Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote!

Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote!

Ka' Pasco , nina maswali machache, huenda hii ni post yako ya Mwisho kabla hujateuliwa kuchukua nafasi Bi Zuu aliyeondolewa Pale MAGOGONI.
1. Wasaliti hawa 19 wameomba msamaha?
2. Wasaliti hawa 19 inasemekana wamenunuliwa kwa vipande vya fedha, jinai haifi, rushwa haina ukomo, je Huoni itakuwa ticket ya kuwaengua watapogombea kwakuwa mtoaji ana ushahidi?
3. Damage ya Chama waliyosababisha hawa "virusi 19" inatibika kwa neno la mtu kuwasamhehe?
4. Kama Mwenyekiti Mbowe alikwenda, kwa nia njema kabisa, ikulu kuridhiana na CCM na chama kikaanza kupasuka na UVCCM wenyewe wakapa credit kuwa amelishwa asali, vipi kama akisema wamewasamehe, si ndio watasema kajengewa majumba Dubai na kulamba asali?

My take: Waendelee kula dhulma yao, wao na vizazi vyao mpaka cha nne, [ahadi kwenye Biblia na haitokaa kubadilika]!
msiwaongelee tu hao kina dada je waliyotaka kuyafanya chadema chini ya mwenyekiti mbowe yalikuwa sahihi? yaani wawaengue kina mdee halafu mbowe aweke mahawala zake unahonga ubunge ? kina mdee wakashtuka mapema kabisa wakaona kama mbwai na iwe mbwai hakuna mtu kuachia ngazi kisa malaya wa mwenyekiti kalilia ubunge katikati ya tendo n
 
Pascal Mayalla unaposema " uchaguzi mdogo" unamaanisha nini!!??

Wanasheria wetu huwa mnatafsirije Sheria. Hao hawafanyiwi uchaguzi Bali huteuliwa.

Uteuzi hauna ukomo wa muda uliowekwa kisheria.

Mtu anaweza kuteuliwa siku moja kabla ya bunge kuvunjwa na akastahili stahili zote za kibunge.
Mkuu Allen Kilewella , uteuzi wa ubunge usio na ukomo ni kwa zile nsfasi za wabunge wa kuteuliwa na rais, lakini sio kwa nafasi za viti maalum!. Wakitenguliwa leo, there is no room for Chadema kuteua wengine!
P
 
Mkuu Allen Kilewella , uteuzi wa ubunge usio na ukomo ni kwa zile nsfasi za wabunge wa kuteuliwa na rais, lakini sio kwa nafasi za viti maalum!. Wakitenguliwa leo, there is no room for Chadema kuteua wengine!
P
Ndiyo uelezee hiyo hoja yako unaijenga juu ya Sheria gani iliyoandikwa!?

Maana lazima kuwe na Sheria inayosema uteuzi hautafanyika kufuatana na miezi 12 kabla ya bunge kuvunjwa.
 
Kama ni hivyo na wahafungwa waliopo gerezani nao wasamehewe
Mabilioni waliokula hawa Covid-19 ni zaidi ya mtu aliyefungwa maisha, labda useme walionyongwa na wao warudishiwe uhai, of which is imposible!

Suluhisho: Wananchi wawaombee hawa Covid-19 , hizo fedha walizodhulumu iwe anguko lao na laana kwao mpaka kizazi cha nne kama vitabu vya waarabu na wazungu visemavyo!
 
Duh! Mkuu mleta mada, imekuwaje tena leo umekuja na hili, nahisi lilishasahaulika. Kwani nini kimejiri kipya?! 😄
Mkuu nimekumbuka Marehemu Mchungaji Mtikila alivyoshida shauri mahakamani la mgombea binafsi.Uhuru wa kuwa mbunge bila kupitia chama cha kisiasa. Hata hivyo serikali ilikata rufaa nadhani majibu ya hukumu ndio hayo yanayoruhusu partless representation ya hawa covid-19 ,ukiona bado wapo bungeni ni wazi wameshinda mashtaka kwa hakimu aliyepo.
 
Wanabodi

Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema
(5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.

