Ushauri wa Afya za viongozi: Lissu, Samia na Mpango punguzeni uzito wa mwili

Ushauri wa Afya za viongozi: Lissu, Samia na Mpango punguzeni uzito wa mwili

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mimi binafsi najua kwamba afya zetu ni muhimu sana ! Tunavyokuwa watu wazima ni lazima tubadilike bila hivyo magojwa yanaongezeka sana. Mimi binafsi napata shida sana kupungua na kwasababu hiyo nakula mara mbili kwa siku mlo wangu wa kwanza ni kuanzia saa nne na nusu asubuhi na wa mwisho sio zaidi ya saa moja usiku ili niwe na masaa 15 ya kufunga.

Viongozi wetu Lissu, Mama Samia na Mpango nao nawashauri wafanye hivyo kwenye vyakula na watenge saa moja kila siku kwasababu ya mazoezi. Ikiwezekana watafute mtaalamu wa lishe anya dietician kabisa wa kuwasaidia. Uzito utawaletea magojwa mengi wasipokuwa makini zaidi. Lissu hajafikisha miaka 60 lakini ukilema wake utampa changamoto zaidi ya uzito. Kupungua kwa Lissu ni muhimu sana kwasababu kutasaidia na mguu wake ambao alipigwa risasi. Haya ni mambo binafsi lakini tusiogope kuwashauri wapedwa wetu.

Pamoja na tofauti za kisiasa afya kwa ndugu zetu wowote ni muhimu.
 
Mimi ningeshauri wapelekwe keko wakae mwezi mmoja. Mbona Singa na Ruge walikaa sawa!
 
1740495597069.png
1740495631815.png
1740495683027.png
 
Mimi binafsi najua kwamba afya zetu ni muhimu sana ! Tunavyokuwa watu wazima ni lazima tubadilike bila hivyo magojwa yanaongezeka sana. Mimi binafsi napata shida sana kupungua na kwasababu hiyo nakula mara mbili kwa siku mlo wangu wa kwanza ni kuanzia saa nne na nusu asubuhi na wa mwisho sio zaidi ya saa moja usiku ili niwe na masaa 15 ya kufunga.

Viongozi wetu Lissu, Mama Samia na Mpango nao nawashauri wafanye hivyo kwenye vyakula na watenge saa moja kila siku kwasababu ya mazoezi. Ikiwezekana watafute mtaalamu wa lishe anya dietician kabisa wa kuwasaidia. Uzito utawaletea magojwa mengi wasipokuwa makini zaidi. Lissu hajafikisha miaka 60 lakini ukilema wake utampa changamoto zaidi ya uzito. Kupungua kwa Lissu ni muhimu sana kwasababu kutasaidia na mguu wake ambao alipigwa risasi. Haya ni mambo binafsi lakini tusiogope kuwashauri wapedwa wetu.

Pamoja na tofauti za kisiasa afya kwa ndugu zetu wowote ni muhimu.
Amiri jeshi mkuu inabidi awe anaruka hata kichura chura na kupiga push up ili awe fiti au mnasemaje ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom