawa Wabunge wa bure, that is insane kwa taifa masikini kama letu.
Much Respect People!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!