Ushauri unahitajika kilimo cha mboga mboga maeneo ya mjini

Ushauri unahitajika kilimo cha mboga mboga maeneo ya mjini

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Wakuu nahitaji kulima mboga mboga hasa chinese na tembele kwenye uwanja wangu wenye ukubwa wa nusu eka, nimezunguusha fensi na nimechimba kisima kwa ajili ya maji ya kumwagilia.

Nahitaji kuelimishwa jinsi ya kuandaa shamba au kitalu, aina ya mbegu au miche na aina ya mbolea inayofaa.

Pia ni vizuri kwa anaejua soko kwa maeneo ya mijini jinsi ya kuuza jumla na lejaleja ili kutengeneza faida pamoja na changamoto zake ili niweze kujipanga

Nakaribisha mawazo yenu
 
Kwenye mambo kama haya wachache mno ndio huchangia maoni
Wakuu nahitaji kulima mboga mboga hasa chinese na tembele kwenye uwanja wangu wenye ukubwa wa nusu eka, nimezunguusha fensi na nimechimba kisima kwa ajili ya maji ya kumwagilia.

Nahitaji kuelimishwa jinsi ya kuandaa shamba au kitalu, aina ya mbegu au miche na aina ya mbolea inayofaa.

Pia ni vizuri kwa anaejua soko kwa maeneo ya mijini jinsi ya kuuza jumla na lejaleja ili kutengeneza faida pamoja na changamoto zake ili niweze kujipanga

Nakaribisha mawazo yenu
Chakwanza kabisaa uwe nauwakka wa soko coz mm soko la mboga sehem nilipo nkubwa Arusha wtu wanakula mboga sana nakupa tu muongozo kama n mbegu ya chnes inaitaji mamby ya fuatayo handaa shamba lako kwa kulima uksha maliza tengeneza vjaruba au fachi kulingana na ww unavo itaj kwa kupembua au kureki hizo vjaruba na ukishamaliza unasia mbegu yako kwa kurusha kwa utaalam coz chainses punje moja ina uwezo Wa kutowa mashna mawl mpaka nne ukishamaliza weka maji Vaasa ya sku tatu utauna imechanua sku kumi mpaka 14 unapulizia dawa ya kuuwa kmamba na vpepeo utaweka urea mbolea ya kiwandan kwa 1kg kwa madukan n 3400 iv kama ww upo kama ss tuchukuwa kwa ruzuk bei ya serkali ukisha weka mbolea utaweka maji coz mbolea inachoma mboga kama ardh aina ubch uksha maliza kaa wk then iyo tayr kwa mauzo chainese inafaida kwa mkulima endapo utakutana na soko nzr pia ina michumo ming kama michumo 5 ndyo inakufa lakn sjajua ulipo n walaji
 
Chakwanza kabisaa uwe nauwakka wa soko coz mm soko la mboga sehem nilipo nkubwa Arusha wtu wanakula mboga sana nakupa tu muongozo kama n mbegu ya chnes inaitaji mamby ya fuatayo handaa shamba lako kwa kulima uksha maliza tengeneza vjaruba au fachi kulingana na ww unavo itaj kwa kupembua au kureki hizo vjaruba na ukishamaliza unasia mbegu yako kwa kurusha kwa utaalam coz chainses punje moja ina uwezo Wa kutowa mashna mawl mpaka nne ukishamaliza weka maji Vaasa ya sku tatu utauna imechanua sku kumi mpaka 14 unapulizia dawa ya kuuwa kmamba na vpepeo utaweka urea mbolea ya kiwandan kwa 1kg kwa madukan n 3400 iv kama ww upo kama ss tuchukuwa kwa ruzuk bei ya serkali ukisha weka mbolea utaweka maji coz mbolea inachoma mboga kama ardh aina ubch uksha maliza kaa wk then iyo tayr kwa mauzo chainese inafaida kwa mkulima endapo utakutana na soko nzr pia ina michumo ming kama michumo 5 ndyo inakufa lakn sjajua ulipo n walaji
Ahsante mkuu hakika umenielekeza na nimepata dodoso nianzie wapi nikikwama ntakufuata pm mkuu
 
Mkuu kwanza kabisa anza kuangalia mazingira mazuri ya soko ya mboga mboga hasa eneo ulipo jaribu kupitia kwenye masoko ya wakulima yale kama yapo pia jaribu kupitia kwa wanaouza mboga waulize huwa wanachukua aidha kwa (tenga) au (mfuko) moja Shilling ngapi ukipata ABC za soko sasa njoo tuingie shambani.

Umesema una nusu eka si ndio master? Sasa na uzuri umesema eneo lina fensi na kisima kipo,, sasa basi angalia uwezekano wa kupata mbolea ya samadi kwanza, na ujue udongo wa eneo lako husika kama ni kichanga, tifutifu, mfinyanzi au wa aina gani,, kama ni tifutifu au mfinyanzi itakupa urahisi zaidi katika umwagiliaji sababu kichanga itahitaji wastani kila siku umwagilie ( pia uwe na lile bomba la kumwagilia, au mashine pia unaweza kumwagilia kwa njia ya kawaida tu ya kubeba maji kwa ndoo). Kingine hakikisha uwe na bomba la kupuliza dawa hasa kwenye chainiz sabb kuna kaugonjw flan baadhi ya maeneo huwa majini kama yanakua na ukungu au kunyauka flani hivi.

