Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Lissu, na wanaCHADEMA wote wakiwamo Chawa na hata wabangaizaji. "Mbowe aachiwe uenyekiti hadi atakapojichokea!"

Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Lissu, na wanaCHADEMA wote wakiwamo Chawa na hata wabangaizaji. "Mbowe aachiwe uenyekiti hadi atakapojichokea!"

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii sasa ni 20/1/2025 siku moja kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwamba mwamba angali kakomaa, hasikii wala haoni miito yote iliyotolewa.

Kwamba imekuwa ni kumpigia mbuzi gitaa.

Kwamba alipo ni heri chama kife ila hang'oki hata iweje!

Looh! Roho za namna gani hizi? Kwamba ni kwa sababu anajitolea mno mapesa yake kwenye chama hiki? Sawa. Tufanye tumekubali. Kwamba hiyo ndiyo sababu kuu!

Ushauri wa bure ndugu zangu: "turejee hekima za misahafu kutokokubishana na wapumbavu, au kuvutaniana watoto!"

GgOt2QnaUAA9dOS.jpeg


Mbona Biya, Wassira na hata Museveni wapo!

GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg


Aachwe mwamba kujinafsi na hata milele!

Ni hayo tu ndugu wajumbe!
 
Hamtak tena uchaguzi?

CDM sio chama cha wanaharakati uchwara

Kuanzisha chama kipya ingekuwa busara sana..

CDM hakuna madaraka kama mnavyotaka kutuaminisha, maaldaraka yapo Serikalini.
 
Nilichojifunza siasa ni kama mapenzi, ukiendeshwa na hisia lazima uonje joto la jiwe.
Piga kura yako kulingana na utashi wako pita hivi, Mengine waachie wenyewe.
 
Hamtak tena uchaguzi?

CDM sio chama cha wanaharakati uchwara

Kuanzisha chama kipya ingekuwa busara sana..

CDM hakuna madaraka kama mnavyotaka kutuaminisha, maaldaraka yapo Serikalini.

Hamtaki tena kuachiwa, si miaka 68 bado, au?
 
..umma umezungumza.

..sasa tusubiri wajumbe watakachofanya.

Ilikuwa karata njema sana kuacha kurumbana naye.

Kwani kipi asichoelewa yeye au chawa wake?
 
Sasa wewe na kina Tlaatlaah si mna chenu, au?
mapigano ya Ghaza yatahamia mlimani City jijini Dar es salaam kesho, ni muhimu kuchukua tahadhari,

wanamgambo wa Lisu wakiongozwa na Lema, pumbalu na mwaipaya wamejiandaa vyema kwa silaha za jadi, nyembe na visu ambavyo wataingia navyo ukumbini 🐒
 
mapigano ya Ghaza yatahamia mlimani City jijini Dar es salaam kesho, ni muhimu kuchukua tahadhari,

wanamgambo wa Lisu wakiongozwa na Lema, pumbalu na mwaipaya wamejiandaa vyema kwa silaha za jadi, nyembe na visu ambavyo wataingia navyo ukumbini 🐒

Kwani kuna haja ya kubishana na wapumbavu? Au mfalme Suleiman anasema je? Kulikoni kuvutaniana watoto?

Ninakazia hata kama anataka uenyekiti wa maisha, si apewe!
 
Kwani kuna haja ya kubishana na wapumbavu? Au mfalme Suleiman anasema je? Kulikoni kuvutaniana watoto?

Ninakazia hata kama anataka uenyekiti wa maisha, si apewe!
Ni muhimu zaidi vyombo vya ulinzi na usalama nchini kuchukua hatua muhimu za mapema kabla ya uharibufu na pengine maafa kutokea pale mlimani City jijini Dar es salaam kesho Jan 21.2025, kwenye uchaguzi wa chadema Taifa 🐒
 
Ccm waliokuwa wanadai Mbowe amejimilikisha chama leo hii wenyewe ndio wanamuunga mkono atetee uwenyekiti wake ili ikidhi maslahi yao kwani wanaona heri shetani umjuaye kuliko malaika usiyemjua.

Kadri ccm itakavyoendelea kubakia mamlakani ndivyo nchi hii itakavyozidi kuumia, hakuna watu wabaya kama hawa katika nchi hii.
 
Hii sasa ni 20/1/2025 siku moja kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwamba mwamba angali kakomaa, hasikii wala haoni miito yote iliyotolewa.

Kwamba imekuwa ni kumpigia mbuzi gitaa.

Kwamba alipo ni heri chama kife ila hang'oki hata iweje!

Looh! Roho za namna gani hizi? Kwamba ni kwa sababu anajitolea mno mapesa yake kwenye chama hiki? Sawa. Tufanye tumekubali. Kwamba hiyo ndiyo sababu kuu!

Ushauri wa bure ndugu zangu: "turejee hekima za misahafu kutokokubishana na wapumbavu, au kuvutaniana watoto!"

View attachment 3206916

Mbona Biya, Wassira na hata Museveni wapo!

View attachment 3206915

Aachwe mwamba kujinafsi na hata milele!

Ni hayo tu ndugu wajumbe!
Acha utapeli wewe!
 
Hii sasa ni 20/1/2025 siku moja kuelekea uchaguzi mkuu.

Kwamba mwamba angali kakomaa, hasikii wala haoni miito yote iliyotolewa.

Kwamba imekuwa ni kumpigia mbuzi gitaa.

Kwamba alipo ni heri chama kife ila hang'oki hata iweje!

Looh! Roho za namna gani hizi? Kwamba ni kwa sababu anajitolea mno mapesa yake kwenye chama hiki? Sawa. Tufanye tumekubali. Kwamba hiyo ndiyo sababu kuu!

Ushauri wa bure ndugu zangu: "turejee hekima za misahafu kutokokubishana na wapumbavu, au kuvutaniana watoto!"

View attachment 3206916

Mbona Biya, Wassira na hata Museveni wapo!

View attachment 3206915

Aachwe mwamba kujinafsi na hata milele!

Ni hayo tu ndugu wajumbe!
Kabisa
 
Back
Top Bottom