Hivyo nashauri Chadema iachane na hili jambo, kwa muda huu uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa bunge, hakuna tena uchaguzi mdogo wowote, hivyo jambo hili halina maslahi yoyote kwa Chadema, kama nilivyoshauri toka mwanzo, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Baada ya Chadema kuutambua uchaguzi wa 2020 na kumtambua mbunge wake mmoja Mhe. Aida Khenan, Chadema ilikuwa inapigania hao wabunge 19, watenguliwe, ili iteau wabunge 19 wengine, lakini sasa kwa muda uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, hakuna uchaguzi mdogo wowote mpaka uchaguzi ujao!, hivyo hata kama watashindwa mahakamani na kuvuliwa ubunge, hakutakuwa na maslahi yoyote kwa Chadema!.

Hivyo ni bora Chadema iwasamehe, ujikusanyie maokoto yao kwa ule utaratibu wao, Bunge likishavunjwa, ndipo imalizane nao ndani kwa ndani. Kitendo cha kuwasamehe, watu kama Halima Mdee, Esta Matiko na Esta Bulaya ni watu wenye uwezo mkubwa kurejea Bungeni.

Huu ni ushauri tuu

Paskali
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu issue hii ya wabunge 19 wa Chadema
  1. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  2. Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?
  4. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
  5. J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake
  6. mkeka unaendelea...
"Hivyo ni bora Chadema iwasamehe, ujikusanyie maokoto yao kwa ule utaratibu wao"! Paskal mbona unawaona Chadema kama vile mataahira! Hasira zako dhidi ya Chadema mbona ziko kimtaani sana hazilingani na mtu anayetamani siku moja awe kama Lakha!
Mimi nilidhani baada ya mahakama kutoa hukumu Chadema walimalizisna nao hapo kwani haina mamlaka kikatiba na kisheria kumuingiza mtu asiye mwanachama wao ndani ya ukumbi wa bunge, kama mahakama ilitamka hao si wanachama wa Chadema, Chadema inahusikaje na wao kuwemo ndani ya bunge!
 
Pascal Mayalla unaposema " uchaguzi mdogo" unamaanisha nini!!??

Wanasheria wetu huwa mnatafsirije Sheria. Hao hawafanyiwi uchaguzi Bali huteuliwa.

Uteuzi hauna ukomo wa muda uliowekwa kisheria.

Mtu anaweza kuteuliwa siku moja kabla ya bunge kuvunjwa na akastahili stahili zote za kibunge.
Mimi sikushangaa kwa Paskal kusahau au makusudi kuwa hao hawakupigiwa kura bali waliingizwa bungeni usiku kwa kutumia kinga ya Spika Ndugai.
 
Ila kwa kweli jiwe aliuharibu uchaguzi wa 2020.. Sesilia Pareso mpaka aliwezekana kurubuniwa na vipande vya fedha??
 
Wanabodi

Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema
(5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.

Hivyo nashauri Chadema iachane na hili jambo, kwa muda huu uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa bunge, hakuna tena uchaguzi mdogo wowote, hivyo jambo hili halina maslahi yoyote kwa Chadema, kama nilivyoshauri toka mwanzo, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Baada ya Chadema kuutambua uchaguzi wa 2020 na kumtambua mbunge wake mmoja Mhe. Aida Khenan, Chadema ilikuwa inapigania hao wabunge 19, watenguliwe, ili iteau wabunge 19 wengine, lakini sasa kwa muda uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, hakuna uchaguzi mdogo wowote mpaka uchaguzi ujao!, hivyo hata kama watashindwa mahakamani na kuvuliwa ubunge, hakutakuwa na maslahi yoyote kwa Chadema!.

Hivyo ni bora Chadema iwasamehe, ujikusanyie maokoto yao kwa ule utaratibu wao, Bunge likishavunjwa, ndipo imalizane nao ndani kwa ndani. Kitendo cha kuwasamehe, watu kama Halima Mdee, Esta Matiko na Esta Bulaya ni watu wenye uwezo mkubwa kurejea Bungeni.

Huu ni ushauri tuu

Paskali
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu issue hii ya wabunge 19 wa Chadema
  1. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  2. Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?
  4. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
  5. J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake
  6. mkeka unaendelea...
Kwani hao bado ni wanachama wa Chadema?
 
HAPO KWA SUALA HILI LA WABUNGE 19 CHADEMA IMEONYESHA UDHAIFU MKUBWA SANAAAA TENA SANAAA MIAKA MITANO HUKU WAKIJINASIBU WANA WANASHERIA NGULI HUKU WAKIJINASIBU KUWA WANA HAKI YA KILA KITU NA BADO WAMESHINDWA KUWATOA BUNGENI UKIONA HIVYO HOJA ZAO ZILIKUWA DHAIFU SANA KUWATOA HAO KINA DADA BUNGENI NA BADO WATAWATESA SANAAAA
We kama siyo chawa, basi we utakuwa kiluwiluwi wa chura. Hivi Chadema ndo wanapanga tarehe na precedence za mahakama? Aliyefanya kesi kuchukua miaka 5 ni mahakama butu zinazoendeshwa Kwa rimoti kutoka Lumumba, Chamwino na Magogoni
 
Wanabodi

Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema (5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.