Sasa basi uwe na jembe pamoja na leki tengeneza vitalu, ( nikipata picha ntatuma mfano wake) tengeneza kitalu cha mfano wa tuta hiyo ni nzuri sababu ukimwagia maji yatakua yanaingia vizuri kwenye ardhi.

Tafuta mbegu nzuri kwenye maduka maalumu ya Chinese pamoja na mchicha,, Chinese anza kutia kwnyw kitalu ikitoka ikifika walau inch4 pandikiza kwenye vitalu vyako ulivoandaa kwa kusia miche, pia kuna option ya wauzaji wa miche unaweza kwenda kununua miche iliyo tayari kwa kupandwa hasa kwa wale jamaa wanaouza miche ya maua na miti wanaweza kuwa nazo.

Lakini epuka kuku maeneo hayo maana ni waharibifu sana wa mboga mboga hasa Chinese,

Kwa maelezo zaidi tembelea duka lolote la pembejeo za kilimo utapata maelezo zaidi kuhus mbolea nzuri, pia viuatilifu bora pamoja na mda wa kupanda pamoja na kuanza kuvuna mboga zako,, usiogope ingia duka lolote wapige maswali ya kutosha hata kama hununui chchte Mkuu
 
Nashauri!Anza kazi uzoefu utaupatia huko field ACHAna na kilimo Cha mitandaoni.
 
Mkuu kwanza kabisa anza kuangalia mazingira mazuri ya soko ya mboga mboga hasa eneo ulipo jaribu kupitia kwenye masoko ya wakulima yale kama yapo pia jaribu kupitia kwa wanaouza mboga waulize huwa wanachukua aidha kwa (tenga) au (mfuko) moja Shilling ngapi ukipata ABC za soko sasa njoo tuingie shambani.

Umesema una nusu eka si ndio master? Sasa na uzuri umesema eneo lina fensi na kisima kipo,, sasa basi angalia uwezekano wa kupata mbolea ya samadi kwanza, na ujue udongo wa eneo lako husika kama ni kichanga, tifutifu, mfinyanzi au wa aina gani,, kama ni tifutifu au mfinyanzi itakupa urahisi zaidi katika umwagiliaji sababu kichanga itahitaji wastani kila siku umwagilie ( pia uwe na lile bomba la kumwagilia, au mashine pia unaweza kumwagilia kwa njia ya kawaida tu ya kubeba maji kwa ndoo). Kingine hakikisha uwe na bomba la kupuliza dawa hasa kwenye chainiz sabb kuna kaugonjw flan baadhi ya maeneo huwa majini kama yanakua na ukungu au kunyauka flani hivi.

Sasa basi uwe na jembe pamoja na leki tengeneza vitalu, ( nikipata picha ntatuma mfano wake) tengeneza kitalu cha mfano wa tuta hiyo ni nzuri sababu ukimwagia maji yatakua yanaingia vizuri kwenye ardhi.

Tafuta mbegu nzuri kwenye maduka maalumu ya Chinese pamoja na mchicha,, Chinese anza kutia kwnyw kitalu ikitoka ikifika walau inch4 pandikiza kwenye vitalu vyako ulivoandaa kwa kusia miche, pia kuna option ya wauzaji wa miche unaweza kwenda kununua miche iliyo tayari kwa kupandwa hasa kwa wale jamaa wanaouza miche ya maua na miti wanaweza kuwa nazo.

Lakini epuka kuku maeneo hayo maana ni waharibifu sana wa mboga mboga hasa Chinese,

Kwa maelezo zaidi tembelea duka lolote la pembejeo za kilimo utapata maelezo zaidi kuhus mbolea nzuri, pia viuatilifu bora pamoja na mda wa kupanda pamoja na kuanza kuvuna mboga zako,, usiogope ingia duka lolote wapige maswali ya kutosha hata kama hununui chchte Mkuu
Ahsante mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako
 
Kuna kundi moja linaitwa profitable garden la whatsap, kuna wenzako wengi wanajuzana mambo mbalimbali kuhusu kulima mboga kwenye maeneo madogo, ni pm namba yako niwape uongeze ujuzi hukô.
 
Kuna kundi moja linaitwa profitable garden la whatsap, kuna wenzako wengi wanajuzana mambo mbalimbali kuhusu kulima mboga kwenye maeneo madogo, ni pm namba yako niwape uongeze ujuzi hukô.
naomba link ya group mkuu hata inbox
 
naomba link ya group mkuu hata inbox
Screenshot_20240522-205707.png
 
Wakuu nahitaji kulima mboga mboga hasa chinese na tembele kwenye uwanja wangu wenye ukubwa wa nusu eka, nimezunguusha fensi na nimechimba kisima kwa ajili ya maji ya kumwagilia.

