Ushauri wa bure: Ally Kiba nenda ukasainishwe WCB ili mziki wako upae

Sawa nimekuelewa fan wangu,lakini bado nashauku ya kujua kwanini bratha mondi alimtuma sk aje kunizimia mic mombasa??
 
Kwa mara ya kwanza nakutana na shabiki wa kibakuli mwenye akili..[emoji106]
 
me nadhani ajifunze kwa nini dai anafanikiwa na yeye afanye nini au mashabiki wanataka nini ili atusue zaidi,
But bado Tuzo za Afrimma hazijakaa sawa,
huwezi sema akothee ni Best Female East Africa kwa sababu Vanessa Music wake toka aanze kutoa anatoboa na show anapata, sasa hebu fuatilia Nyimbo za Vmoney kali sana kwa mfano No body, Niroge, Never zimepigwa sana ktk tv mbalimbali huwezi fananisha na Mwanadada Akothe, So Tuzo za Afrimma kuna sehemu hazijakaa sawa nadhani zimekaa kama Matangazo fulani
 
Hapo kwenye interview umeongea ukweli nilifikiri ni mimi tu huwa namuona hivyo, ni kweli anakuwa amejikaza halafu anakuwa kama ana hasira vile.
 
Acheni ujinga diamond hawezi miliki mziki wa bongo. Akili ndogo haiwezi kuongoza kubwa. Diamond sio mwanamuziki ni mdandiaji chini ya redio fulan inayo tumiwa na kiongoz fulan kuongoza jiji. Kiba vumilia siku zinakuja wasafi itakuwa wachafu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…