interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
SAWA SAWA, KUMBE NDIYOMAANA WAHENGA WALISEMA "NYANI HAONI KUNDULE"[emoji848]Mjinga anaeleweshwa na mjinga mwenzake akieleweshwa na mwerevu huona ni upumbavu.
Sijawahi kuelewa hii sentensi eti mzazi hakosei doooh[emoji15]Kuna mnaosema eti mzazi hakosei?
Imeandikwa wapi?
Kwanini mzazi hakosei?
Yani kwamba mtu akishazaa tu basi anatoka kwenye ubinadamu na kuanza kuwa “Mungu”? Au?
Mzazi anakosa kama binadamu mwingine tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
YANI KUNA MAWATU YA AJABU SANA HAPA DUNIANI, MUNGU ATAITWA MUNGU TU MAANA ANATYVUMILIA MAKOSA MENGI SANA.Amueleze kitu gani?hivi wewe chanzo cha baba yako na mama yako kuachana ushawahi kukijuwa?huyo mzee anadai huyo mama ndy alimfukuza nyumbani tandale,,,tena wakati huo diamond yupo shule ya msingi,,,LAZIMA uelewe kuwa hawa WANAWAKE WAO ndy wanaanza VITA,,,baba akimaliza anaonekana mbaya,,na wao silaha yao kubwa ni WATOTO,,, ili wanajuwa huna ujanja,,,utarudi kwao tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Baba angeacha kumlilia Diamond, izi media zinamchora tu na hakuna msaada anaopata.
Mnasema hivyo kama tu Dingi ni hohe hahe....akiwa na mimali anagombaniwa, hata kuzikwa tu Ndugu mnamgombania mnapelekana mpaka Mahakamani.Mi siamini kama kumzaa mtoto ni kumsaidia ,mzazi amemzaa mtoto Kwa Raha zake
Mdingi kinachomuua ni vidole na midomo ya watu lakini yule mzee kwa vigezo vyetu vya kitanzania yupo njema sema anaonekana ana matatizo kwa kuwa mwanae ana jina kubwa na fedha za kutosha yaani ana uwezo mkubwa wa kuendesha maisha yake. Mzee ana nyumba Magomeni Kagera na wapangaji juu na huenda hata wale wanaomwona Diamond hamsaidii wazazi wao wana maisha mabovu kuliko Diamond.Huyo DIAMOND angekuwa hana mafanikio, wala yote yasingemkuta mzee,,na huyo baba YAKE angekuwa na pesa wala asingedhalilika,, TUTAFUTE PESA KWA BIDII....yote.,,yasitukute,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto siyo kitegauchumi na mzazi ni mlezi.
Hayo mengine tunayaona sisi kwa upande wetu na siyo upande wake. Mzee akubali maisha na ajitahidi kujiendeleza, hizo siyo fedha zake na akubali matokeo kwa roho safi. Kuna watu wanalea watoto kwa maisha yao yote kutokana na ulemavu wa watoto wao au sababu nyingine mbalimbali bado wanamshukuru mungu.
Laana itamtafuna sana maana hajielewi na imani ya kishirikina ni mbaya sana
Unakuwa mbali na Mungu na wasiwasi hauishi
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Yuko sahihi kabisa...wababa wengine ni majanga tu hakuna loloteMnamuonea tu Huyo diamond ..... (mimi huwa sivutiwi na Tabia zake chafu chafu) ambazo zimenifanya nisimpende kabisaa"
Lakini kama ni kweli baba yake Alimtelekeza alipo kuwa mdogo kwaajili ya mgogoro na mzazi mwenzie
Basi ana stahiki kupatwa na hicho kinacho mfika " kwa sababu mtoto hakuwa na makosa
Huwa tuna vuna tunacho kipanda' so suala la kumuona diamond kuwa hamtendei haki baba yake " wakati baba yake mwenyewe mbegu aliyoipanda ndio hiyo" ni wazi mtakuwa mnanuonea tu diamond"....., mlitaka mzee avune karanga baada ya kupanda kokoto .. !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na akiamua kuuchuna pia ni haki yakeNi sawa mkuu. Katika hali ya kawaida, mzee angejikausha na kuendelea kula hasara ya maamuzi yake kimya kimya. Lakini kutokana na umaarufu wa mwanaye, inakuwa tabu mtaani. Huyu mzee ni brazameeni fulani wa zamani, na enzi zake alikuwa Mario vile vile, maana baada ya kuondoka nyumbani kwa Mama Diamond alikwenda kuishi nyumbani kwa Mama Queen Darleen (maelezo yake mwenyewe). Huenda ndiyo maana anaona kama msaada ni kama haki yake. Hili ni funzo pia kwa viajana wa siku hizi wanao penda kulelewa na wanawake.
