Mbona wakina mbowe walichangiwa ??!!Hawa ni lile kundi ambalo mimi nimelichana hapa JF hivi karibuni, lina mambo ya hovyo sana. Hili kundi linachangishana pesa huku likitoa maneno ya kashfa kwa mkuu wetu. Nina wasiwasi wana lengo la kuzuia haki isitendeke.
Vyombo vya kisheria na vya kidola viwakamate,viwahoji na ikibidi wapelekwe mahakamani. Kukamatwa kwao hakutawashangaza kwa kuwa hata wao walikuwa wanachongea watu wengine wakamatwe.
Mnachanga ili isaidie kwenye nn??Mbona kina Mbowe na viongozi wengne wa Chadema tuliwachangia pale walipopatikana na hatia mahakamani na walikuwa wakikejeli na kudhihaki Serikali, kwann kwa Sabaya iwe nongwa!???
Pili, michango kwa huyó Sabaya kunaathirije mwenendo wa kesi mpaka vyombo vya dola viwakamate!??
Kwani kuchangia mtu pesa ni uvunjifu wa sheria!??
Sabaya lazima aozee jela,hatatoka mileleNi swala la muda tu mkuu, ila nakwambia wazi Maza anajua beat anayopiga kapata dancers wa kutosha
Hvyo baada ya muda hii ishu ya huyu dogo itakuwa haina kiki tena kisha baadae utasikia 'DPP hana nia ya kuendelea na kesi..'
You must be mad.Mbona kina Mbowe na viongozi wengne wa Chadema tuliwachangia pale walipopatikana na hatia mahakamani na walikuwa wakikejeli na kudhihaki Serikali, kwann kwa Sabaya iwe nongwa!???
Pili, michango kwa huyó Sabaya kunaathirije mwenendo wa kesi mpaka vyombo vya dola viwakamate!??
Kwani kuchangia mtu pesa ni uvunjifu wa sheria!??
hawakuwa wakiongoza makundi ya kihalifu na unyanyasaji
Jambaz lenzie hiliMbona kina Mbowe na viongozi wengne wa Chadema tuliwachangia pale walipopatikana na hatia mahakamani na walikuwa wakikejeli na kudhihaki Serikali, kwann kwa Sabaya iwe nongwa!???
Pili, michango kwa huyó Sabaya kunaathirije mwenendo wa kesi mpaka vyombo vya dola viwakamate!??
Kwani kuchangia mtu pesa ni uvunjifu wa sheria!??