Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

Washatuharibia nchi yetu hapo sio pa kukaa tena tatizo mmesoma alafu akili bado zimelala dunia ni kubwa sana na kutembea pia kwenyewe ni shule tatizo ni wewe mwenyewe umeshamaliza kufikiri akili imefika mwisho
 
Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Uko sahihi ndugu usiwategemee kabisa,,, ukweli wa maisha ni huu hata ndugu zako, marafiki wengi hawapendi utoke kimaisha uwafikie au kuwazidi....wanataka heshima kupitia shida....nina ndugu yangu aliibiwa way back dukani kwake aliyetengeneza mchongo ni ndugu ktk ukoo.
Ukianza kuona mafanikio stay tuned....vita itaibuka kali sana kwahiyo usishangae ukiwa na shida ndugu hawajali BTW wako happy ukifanikiwa they feel uncomfortable hasa kama una roho nzuri ya kuwainua wengine.
 
Ni afadhali umtafute hata uliye soma nae shule ya msingi(rafiki) kuliko kumtegemea ndugu.Ndugu abaki kwa kupeana taarifa za nyumbani kwa wazazi tu,simama kivyako kuepuka lawama.
 
HAUKO PEKE YAKO,WATU WENGI WANA TATIZO/HALI KAMA YAKO!!!
 
ni kama umenigusa na mm yaani ndugu wanataka uwatetemekee wao hawakusaidii kitu
Hapo ndo wanafurahi wamepata ufalme wanaoutaka...dawa ni kuwa responsible kwa maisha yako...jenga hiyo mind set halafu komaa.......
 
Vumilia mkuu cdm wakitawala nchi utamiliki kiwanda. Kwani kwa sasa mwanachama wa cdm kujenga kiwanda ni kuwapa ujiko ccm
 
kipindi ulichokua na mkopo wa asilimia 100 ulikua huijui future sio??
Boom lako ulilifanyia anasa,kununua usafiri na kuhonga wanawake sio??
Nadhani mkuu hii mada sio level yako,endelea kuomba ushauri kwny ile thread uliyoanzisha humu jf ya kuulizia mafuta mazuri ya kupaka yatakayokuondolea chunusi na uwe na unang'aa vzr
 
Bro usikate tamaa. Kabla ya 2018 kaa tena chini fikiria nini unataka then anza taratibu kufanyia kazi ndoto yako. Ila uwe mvumilivu. Inaweza kukuchukua miaka mingine kama mitatu hivi ili kuanza kuwa stable kiuchumi. Ukitaka mabadiliko ya ghafla utafeli.
 
Hapo ndio hufikia point nalaumu sana mfumo wetu wa elimu ya kibongo kutufanya kuajiriwa tu no matter umesoma kufikia kiwango gani.Miaka ya hivi karibuni wameintoduce course ya entrepreneurship kwa baadhi ya fani kwa level ya chuo kikuu lakini huwezi kujiajiri kama hauna mtaji na taasisi za kifedha hupewi mkono kama hauna assets.
Changamoto ni nyingi mpaka kuja kufanikiwa kibongo bongo ndio maana hujipa tumaini kwa kusema "life begins at 40" you still have 10 years ya kupambana
 
Napata kitu hapa ntakifanyia kazi nataka 2018 uwe mwaka wa mageuzi makubwa ya kiuchumi kwangu
 
Pole brother,unapotaka Kumove jaribu kuangalia unanini mkononi, mfano wewe hapo tayari ni msomi umeelimika upo tofauti na wengine wengi anza na ulicho nacho mkononi /jirani kione ni fursa jitume fursa namba 1 inakuelekeza zingine nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…