Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

hapana mm mwenyewe namiliki one pair of psy.
i feel him ujue ,nayajua maisha ya bongo mkuu acha tu
Duhhh....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Basi umenishinda tabia.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Kwel mkuu na sana sana watakupa pesa ya kula na huku wakiwasaidia marafiki na jamaa kimaisha na kuwaweka kwenye system
 
Kwel mkuu,ukitaka kujua tabia za nduhu,jamaa na marafiki uwe hauna kitu
 
Ndiyo la muhimu na wanaofaidi ni marafiki na jamaa
 
Bro kwanza nikupe pole lakini pia usikufuru Mungu kwa kukata tamaa, elimu uliyonayo inatosha kuifanyia kazi ila jifikirishe haswaaaa.

Pili hujatwambia uko mkoa gani maana kila mkoa na fulsa zake.

Mwisho umesema mzazi mwenzio yupo vizuri kiasi kiuchumi sasa unaonaje ukae nae na akupe mtaji na ufanyie kitu au biashara ambayo kwayo utabadili mawazo yako ya kulaani elimu yako, na unapolaani elimu yako inamaana unawalaani na waliokusomesha kwa kuwa kama wasingekusomesha huenda mda uliotumia darasa ungefanyia kazi za kujiingizia kipato.

Ndugu ngoja nikwambie kitu kimoja Mungu wa ajabu sana tena sana, kwa vile huenda usingeenda shule leo ungekuwa marehemu labda au ungekuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya au ungepata utajiri ambao kwa umri wako huenda ungewadharau hata Mungu wako wa pili ambae ni mzazi.


Ushauri bado mda unao wa kuamua hatima ya maisha yako
 

Acha kukata tamaa, 30 bado mdogo kwa mtu aliyesoma mfumo wa Elimu ya Tanzania na kutokea familia yenye kipato cha kawaida. Kikubwa fanya juhudi upate kazi au kama utapata mtaji ufanye biashara. baada ya hapo ndio uanze kujiongeza..
Usiibe tafuta kipato halali hujachelewa, usije kuharibu maisha yako kwa tamaa au kuiga wengine.
 
Mwakashina mtua.
 
Tafta pikipiki used boxer Dar, utapata kwa bei poa then weka balabalani

Mkuu pikipiki used???? Seriously!!

Hakuna ishu ngumu kama hiyo, usizione humo barabarani ukahisi ni kitonga.. changamoto zake ni kubwa mno. Ningekuona wamaana ungemshauri achukue mpya.

Kuendesha biashara ya bodaboda inatakiwa uwe Na backup savings la sivyo kwa wiki kadhaa ipo juu ya stand ndani
 

Shauri sasa acha maneno ya majisifu na dharau, sio kila mtu ana uwezo wakuchangamkia fursa, wengine hadi uwabusti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…