Hivyo nashauri Chadema iachane na hili jambo, kwa muda huu uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa bunge, hakuna tena uchaguzi mdogo wowote, hivyo jambo hili halina maslahi yoyote kwa Chadema, kama nilivyoshauri toka mwanzo, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Baada ya Chadema kuutambua uchaguzi wa 2020 na kumtambua mbunge wake mmoja Mhe. Aida Khenan, Chadema ilikuwa inapigania hao wabunge 19, watenguliwe, ili iteau wabunge 19 wengine, lakini sasa kwa muda uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, hakuna uchaguzi mdogo wowote mpaka uchaguzi ujao!, hivyo hata kama watashindwa mahakamani na kuvuliwa ubunge, hakutakuwa na maslahi yoyote kwa Chadema!.

Hivyo ni bora Chadema iwasamehe, ujikusanyie maokoto yao kwa ule utaratibu wao, Bunge likishavunjwa, ndipo imalizane nao ndani kwa ndani. Kitendo cha kuwasamehe, watu kama Halima Mdee, Esta Matiko na Esta Bulaya ni watu wenye uwezo mkubwa kurejea Bungeni.

Huu ni ushauri tu

Paskali
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu issue hii ya wabunge 19 wa Chadema
  1. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  2. Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?
  4. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
  5. J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake
  6. mkeka unaendelea...
Ushauri wa kinjaa kutoka Kwa mtu mweye mañjaa (i.e: Mayalla= Njaa/ mañjaa)
 
Wanabodi

Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema (5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.

Hivyo nashauri Chadema iachane na hili jambo, kwa muda huu uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa bunge, hakuna tena uchaguzi mdogo wowote, hivyo jambo hili halina maslahi yoyote kwa Chadema, kama nilivyoshauri toka mwanzo, CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Baada ya Chadema kuutambua uchaguzi wa 2020 na kumtambua mbunge wake mmoja Mhe. Aida Khenan, Chadema ilikuwa inapigania hao wabunge 19, watenguliwe, ili iteau wabunge 19 wengine, lakini sasa kwa muda uliobakia kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, hakuna uchaguzi mdogo wowote mpaka uchaguzi ujao!, hivyo hata kama watashindwa mahakamani na kuvuliwa ubunge, hakutakuwa na maslahi yoyote kwa Chadema!.

Hivyo ni bora Chadema iwasamehe, ujikusanyie maokoto yao kwa ule utaratibu wao, Bunge likishavunjwa, ndipo imalizane nao ndani kwa ndani. Kitendo cha kuwasamehe, watu kama Halima Mdee, Esta Matiko na Esta Bulaya ni watu wenye uwezo mkubwa kurejea Bungeni.

Huu ni ushauri tu

Paskali
Mabandiko mengine ya mwandishi kuhusu issue hii ya wabunge 19 wa Chadema
  1. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
  2. Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?
  3. Je, wabunge 19 wa CHADEMA walijiteua? Je, CC ya CHADEMA ni Kangaroo Court? Je, Baraza Kuu litabariki ukangaroo ule?
  4. Spika Dkt. Tulia yuko sahihi sana, CHADEMA wajifunze kufanya vitu kwa usahihi na wafanye kiusahihi
  5. J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake
  6. mkeka unaendelea...
paschal Mayala aligombea kura za maoni pale kawe kupitia CCM, akaambulia Kuta Moja tu!
 
We kama siyo chawa, basi we utakuwa kiluwiluwi wa chura. Hivi Chadema ndo wanapanga tarehe na precedence za mahakama? Aliyefanya kesi kuchukua miaka 5 ni mahakama butu zinazoendeshwa Kwa rimoti kutoka Lumumba, Chamwino na Magogoni
hahaaaa mmekwisha habari yenu miaka mitano mnahangaika na kin dada? kweli ? yaani wamewashinda ujanja mpaka miaka mitano inaisha mpo tu midume na mbupu zenu mbilimbili
 
Back
Top Bottom