no name no name
Member
- Jan 20, 2012
- 20
- 11
Naomba kuuliza wadau, kama gari zinazouzwa yard, Dar zipo za kuaminika. Napata shida sana nikiwaza kuagiza gari (used) toka Japan au kwingineko kwa kuwa muda wa kusubiria ni mrefu sana. Naomba kama kuna mtu ana info ya mahali Dar, naweza kupata gari za kuaminika na bei reasonable.
Yard nyingi wanacheza na adometer, yani gari imetembea 200,000km inarudishwa hadi 70,000 km then unauziwa mbuzi kwenye gunia, gari nyingi hua zimetumika hapa bongo then wamiliki wanazidisplay yard then ikiuzwa wanamlipa commision yule mwenye yard. vile vile gari nyingi huwa zinatoka uarabuni "Dubai" ambako wao sio wazalishaji wa magari, hua wananunua gari used kutoka japan au uk, wanaitumia then wana recondition kwa hiyo wewe unakua "third hand"
Niliagiza gari zangu Nissan Civillian bus mara tatu kupitia kampuni moja ya Japan. kila gari ikifika sikuamini macho yangu kwa jinsi ilivyo nzima. Pia kuagiza gari ni risk sana kama hauna uzoefu. watu wengi wamelia, "sikutanii"
Ninachoweza kukusaidia, ni kukuagizia gari kwa kutumia uzoefu wangu, risk zote ntazibeba mimi. Tutafunga mkataba na nitaweka dhamana gari yangu moja, kama hiyo gari haitakuja ndani ya miezi miwili ntakurudishia pesa yako.
Kama uko interested wasiliana na mimi kwa namba 0763294739,ila utanilipa commision kidogo. Zaidi ya hapo nakuhakikishia gharama ya kununua hilo gari itakuwa chini kwa zaidi ya 3million ukilinganisha na bei za yard.