Bossless
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 1,381
- 2,948
Hapo sasaHa ha ni kutokujua tu lkn ni namna nzuri ya kuanzia maana haihitaji mtaji mkubwa sana unaweza ukaanza nayo huku unapiga mishe nyingine kuongeza kipato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasaHa ha ni kutokujua tu lkn ni namna nzuri ya kuanzia maana haihitaji mtaji mkubwa sana unaweza ukaanza nayo huku unapiga mishe nyingine kuongeza kipato
Achana nae MTU. Na degree hajui hata kutafuta connections.Kama upo Dar nenda Ruvu mkuu kuna maeneo makubwa sana bado huko unaweza kufanya na kilimo pia
hapana mm mwenyewe namiliki one pair of psy.Umeamua usimchagulie tusi eehhhhh.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Duhhh....[emoji15] [emoji15] [emoji15]hapana mm mwenyewe namiliki one pair of psy.
i feel him ujue ,nayajua maisha ya bongo mkuu acha tu
Kwel mkuu na sana sana watakupa pesa ya kula na huku wakiwasaidia marafiki na jamaa kimaisha na kuwaweka kwenye systemKati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki
Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Kwel mkuu,ukitaka kujua tabia za nduhu,jamaa na marafiki uwe hauna kituUmenena vyema.
Anachokipitia jamaa, watu wengi wanapitia ikiwemo mimi.
Alichokisema, nimekipitia.
Nilidharauliwa kwa umasikini wangu japo ni digrii, ila sasa ninaheshimika eti kwa pesa zangu, na sasa wananipiga mizinga, japo sina pesa kihivyo.
Ndugu, marafiki, wengi ni wanafiki tu.
Ndiyo la muhimu na wanaofaidi ni marafiki na jamaaYaan mkuu una akil sna , hakika halio ndo hali halisi haswa
Nina kaka angu yupo uk hapa bongo ana majumba hayana idadi
Ma eka ya mashamba had mengine hayajui
Ila kumseidia mtu shida yaan kukupa kamtaj hawez labda sh 10000 ili sku yapili umuombe tena aone huwezi ishi bila yeye nikaona. Bora nijiongeze saiv sina habar nae kabisa japo km ni kaka baba mmoja ma mmoja ila sina mawasiliano nae tena nafanya yangu
Jaman chonde chonde msitegemee vya ndugu mtakufa masikini
Salaam wanajamvi,
Jamani naomba mnipe ushauri kutoka kwenu hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha.
Kwanza naweza sema hapa Tanzania kusoma sana ndo kuukaribisha umasikini tu.
Kijana mimi wa kitanzania mwenye elimu ya Bachelor degree na Postgraduate Diploma hadi sasa nagonga 30 years sina cha maana ninachomiliki katika maisha yangu.
Sijui kwa sababu nimetumia muda mwingi kusoma, au hii familia niliyozaliwa ya umasikini ndo chanzo hata sijui.
Nilisoma kwa mkopo wa serikali na postgraduate nikafadhiliwa kwa kujua kwamba nikimaliza nitaingia kwenye system kupitia ualimu wa masomo ya arts imekua ndivyo sivyo.
Umri unaenda sina mtaji sina ndugu wa kuniwezesha kwa chochote kazi zimekua ngumu so nategemea kudra za Mwenyezi Mungu labda nitafanikiwa.
Najishughulisha na shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato lakini hakikidhi mahitaji napata hela ya kula, kulipa kodi miezi 2 2 au 1.
Nina mtoto anaishi kwa mama yake, najisikia vibaya kumwona mwanangu anakua lakini hadi sasa baba yake similiki chochote kitakachomsaidia, mama yake ndo anauwezo kwa sasa wa kumjengea mazingira bora coz kipato chake kinatosha kabisa.
Sina ninachomiliki jamani, naombeni ushauri njia bora ya kuishi, namna ya kufanya ili nami niweze kutoka katika dimbwi hili la umaskini, nakiri kwamba nimesoma na kwa sasa sina ndoto tena ya kutaka kuajiriwa nina ndoto ya kujiajiri lakini sijui wapi napata mtaji, labda itokee nipate ajira ya uhakika ya kupata salary bila usumbufu hapo nitajipanga kudunduliza hela nipate japo mtaji.
Umasikini mbaya sana. Na elimu ya Tanzania inachochea umasikini.
Nipeni ushauri jamani ili mwaka 2018 niwe mtu mpya nijue nini nifanye nami nimiliki japo biashara hata ya kuuza juice, banana power hata shujaa vodka.
Ushauri tafadhali, sihitaji maneno ya kejeli nina frustration zangu.
NAWASILISHA
Mwakashina mtua.Ngoja nikupe siri nyingine ibebe kama ilivyo .katika struggle ya binadamu tuanzia 0 yani bila urithi lazima kutakuwa na kipindi utateseka sanaa lazima ujue hilo utake ustake ,dawa yake ni moja tu nikujiwekea mwenyewe malengo ya kujiyesa kwa miaka kadhaa kwa kuanzia na zero kabisa .mimi kwa sasa hivi nikienda Dar watu huwa wananishangaa sanaa na nikiwaambia sijaajiliwa ndo huwa wananishangaa zaidi sijafanikiwa sana ila alhamudullilah nipo malinyi najishughulisha na kilimo cha mpunga na biashara ya mchele.ila jua lazima one day katika life lako utapitia kwenye tanuli LA moto utake usitake.
Mimi nipo zangu Ruvu muda huuKama upo Dar nenda Ruvu mkuu kuna maeneo makubwa sana bado huko unaweza kufanya na kilimo pia
Shukuru mungu kwa hiyo akili uliyopewa ila siku nyingine usiseme hivyoAchana nae MTU. Na degree hajui hata kutafuta connections.
Tafta pikipiki used boxer Dar, utapata kwa bei poa then weka balabalani
We siyo graduated ni graditude huwezi kuwa zoba kwa kiasi hicho nikimuona MTU ana degree halafu analalamika ajira natamani nimtemee mate huna Tina kwa taiga hili kabisa .si ajabu umeacha mashamba kijijini nawe IPO mjini unabanana na washua wakati umeacha Mali ,Mimi na degree ya HRM nibahatika kufanya field wilaya flani hadi Leo nafanya shughuri zangu kwenye wilaya hiyo na sina mpango wa kuajiliwa kabisa .