Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

Ushauri: Umri unaenda sina ninachomiliki

Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Kati ya watu usiotakiwa tegemea ni
Ndugu (Tumbo Moja au W Mbali)
Familia
Marafiki

Ukiwategemea Hawa utakufa masikini, hata wawe nacho hawawezi kukusaidia zaidi watapenda uwe hivyo ili uwaheshimu
Ni kweli uliyosema na ukiona wanakupa moyoujitahidi ujue bado upo chini yao mziki utauona ukitaka kuwaovertake yan unaona kabisa hii mijitu haipendi me hua nasema wa-go to hell
 

Attachments

  • wp_ss_20171025_0001 (2).png
    wp_ss_20171025_0001 (2).png
    110.2 KB · Views: 60
Degree Ina nafasi yake Ila kwa sasa sahau kuhusu hilo wewe angalia kazi ya kukuingizia kipato bila kujali wewe ni nani ikiwezekana piga hata dili za kijasri Ila kwa kijistiri ..
Acha kufedheka kuhusu degree Dr shika anayo PhD lakini anatamba japo yuko doroo
 
Salaam wanajamvi,

Jamani naomba mnipe ushauri kutoka kwenu hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha.

Kwanza naweza sema hapa Tanzania kusoma sana ndo kuukaribisha umasikini tu.

Kijana mimi wa kitanzania mwenye elimu ya Bachelor degree na Postgraduate Diploma hadi sasa nagonga 30 years sina cha maana ninachomiliki katika maisha yangu.

Sijui kwa sababu nimetumia muda mwingi kusoma, au hii familia niliyozaliwa ya umasikini ndo chanzo hata sijui.

Nilisoma kwa mkopo wa serikali na postgraduate nikafadhiliwa kwa kujua kwamba nikimaliza nitaingia kwenye system kupitia ualimu wa masomo ya arts imekua ndivyo sivyo.

Umri unaenda sina mtaji sina ndugu wa kuniwezesha kwa chochote kazi zimekua ngumu so nategemea kudra za Mwenyezi Mungu labda nitafanikiwa.

Najishughulisha na shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato lakini hakikidhi mahitaji napata hela ya kula, kulipa kodi miezi 2 2 au 1.

Nina mtoto anaishi kwa mama yake, najisikia vibaya kumwona mwanangu anakua lakini hadi sasa baba yake similiki chochote kitakachomsaidia, mama yake ndo anauwezo kwa sasa wa kumjengea mazingira bora coz kipato chake kinatosha kabisa.

Sina ninachomiliki jamani, naombeni ushauri njia bora ya kuishi, namna ya kufanya ili nami niweze kutoka katika dimbwi hili la umaskini, nakiri kwamba nimesoma na kwa sasa sina ndoto tena ya kutaka kuajiriwa nina ndoto ya kujiajiri lakini sijui wapi napata mtaji, labda itokee nipate ajira ya uhakika ya kupata salary bila usumbufu hapo nitajipanga kudunduliza hela nipate japo mtaji.

Umasikini mbaya sana. Na elimu ya Tanzania inachochea umasikini.

Nipeni ushauri jamani ili mwaka 2018 niwe mtu mpya nijue nini nifanye nami nimiliki japo biashara hata ya kuuza juice, banana power hata shujaa vodka.

Ushauri tafadhali, sihitaji maneno ya kejeli nina frustration zangu.

NAWASILISHA
Ndugu inauma sana na kusikitisha ila nakushauri jitahidi ukae na kufikiri kulingana na kipato chako uweze kutanua zaidi mtaji wako na unachokitumia kiwe n kidogo kuliko unachoingiza
 
Kazi uliziacha kijijini ukakimbilia madigrii rudi upesi huko ukaungane na wenzako ulime kabla nguvu hazijakuishia.kosa ni la mama yako aliyeolewa na masikini kisha ukazaliwa.njoo tulime.
acha umkunduchi, wangapi wameolewa na matajiri na wakafirisika, huko kijijini wangapi wamefanikiwa kwa ajili ya kikimo.

acha upuuzi ww
 
Yaan mkuu una akil sna , hakika halio ndo hali halisi haswa

Nina kaka angu yupo uk hapa bongo ana majumba hayana idadi
Ma eka ya mashamba had mengine hayajui

Ila kumseidia mtu shida yaan kukupa kamtaj hawez labda sh 10000 ili sku yapili umuombe tena aone huwezi ishi bila yeye nikaona. Bora nijiongeze saiv sina habar nae kabisa japo km ni kaka baba mmoja ma mmoja ila sina mawasiliano nae tena nafanya yangu

Jaman chonde chonde msitegemee vya ndugu mtakufa masikini
hawa ndugu wapuuzi tu, wanapenda wakuone unahangaika tu, nna ndugu yangu ni mkubwa kampuni flan anasubiri nimtafute ndo anauliza ivi bado tu ujapata kazi. kampuni ilikuwa na uhitaji wa watu ila imeshapata ww uko kimya sana.

huu ujinga umesha nichosha
 
Sikiliza ushauri wangu ndugu yangu.
1. Nenda kamchukue mama na mtoto uishi nao hapo unapoishi,
2. Mpe mtaji mkeo aanze biashara ndogondogo
3. Wewe pia weka pembeni kabisa vyeti vyako maana havikusaidii chochote, ulicho nacho cha maana na unatakiwa ukitumie ni hiyo elimu uloipata. Naamini chuoni hawakukufundisha kufundisha watoto tu, kuna mengi sana umefundishwa hasa uongozi. So anzisha biashara yoyote hata kama inakuingizia elf kumi kwa siku inatosha sana. So wewe utaingiza na mama ataingiza na maisha yanasonga,
3. Uwe na mipango ya wazi wewe na mkeo, usimfiche chochote, mshirikiane kwa kila jambo liwe baya ama zuri. Nakwambia baada ya miaka 3 rudi hapa, nakwambia utakuwa nanpesa kuzidi hata mm ninayepokea mshahara
 
kipindi ulichokua na mkopo wa asilimia 100 ulikua huijui future sio??
Boom lako ulilifanyia anasa,kununua usafiri na kuhonga wanawake sio??
 
Naona kama unamiliki smartphone na unaweza kununua bundle we sio maskini
 
Back
Top Bottom