Ila kutokana na maoni kinzani na kuhusu hili, kwa upande wa Diamond akiamua kumsamehe na kumsaidia baba yake ni faida kwake, na hakuna hasara.
Umenisaidia kusema ya moyoni..,watu tunapenda kunyoosha vidole bila kuangalia maisha yetu kwanzaMdingi kinachomuua ni vidole na midomo ya watu lakini yule mzee kwa vigezo vyetu vya kitanzania yupo njema sema anaonekana ana matatizo kwa kuwa mwanae ana jina kubwa na fedha za kutosha yaani ana uwezo mkubwa wa kuendesha maisha yake. Mzee ana nyumba Magomeni Kagera na wapangaji juu na huenda hata wale wanaomwona Diamond hamsaidii wazazi wao wana maisha mabovu kuliko Diamond.
Ukiwa na mentality kuwa kila anayepasuankimaisha ni freemason utabaki hapo...dili na maisha yako na usonge mbele achana na ya watu
UmeonaeeeeHuyo mzee msamaha anaouomba ungekuwa na nguvu sana endapo angeomba kipindi Diamond hajafanikiwa kimaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha uko sahihiWakati ukijitwika utakatifu na ujuaji ni bora ungeuliza kwa nini huyo baba Diamond aliamua kuondoka na kumwacha mwanae. Kuna wanawake anaweza kukuambia jambo ukaondoka na suruali moja mazima, anyway tunatokea katika dini mbalimbali huenda uko sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajuaje kama na mimi nimelelewa na mama na bado nikamtafuta baba nikiwa mtu mzima. Nimesema na ninarudia tena dini yangu inasema samehe saba mara sabini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnamuonea tu Huyo diamond ..... (mimi huwa sivutiwi na Tabia zake chafu chafu) ambazo zimenifanya nisimpende kabisaa"
Lakini kama ni kweli baba yake Alimtelekeza alipo kuwa mdogo kwaajili ya mgogoro na mzazi mwenzie
Basi ana stahiki kupatwa na hicho kinacho mfika " kwa sababu mtoto hakuwa na makosa
Huwa tuna vuna tunacho kipanda' so suala la kumuona diamond kuwa hamtendei haki baba yake " wakati baba yake mwenyewe mbegu aliyoipanda ndio hiyo" ni wazi mtakuwa mnanuonea tu diamond"....., mlitaka mzee avune karanga baada ya kupanda kokoto .. !?
Sent using Jamii Forums mobile app
So kama aliambiwa nakuondoka na hiyo suruali ndio amsuse mtoto wake ...hahaa dahh so sad"....... kwahiyo kinachotaka kumrejesha kwa mtoto sasa hivi ni nini " !?, zile hasira sasa hivi zimeisha !?, now ndio anatambua kuwa diamond ni mwanae !?
Umeshawahi jiuliza swali !?, kama diamond asingekuwa hivi alivyo leo baba yake angeendelea kumlilia lilia !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufa ni faida na kuishi ni Kristo. Siogopi sana kufa lakini naogopa sana mateso ya hasira na kinyongo. Kumjua mtu alivyo inatosha sana kumsamehe.(nilishawahi kujaribu,na najua inavyokuwa).HERI KUCHAGUA JINA JEMA, NA OLE WAKO UISHI NA VINYONGO UONE TUTAVYOKUSAHAU KWA SIKU CHACHE TU KWA KUJIZALISHIA MAGONJWA KIBAO MWILINI MWAKO.
Sent using Jamii Forums mobile app