Ushauri unahitajika kilimo cha mboga mboga maeneo ya mjini

Kuna malipo yoyote
 
Kama una ubinadamu utajitazama mwenyewe ila mm nakupa elimu fair sababu sisi n vijana naweza sema nikuchaji kumbe na wew unajitafuta kama mm matokeo yake nakuwa kama kunguni tu badala nikuache ungezeke damu mm nakuibia damu hata kidogo uliyo nayo
 
Kama una ubinadamu utajitazama mwenyewe ila mm nakupa elimu fair sababu sisi n vijana naweza sema nikuchaji kumbe na wew unajitafuta kama mm matokeo yake nakuwa kama kunguni tu badala nikuache ungezeke damu mm nakuibia damu hata kidogo uliyo nayo
Sawa nimekuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…