Nahitaji kuelimishwa jinsi ya kuandaa shamba au kitalu, aina ya mbegu au miche na aina ya mbolea inayofaa.

Pia ni vizuri kwa anaejua soko kwa maeneo ya mijini jinsi ya kuuza jumla na lejaleja ili kutengeneza faida pamoja na changamoto zake ili niweze kujipanga

Nakaribisha mawazo yenu
Uko wapi? 0625537380 Nina elimu hiyo Kwa vitendo Karibu nikupe mbinu.kama uko dar n rahisi hata kufikiana mm Niko dar pia Nina namna ya kupata soko niliyo itafiti Kwa muda so Karibu hata kama hauko dar pia
 
Wakuu nahitaji kulima mboga mboga hasa chinese na tembele kwenye uwanja wangu wenye ukubwa wa nusu eka, nimezunguusha fensi na nimechimba kisima kwa ajili ya maji ya kumwagilia.

Nahitaji kuelimishwa jinsi ya kuandaa shamba au kitalu, aina ya mbegu au miche na aina ya mbolea inayofaa.

Pia ni vizuri kwa anaejua soko kwa maeneo ya mijini jinsi ya kuuza jumla na lejaleja ili kutengeneza faida pamoja na changamoto zake ili niweze kujipanga

Nakaribisha mawazo yenu
Karibu nikupe darasa no 0625537380 kilimo biashara hapa Kwa vitendo pia ninahiyo elimu ya kilimo biashara Kwa hiyo Karibu sana Kwa a,b,c za kilimo ukitakacho.uzuri wew umetaka kilimo Cha mboga ambazo moja kati ya mboga yako ndio nilio ifanyia tafiti na kupata soko lake tutabadiliahana sana mawazo kama una hasira ya utajiri na uko na mtaji mzuri ila Karibu Kwa elimu.

0625537380 nicheki whtsapp iwe kawaida ni wewe tu
 
Wakuu nahitaji kulima mboga mboga hasa chinese na tembele kwenye uwanja wangu wenye ukubwa wa nusu eka, nimezunguusha fensi na nimechimba kisima kwa ajili ya maji ya kumwagilia.

Nahitaji kuelimishwa jinsi ya kuandaa shamba au kitalu, aina ya mbegu au miche na aina ya mbolea inayofaa.

Pia ni vizuri kwa anaejua soko kwa maeneo ya mijini jinsi ya kuuza jumla na lejaleja ili kutengeneza faida pamoja na changamoto zake ili niweze kujipanga

Nakaribisha mawazo yenu
Karibu nikupe darasa no 0625537380 kilimo biashara hapa Kwa vitendo pia ninahiyo elimu ya kilimo biashara Kwa hiyo Karibu sana Kwa a,b,c za kilimo ukitakacho.uzuri wew umetaka kilimo Cha mboga ambazo moja kati ya mboga yako ndio nilio ifanyia tafiti na kupata soko lake tutabadiliahana sana mawazo kama una hasira ya utajiri na uko na mtaji mzuri ila Karibu Kwa elimu.

0625537380 nicheki whtsapp iwe kawaida ni wewe tu
 
Karibu nikupe darasa no 0625537380 kilimo biashara hapa Kwa vitendo pia ninahiyo elimu ya kilimo biashara Kwa hiyo Karibu sana Kwa a,b,c za kilimo ukitakacho.uzuri wew umetaka kilimo Cha mboga ambazo moja kati ya mboga yako ndio nilio ifanyia tafiti na kupata soko lake tutabadiliahana sana mawazo kama una hasira ya utajiri na uko na mtaji mzuri ila Karibu Kwa elimu.

0625537380 nicheki whtsapp iwe kawaida ni wewe tu
Ahsante mkuu ungeanzia hapa kutupa darasa ingependeza hasa kwa vitu nilivoainisha kwenye uzi wangu
 
Ahsante mkuu ungeanzia hapa kutupa darasa ingependeza hasa kwa vitu nilivoainisha kwenye uzi wangu
Sijakuelewa ebu rekebisha maandishi yako.darasa kama nimekuelewa ugumu wa hapa watu ukiandika theory wanaita vilimo vya mtandaoni n vingi tunaonekana hatujawahi kulima ni njia tu za umotivation speaker ssa nimeweka Kwa tangazo lengo ni hili Kun mtu ana mtaji ana Shamba ila hajui kulima Kwa mbinu za kisasa toka kuandaa Shamba mbegu Bora mpaka kuvuna ndo mana nimeweka hyo no yangu na mawasiliano Kwa mwenye passion na utayari asie nao aache.ila hata akitaka ushauri Nampa kama haitowezekana mm kufika site hpa s tufanye ki vitendo. Hapa ni hiari ya mwenye utayari na project ya kilimo
 
Back
Top Bottom