Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Kuna faida anapata mkuu. Kuna mdau kutoka ughaibuni anamtumia sent kila mwezi baada ya kupata habari zake za kususwa na wanawe. Hii ni kutokana na maneno yake mwenyewe.

Ooh! Kumbe mjini mipango tu
 
Kwa hapa amm sina cha kuchangia.Acha nikomae kulea wanangu na wazaz wangu japo sina maisha.
Lakin kitu nilichojifunza kwa wazaz wangu ni hiki "mambo yao ni yao binafsi has kama ni mabaya".
Sijawahi kushuhudia baba na mama wakigombana wala kuzozana hadharani toka nizaliwe mpaka sasa at 30s.
Nina uhakika wanapishana hilo sipingi maana wao ni wanadam lakin hawajawah kupitiwa kiasi kwamba vijana wqo tukashuhudia tofaut zao hadharani.
NADHANI NI BUSARA NA HEKIMA NA ZAID KUOMBA MUNGU ATUSAIDIE KUYAMUDU HAYA.
 
[emoji16][emoji16]mkuu umewaza mbali sana, diamond angekuwa maskini asingemlilia. Kimsing, wanaume tunakusea sana ugomvi wa mapenzi ya wawili kuhusisha watoto.. yan unagombana na utamu wako halafu unampotezea na mtoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo busara imekuja baada ya kijana kufanikiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NA AKIJALIBU KUTOA MSAADA KWA BABAKE NDIO MWISHO WAKE UTASKIA YA KANUMBA
 
Ana tamani sana Ku msaidia lakin ndo akijifanya kujalibu kumsaidia ndo mwisho wake labda apande degrees tena ndipo abadilishiwe miiko
 
Mi naona wacha amfundishe tu ili iwe fundisho kwa sisi ma BABA VITOMBI i mean yaani ukipata hela wewe upo bize na vimada mzigo wa familia umemuachia mkeo anapasuka kichwa kuwaza familia ile nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aisee a riff wapi iyo? Kwa madiba nini?
 
Hao watoto tu kawatelekeza, sembuse baba

Sent using Jamii Forums mobile app

Mmnh sizani!
Wanawake wenyewe alozaa nao wale wangeshaenda mahakamani!
Wale wameshampinga mizinga ya kimataifa kwa hiyo wako vizuri na ujasiri wa kudai hawana!
Wengine wameng’ang’ania magorofa ya Dai hapo utasema Dai hawatunzi?!
Sizani kabisa kwa hilo!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Any fool with a dick can make a baby but it take a real father to take care of his children.. Huyo sio baba ni sperm donor
 
wakati mwingine hawa wazee wanaboa sana, ila kwa kuwa hamuyajui yalimo kiundani mnaweza mshutumu kijana wa watu na kumuona mzee kama innocent, hivi diamond anashindwa kuchukua walau M.20 akampatia baba yake, ama kibiashara cha maana hapo mjini yote haya anaweza ila akikumbuka jinsi mshua alivyokuwa mdwanzi anaonelea acha ashike adabu. me kwa upande wangu naamini diamond ana hakili timamu tena sana za kujua na kuthamini, sema hata hawa wazazi nao wachunguzwe kwa jicho la tatu, jamani kuna wazazi wana maudhi zaidi ya ibilisi.. huyo mshua kwa namna moja ama nyingine siwezi mtetea maana hata chanzo cha watoto wa mitaani walio wengi wao ni kuwa na wazazi wanaotelekeza familia zao kama ilivyo kwa huyu mzee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee anaonekana NJAA imetawala maisha YAKE,,NYUMBA yenyewe mvua ikinyesha Kama MWEMBE? choo cha GHOROFA.,,Yule anaishi kwenye BANDA sio NYUMBA,,, mzee tumemsikia kwa KAULI YAKE,,,anatembeza VIATU... na ana matatizo ya MIGUU,, anapaswa KUSAIDIWA,,,yule DIAMOND ,,ANA ROHO NGUMU SN,, hivi siku MUNGU akimchukuwa yule MZEE ,,DIAMOND atashiriki MSIBA? na atashiriki kama MTOTO,,AU NDUGU? au JIRANI? msidanganywe na MAFANIKIO....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…