... Mbowe kaamua kama ni kuondoka sanduku la kura lihusike, KULIKONI?
Subirini uchaguzi ufanyike aachiwi mtu.Kwani kipi usichoelewa au asichoelewa hapo?
Uchawa utakufanya u-fi-r-we bwana mdogo.mapigano ya Ghaza yatahamia mlimani City jijini Dar es salaam kesho, ni muhimu kuchukua tahadhari,
wanamgambo wa Lisu wakiongozwa na Lema, pumbalu na mwaipaya wamejiandaa vyema kwa silaha za jadi, nyembe na visu ambavyo wataingia navyo ukumbini 🐒
Subirini uchaguzi ufanyike aachiwi mtu.
Uchaguzi kesho punguza stress, atashinda utafurahi tu.Ushauri wa bure hata kama Lissu wakitaka akipewa chama amwachie mwamba atuvushe.
Itakuwa kumkatili mno Paul Biya, Museveni na wa namna hIyo waliozowea mno, kutukuzwa!
Kesho kura zitapigwa mko vyooni mnaharisha, Team Lisu.
Yani mimi tena, niko poa kuliko wewe naamini.
Yani mimi tena, niko poa kuliko wewe naamini.
Ushindi wa Lisu haumfanyi awe mtu wa Maana, hata Hitler alishinda. Msimamo wangu kuhusu Lisu na Team Lisu uko pale pale. Mmejaa matusi, na Lisu hana strategy za kuipeleka CHADEMA mbele. Tutarudi hapa muda ukifika.
Ushindi wa Lisu haumfanyi awe mtu wa Maana, hata Hitler alishinda. Msimamo wangu kuhusu Lisu na Team Lisu uko pale pale. Mmejaa matusi, na Lisu hana strategy za kuipeleka CHADEMA mbele. Tutarudi hapa muda ukifika.