Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

Omba mkopo kwa mama mtoto uanze kufuga kuku au hata kulima mchicha. Kwa joto la Tz, kuna wanaouza maji baridi, tafuta pa kuanzia.
 
kwa kuwa huu uzi utatolewa na kwa sasa sina muda wa kuchangia kwa kadri ninavyotaka na huwenda ukawa msaada basi naomba ni pm ili hata kama uzi sikuukuta nikupe majibu ninayofikiria.
 
Mda
Mdanganye!
 
Mkuu toka jitose ukasake pesa shida kubwa unategemea mno shule/elimu kiuhalisia haina mchango kiivyo kwenye kutafuta na kupata pesa..!

Mimi mbona 30 plus, but sina chochote but soon nitapata tuu, chanji life style unavyoishi na badili mazingira na mbinu unazotumia kusaka pesa.
 
Watoto wa siku hizi bwana yaani miaka 30 ndio unajiona umri umeenda sana.......!!??

Tatizo vijana mnaishi maisha ya kukariri sana na kuigana.........

Ishi maisha yako , panga mipango yako kwa mazingira yako....

Jitihada haishindi kudra.....

Wewe una panga na Mungu na yeye anapanga yake.......

Bora uzima na afya njema
 
Ushauri na kejeli...hakuna miaka midogo wala mikubwa yote anatupa Mungu , kuna wengi walitaman wafike miaka hio hawakufika ...wewe kama una zaid ya hapo usijione wewe ndo mkubwa hapa duniani, na kudharau miaka ya wengine,
 
" Imenigusa sana nilipojaribu kuvaa viatu vyako katika fikira zangu"

Wengi wetu tulitegemea elimu zetu ndizo zitakazotukwamua lakini kwa baadhi imekuwa kinyume.

Sasa ni wakati wa kujifunza kwa bidii kutoka kwa wasio na elimu kama zetu na wamefanikiwa kwa kujishusha.
Wakati huo huo uendelee kushukuru kwa Baraka na Neema nyingi ambazo Mwenyezi Mungu amekujalia ambapo kubwa zaidi ni PUMZI na UHAI uliojaliwa hadi Leo hii.
Kuna wenzako ambao walifanikiwa kielimu, vyeo na nafasi katika umri mdogo zaidi yako ila Leo hawapo tena duniani na hawakuondoka na chochote walichomiliki, pia wapo waliofanikiwa kupata mafanikio katika umri wa miaka 50 na hadi Leo bado wanaishi.

Endelea kumshukuru Mungu na ukiomba huku ukijishughulisha kwa bidii na IPO siku utafanikiwa ni mambo ya wakati tu utafika wakati wako utatoka
 
I feel you brother. Umejizungumzia wewe kama umenizungumzia mimi na hii BAEd yangu inanifanya najichukia na kujutia muda niliopoteza chuoni. Naelekea kukata tamaa kabisa .Eee mola nisaidie [emoji24] [emoji24]



Jimbombo ngavu malafyalee
 
Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu



Umenena vyema.

Anachokipitia jamaa, watu wengi wanapitia ikiwemo mimi.


Alichokisema, nimekipitia.


Nilidharauliwa kwa umasikini wangu japo ni digrii, ila sasa ninaheshimika eti kwa pesa zangu, na sasa wananipiga mizinga, japo sina pesa kihivyo.


Ndugu, marafiki, wengi ni wanafiki tu.
 
Ushauri na kejeli...hakuna miaka midogo wala mikubwa yote anatupa Mungu , kuna wengi walitaman wafike miaka hio hawakufika ...wewe kama una zaid ya hapo usijione wewe ndo mkubwa hapa duniani, na kudharau miaka ya wengine,

Nadhani hukunielewa
 
Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Yaan mkuu una akil sna , hakika halio ndo hali halisi haswa

Nina kaka angu yupo uk hapa bongo ana majumba hayana idadi
Ma eka ya mashamba had mengine hayajui

Ila kumseidia mtu shida yaan kukupa kamtaj hawez labda sh 10000 ili sku yapili umuombe tena aone huwezi ishi bila yeye nikaona. Bora nijiongeze saiv sina habar nae kabisa japo km ni kaka baba mmoja ma mmoja ila sina mawasiliano nae tena nafanya yangu

Jaman chonde chonde msitegemee vya ndugu mtakufa masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…