Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

Ushauri: Used Car ndo imetoka Japan iko majini inakuja

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,433
Reaction score
1,442
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.

Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.

Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika nashauriwa kufanya maintenance zipi kabla haija kaa barabarani?
  • Kumwaga oil?
  • General check up?
  • Kubadili matairi ( yaliyopo yapo condition nzuri, yana score ya 5/10 kwenye ukaguzi wao.

- Vitu gani vingine vya kucheki?

Kuhusu kwenye mambo ya fees nikilipa on time inachuchukua siku ngapi kutoa gari bandarini?

Asanteni na siku njema pia
 
Gari ikifika angalia Tu matairi yapo condition gani pia check engine oil kama imechoka Ila nakushauri umwage Tu. Pia check na pads za break kama ziko Sawa Kwa kifupi hakuna shida Sana Kwa used za Japan
 
Angalia condition report ya gari na ikifika soma service book ya wajapani (imeandikwa kijapani jitahidi uisome hivyo hivyo).


Hamna haja ya kubadili chochote haraka-haraka mwishowe wakuibie masega bure.

Kama ni mtu wa safari badili tairi tu kama zimepita mda wake.

Service utafanya angalau baada ya km 3000 tena ya kumwaga engine oil.

Andaa keyholder ya kuwekea kwenye ruksi za suruali ndo mhimu.
 
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.

Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini...
Kwanza mwaga oil maana kutoka Japan kuja Bongo si mchezo, kisha badilisha matairi maana yatakuwa yamechoka kutembea nchi kavu na baharini si mchezo.
 
Sizani kama io n shida kwa sasa maana pale pale gari ako haitopata go ahead ya registration kama kuna faults ktk angle yeyote so we utaambiwa tu kitu fulani hakiko sawa hadi urekebishe ndo gari ipitishwe
 
Asante sana mkuu nitafanya hivyo
Gari ikifika angalia Tu matairi yapo condition gani pia check engine oil kama imechoka Ila nakushauri umwage Tu. Pia check na pads za break kama ziko Sawa Kwa kifupi hakuna shida Sana Kwa used za Japan
 
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.

Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.

Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika nashauriwa kufanya maintenance zipi kabla haija kaa barabarani?
  • Kumwaga oil?
  • General check up?
  • Kubadili matairi ( yaliyopo yapo condition nzuri, yana score ya 5/10 kwenye ukaguzi wao.

- Vitu gani vingine vya kucheki?

Kuhusu kwenye mambo ya fees nikilipa on time inachuchukua siku ngapi kutoa gari bandarini?

Asanteni na siku njema pia
Waandalie jamaa wa TBS 300 kiroho Safi.
 
Gari ikifika angalia Tu matairi yapo condition gani pia check engine oil kama imechoka Ila nakushauri umwage Tu. Pia check na pads za break kama ziko Sawa Kwa kifupi hakuna shida Sana Kwa used za Japan
Bandarini haipiti bila kuwapa jamaa wa inspection Chao!
 
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio.

Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa kupigwa hapa mjini.

Gari ndo imetoka KOBE, Japan jana inategemea kufika huku mwezi wa nne. Je ikifika nashauriwa kufanya maintenance zipi kabla haija kaa barabarani?
  • Kumwaga oil?
  • General check up?
  • Kubadili matairi ( yaliyopo yapo condition nzuri, yana score ya 5/10 kwenye ukaguzi wao.

- Vitu gani vingine vya kucheki?

Kuhusu kwenye mambo ya fees nikilipa on time inachuchukua siku ngapi kutoa gari bandarini?

Asanteni na siku njema pia
Twende kwenye mbususu Kwanza, hayo yatafuata
 
Mwaga engine na gearbox oil hata kama zitaonekana bado ziko vizuri, mara nyingi huwa hazieleweki zimetembea km ngapi kabla ya kuwa imported. Pia fundi akuchekie spark plugs gari nyingi huwa zinakuja na plug zilizochoka. Check pia condition ya tyres hasa year of manufacture kama bado ziko within time unaweza dunda nazo hadi mkoa, funei anapochek akague na brake pads. Mara nyingi hivyo ndiyo vinakuwaga na shida otherwise karibu road mzee... traffic police, sheli, Tarura watakuwa rafiki zako wapya 😂
 
Pajero mkuu
Engine oil ndio kitu cha kwanza hayo mengine unaweza fanya polepole,mimi niliagiza Pajero GDI,niliichukua ijumaa nikasema ngoja nitembee nayo mjini kidogo nitachange oil J.tatu,ile niko kwa fundi j.tatu anamwaga oil huwezi amini, haikufika hata lita moja,ilikuwa nyeusi kama lami,nilishangaa hata iliwezaje kitembea,na haikuwa na shida yoyote.Fundi alinishauri niweke oil mpya na kuibadili kila ikifika km 1000 mara tatu then nitaendelea na schedule ya kawaida,nilifuata maelekezo na ikawa poa tu haikuwahi kunisumbua...
 
Engine oil ndio kitu cha kwanza hayo mengine unaweza fanya polepole,mimi niliagiza Pajero GDI,niliichukua ijumaa nikasema ngoja nitembee nayo mjini kidogo nitachange oil J.tatu,ile niko kwa fundi j.tatu anamwaga oil huwezi amini, haikufika hata lita moja,ilikuwa nyeusi kama lami,nilishangaa hata iliwezaje kitembea,na haikuwa na shida yoyote.Fundi alinishauri niweke oil mpya na kuibadili kila ikifika km 1000 mara tatu then nitaendelea na schedule ya kawaida,nilifuata maelekezo na ikawa poa tu haikuwahi kunisumbua...
Shukran mkuu, nitafanya hivyo km ulivyonishauri.Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom