Ushauri wa bure kwa mikia kueleka game yao na plateau

Ushauri wa bure kwa mikia kueleka game yao na plateau

Ndugu zangu wapenzi wa michezo katika jukwaa hili;mimi nishabiki wa dar es salaam young african tanzania dammm
Lakni kuelekea game ya leo kati ya watani zetu mikia fc au mo fc ni vema nikatoa ushauri wangu kama mtanzania mpenda soka, bongo kwani mikia ni club ya hapa hapa.
Mashabiki wa timu hii (najua wengi watapita hapa) naombeni mdumishe amani , msifuate yale maneno ya mtu wenu "manara dishi" eti game ni ya kwenu tu!!
Mikia hamna amri ya kutupangia game ya kuangalia ukiwa pesa tunazo bwashee
Pili ukifika uwanjani au ukumbini tafadhali kaa kimya usijulikane, tafadhali ficheni madekio yenu (jersey) kwani meza ikipinduliwa hamtakuwa na amani wallah[emoji28][emoji28]
Game ikiisha na mkiwa mmeshinda (japo najua hamponi) rudini mkatulie na familia zenu
Mwisho ni watakie game tamu yenye amsha amsha za kisitaarabu[emoji847]

Prediction: mikia 2 plateau 3... agrigate 3-3
Aliyepigwa mengi kwake;mikia,so ahsante kwa kushiriki [emoji23]

#jr (shabiki kindakindaki wa young african , barca,man city,BvB,psg , kumamoto fc ya japan, na shanghai evergrade ya china)
Ikitokea hiki unachosema, Simba wakishika usukani wa Ligi wataanza kuimba ule wimbo wao Wa Mwakaniiiiiii Timuuuu nneee hakunaaaaaaaaa
 
😂😂 yani mashabiki wa mikia wanajiona wametoboa sana ani😂😂😀
Alisikika chura mmoja akipiga kelele kwenye matope bila kujua jua likiwaka ataishia kufia ndani ya tope


Hakuna mashabiki wajinga kama utopolo duniani hawajui Simba akiingia hatua ya makundi Tanzania inapata nafasi 3 au nne kwa michuano ya Afrika.

Wapuuzi sana nyie
 
Alisikika chura mmoja akipiga kelele kwenye matope bila kujua jua likiwaka ataishia kufia ndani ya tope


Hakuna mashabiki wajinga kama utopolo duniani hawajui Simba akiingia hatua ya makundi Tanzania inapata nafasi 3 au nne kwa michuano ya Afrika.

Wapuuzi sana nyie
mikia hamna mpya zaidi ya maneno yenu yenye chuki na ushamba wa kiwango cha icc
 
Umeandika vibaya vibaya hata haivutii kusoma.

Kila la Kheri kwa chama langu 😍
#SSC nguvu moja 🔥

Nilikuwa najiuliza inakuwaje washabiki wa Yanga wanambeba Eng Hersi kwenye kiti kama vile enzi za utumwa, washabiki wa Yanga wanaenda Airport kuipokea Plateau!

Huo mwandiko umenipa picha ya watu hao ni wa namna gani, sitashangaa tena.
 
Nilikuwa najiuliza inakuwaje washabiki wa Yanga wanambeba Eng Hersi kwenye kiti kama vile enzi za utumwa, washabiki wa Yanga wanaenda Airport kuipokea Plateau!

Huo mwandiko umenipa picha ya watu hao ni wa namna gani, sitashangaa tena.
hahahahh yani leo kupitia komenti yako nimeprove 97.8% ya mashabiki wa mikia ni mazwazwa yani akili ni hamna!
Yani std 7 anajigamba na kung'ong'a point za msomi nguli kama mimi??😃😃
Daah mikia bhana!!💩
 
Back
Top Bottom