Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Ndio maana nimekwambia wewe ni punguani, hizo simu za iphone nimeacha kutumia miaka kadhaa na ipo room imekaa tu ukitaka njoo uchukue.
 
Ndio maana nimekwambia wewe ni punguani, hizo simu za iphone nimeacha kutumia miaka kadhaa na ipo room imekaa tu ukitaka njoo uchukue.
We jamaa unatokea mkoa gani aisee, Dunia nzima inajua iphone na samsung ndo best phones sasa unaposema iphone umeweka ndani unatumia nn sasa ambacho wewe unahisi ni bora kuliko iphone? Tecno? Aisee kweli ushamba mzigo ***** kwanza sina imani kama hyo picha ni yako itakuwa umetumiwa wewe halafu iphone yenyewe hiyo ishapitwa na wakati watu tunaongelea iphone X sasa hv
 
Wanaume wanaotumia iPhone ni walegevu sana
 
Hahah umeniacha hoi
 
Safi sana dogo tbway

Kuna makenge yanataka uendeshe Gari km unaenda kwenye harusi

Huo mwendo wa harusi peleka lumumba kenge we
 
Pole yake sana

Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto
We kenge unawashwa
 
Hahahahhahahaaaaaaaaa umejua kunichekesha aiseeeeee
 
Bangi mbaya sana!!
 
Hii habari imekaa ki kiki kiki nadhani huyo sijui t bwoya ndo kaipost
 
Watu kama Hao wakisababisha ajali za kibwege huwa tunawachapa tu

Ova
 
Mlinzi anatukanwa amekaa kimya angempa vitasa tu,kaonesha dharau
Hapo angelinda polisi pt asingefungua mdomo wake

Ova
 
Unazingua mzee usitumie hizo emoj ni ushamba huo!!!. Nakushaur tu kama vipi unaweza nikaushia usije na povu
 
Kweli kabisa huyo dogo abadilike ...akue sasa ...hizo sifa zitamuondoa ( Mwenyezi aepushe mbali) .... hiyo ajali pengine ni onyo ili abadilike ....akishupaza shingo huu uzi utakuja kuibuliwa watu waonekane manabii ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…