Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Ushauri: Ukweli umeshaanza kujulikana, ni vizuri tupunguze malumbano

Wacha ujinga, Wewe ndio umesema tukubaliane na data za WB, mimi ndio nilipinga zile graph, wewe ukasisitiza lazima tuzikubali kwasababu ndivyo WB wanavyotoa report zao. Mimi nimezikubali, ulipogundua graph hizo zinaiweka Tanzania mbele ya Kenya, unajaribu kuzikwepa na kukimbilia za kwenu.

Sasa Mubarak's Kwanza uzipinge data za WB hadharani ndio tuzungumzie source zingine, sema kwamba zile graphs za WB haziaminiki tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Keshakubali hahahahaaaa huwa hawachelewi kukubali hawa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Graphs za WB zinaeka Kenya at 7%. Do you have anything else to ask?
 
Keshakubali hahahahaaaa huwa hawachelewi kukubali hawa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Congratulations on accepting that Kenya`s unemployment rate is 7%. Lakini hiyo haijachange your IQ, bado imebaki pale pale 😂 😂
 
Wacha ujinga, Wewe ndio umesema tukubaliane na data za WB, mimi ndio nilipinga zile graph, wewe ukasisitiza lazima tuzikubali kwasababu ndivyo WB wanavyotoa report zao. Mimi nimezikubali, ulipogundua graph hizo zinaiweka Tanzania mbele ya Kenya, unajaribu kuzikwepa na kukimbilia za kwenu.

Sasa Mubarak's Kwanza uzipinge data za WB hadharani ndio tuzungumzie source zingine, sema kwamba zile graphs za WB haziaminiki tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa watu huwezi kufanya nao mjadala wenye maana hata kidogo. Ni watu wa ajabu kabisa. Halafu kwa kufatilia hoja zao na vile wana argue unaweza hadi kutambua kabila zao. Ile kabila kansa ya kenya ndio watu wa hovyo kabisa.. labda upate ambae ana exposure ndio kidogo ana behave, ila ukikute yule mpuuzi choka mbaya ambae ubongo wake umekaririshwa ujinga kuwa ndio bora zaidi bhas huyo huwezi ingia nae kwenye mjadala hata kidogo. Hao ni watu wa ropo ropo na pang`a ng`a mob tu.
 
Low IQ na 1.9% high IQ with 7.2%[emoji3][emoji3][emoji3]
Low IQ has 9.6%
Screenshot (200).png
 
Hawa watu huwezi kufanya nao mjadala wenye maana hata kidogo. Ni watu wa ajabu kabisa. Halafu kwa kufatilia hoja zao na vile wana argue unaweza hadi kutambua kabila zao. Ile kabila kansa ya kenya ndio watu wa hovyo kabisa.. labda upate ambae ana exposure ndio kidogo ana behave, ila ukikute yule mpuuzi choka mbaya ambae ubongo wake umekaririshwa ujinga kuwa ndio bora zaidi bhas huyo huwezi ingia nae kwenye mjadala hata kidogo. Hao ni watu wa ropo ropo na pang`a ng`a mob tu.
Yeah ni kweli kupitia argument zao unaweza tambua makabila yao humu [emoji23][emoji23][emoji23]

Wengi humu nafahamu makabila yao kutokana tu na tabia zao wanazoonesha humu.
 
Hawa watu huwezi kufanya nao mjadala wenye maana hata kidogo. Ni watu wa ajabu kabisa. Halafu kwa kufatilia hoja zao na vile wana argue unaweza hadi kutambua kabila zao. Ile kabila kansa ya kenya ndio watu wa hovyo kabisa.. labda upate ambae ana exposure ndio kidogo ana behave, ila ukikute yule mpuuzi choka mbaya ambae ubongo wake umekaririshwa ujinga kuwa ndio bora zaidi bhas huyo huwezi ingia nae kwenye mjadala hata kidogo. Hao ni watu wa ropo ropo na pang`a ng`a mob tu.
Heheheheheeee mkuu ni kweli kabisa ila mm hawa hawaniambii kitu wakileta ujinga nkiona imezd nawatongoza mfano Teargass nna mpango wa kumtokea mrembo huyu [emoji3][emoji3]
 
Hahahaha, wacha ubishi wa kitoto, lete source yoyote ya kuaminika inayosema unemployment rate Kenya ni chini ya 30%, lete data za IMF, WB au ILO tuone
KNBS ndio sio data za kuaminika[emoji23][emoji23]
 
I don`t do blogs please. Ulitaka data za World Bank nikakuletea, tena latest. Sasa unakuja hapa na blogs za 2014. Hii kama sio hasira ni nini? KNBS September report said that Kenya`s unemployment rate is at 10% as of September, WB data inasema kuwa our unemployment rate is 7.26% as of 21st June 2020.
View attachment 1573110
View attachment 1573112
Mkuu we waache tu, hko kutapata sio eti ni utahira sozi ndio inatembea kw kasi ya ajabu..
Kwhyo madhara ya kuokota blogs lazima yawepo
 
Hehehe!!jamaa leo wanakataa world bank iliyowatoa ldc[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
#wakenya
Kujeni muone sindano wanazopata wanenguaji
Ivi vicheko mi kama mwanaume mwenzako,nakushauri muachie mkeo,ipo siku watakunaniiii
 
Back
Top Bottom