cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Naomba kunishauri, biashara gani kati ya hizo haina complication Nahitaji kufungua biashara, akili yangu inawaza biashara tatu lakini moja tu ndo inabidi nichague kati ya hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duka la dawa naona yanafungwa fungwa na wahudum kusumbua though mwenyewe Nina addo ila ni muajiliwa.nawaza sana juu ya wahudum alafu sometime wana mtindo wa kuweka dawa zao kisiri siri huku zako zikisimama,akija mteja anauza zake kwani.Ngoja waje wazoefu.
Ingawa naona la DLM ni best zaidi
Hujaweka location kila kimoja hapo kina location yakeNaomba kunishauri,biashara gani kati ya izo haina complication Nahitaji kufungua biashara ila akili yangu inawaza biashara tatu lakini moja tu ndo inabidi nichague kati ya izo.
Stationary iko poa but it depends na location..
Nipate idea kwani ya biashara then mengine yatafata.Hujaweka location kila kimoja hapo kina location yake
Nikishapata idea ni biashara gani then I m going to search for a location sijui nipo sahihi?Nipate idea kwani ya biashara then mengine yatafata.
Utafeli mapema kabisa kabla hujaanza.. Biashara yako lazima iwe na kiasili cha kiroho..Nipate idea kwani ya biashara then mengine yatafata.
Location muhimu sana..Nipate idea kwani ya biashara then mengine yatafata.
SawaSio stationary ni stationery.
Ni biashara ipi ambayo hilo halifanyiki?Duka la dawa naona yanafungwa fungwa na wahudum kusumbua though mwenyewe Nina addo ila ni muajiliwa.nawaza sana juu ya wahudum alafu sometime wana mtindo wa kuweka dawa zao kisiri siri huku zako zikisimama,akija mteja anauza zake kwani.
Location tuu? what about profession, let's say me fundi ujenzi then nifungue duka la dawa nitatoboa?Hujaweka location kila kimoja hapo kina location yake
"biashara yako lazima iwe na kiasili cha kiroho"Utafeli mapema kabisa kabla hujaanza.. Biashara yako lazima iwe na kiasili cha kiroho..
"biashara yako lazima iwe na kiasili cha kiroho"
umemaanisha nini hapa mkongwe
Nimesom nursing na Nina addoLocation tuu? what about profession, let's say me fundi ujenzi then nifungue duka la dawa nitatoboa?
ThanksNina uzoef na duka la dawa coz ninalo linalipa km tu ukikaa mwenyewe Au utae muweka awe mwaminifu kidg ,
Kupigwa kupo na hakukosek
Bt fany biashara ambayo una ijua Yan upo kweny hyo fun kidogo inakuwa rahc km ur not medical personal itasumbua Kidg coz hujui lolote
Ila km n medical yes itakuwa rahc
Pia unaweza ucwe medical Ila ukakaaa dukan Mda wote na ukaajir medical inawezakan ww ukawa unapokea pesa tuu yes inawezekana
Note : unahitaj experience kidg Au Kishikwa mkono na mtu alie kwenye hyo fun il Kukujuza wap dawa znapatkan kwa bei rahic, unapata wap flam, maeneo gan mazur ya kibiashara na mengneyo meng
Ila inalipa
iyo ya stationery iko kichwani mwangu snce 2019 naamini ipo sku ntafungua kwa uwezo wa MunguNaomba kunishauri, biashara gani kati ya hizo haina complication Nahitaji kufungua biashara, akili yangu inawaza biashara tatu lakini moja tu ndo inabidi nichague kati ya hizo.