Ushauri wa Bure kwa Waziri Ummy Mwalimu kuhusu NHIF

Ushauri wa Bure kwa Waziri Ummy Mwalimu kuhusu NHIF

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?

>wanajua kuhusu kuna wagonjwa hewa ,vipimo hewa ,matibabu hewa watu wana pewa miswaki ,Maji ,mafuta kwa mbadala wa Dawa, viongozi na watumishi wa NHIF wanavijua vituo hivi na hakuna Action yoyote inayochukuliwa .

2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
 
Ummy Mwalimu ni Mgema Aliyesifiwa Tembo analitia Maji Sasa.

Kauli Ya Kuwa Kwanini Kuwe Na Ada Ya Kumuona daktari Wakati hao Madaktari Wanalipwa Mishahara inafikirisha Kidogo.

Kumbe kuna Mshahara ...!

Mbona Ummy Kawaona Madaktari tu.!

Mbona Wabunge Wanazo allowances kibao Kule Bungeni ingali pia wanapokea Mishahara..?

Kile kinacholipwa hospitali kama Ada Ya Kumuona Daktari anakichukua Daktari chote au kinatumika Kupunguza makali Ya Uendeshaji Wa Hospitali zetu..?

Hapo nimewakumbuka Wahenga Waliposema. 'Mgema Akisifiwa Tembo hulitia Maji'.
 
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?



2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
Nimeelewa point
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?



2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
----Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

----na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3.Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4.Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
Kwenye kupandisha ngazi ya kituo Cha kutolea huduma nakubariana na wewe kabisa.lakini Nhif ndiyo chanzo ebu fikiria operesheni inayofanywa na daktari bingwa wa rufaa Nhif inalipa 600,000 na operesheni hiyo hiyo kama atafanya daktari bingwa akiwa hospital ya wilaya NHIF inalipa 110,000!!

Sasa unajiuliza kwa nini wizara ya afya iliruhusu madaktari bingwa kuwa kwenye hospital za wilaya?

Au madaktari bingwa kwenye hospital ya wilaya ni vilaza hivyo huduma inayotolewa na madaktari bingwa hao iko chini sana kwa hiyo hiyo huduma haistahili kulipwa hiyo laki 6!!

Tukiondoa siasa tutafika
 
Kwenye kupandisha ngazi ya kituo Cha kutolea huduma nakubariana na wewe kabisa.lakini Nhif ndiyo chanzo.ebu fikiria operesheni inayofanywa na daktari bingwa wa rufaa Nhif inalipa 600,000 na operesheni hiyo hiyo kama atafanya daktari bingwa akiwa hospital ya wilaya NHIF inalipa 110,000!! Sasa unajiuliza kwa nini wizara ya afya iliruhusu madaktari bingwa kuwa kwenye hospital za wilaya? Au madaktari bingwa kwenye hospital ya wilaya ni vilaza hivyo huduma inayotolewa na madaktari bingwa hao iko chini sana kwa hiyo hiyo huduma haistahili kulipwa hiyo laki 6!!

Tukiondoa siasa tutafika

Hospitali za wilaya miongozo hairuhusu kuwa na Daktari Bingwa mkuu
 
Mimi nadhani NHIF angeweka bei Kwa dawa na huduma za kitabibu. Sijui kama nimeeleweka. Yaani NHIF aweke Offa zake kua dawa Fulani atalipia Kwa TSH Fulani na huduma Fulani mfano kipimo cha malaria atalipia kiasi Fulani cha pesa.

Hospitali au kituo cha afya kitaamua kama bei za NHIF inalipa wataingia mkataba kama haiwalipi wataacha.
 
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?



2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
Tz ni nchi ya kipumbavu Sana. Mtu amesomea sheria unampa uwaziri wa afya!!!
 
Kwenye kupandisha ngazi ya kituo Cha kutolea huduma nakubariana na wewe kabisa.lakini Nhif ndiyo chanzo.ebu fikiria operesheni inayofanywa na daktari bingwa wa rufaa Nhif inalipa 600,000 na operesheni hiyo hiyo kama atafanya daktari bingwa akiwa hospital ya wilaya NHIF inalipa 110,000!! Sasa unajiuliza kwa nini wizara ya afya iliruhusu madaktari bingwa kuwa kwenye hospital za wilaya? Au madaktari bingwa kwenye hospital ya wilaya ni vilaza hivyo huduma inayotolewa na madaktari bingwa hao iko chini sana kwa hiyo hiyo huduma haistahili kulipwa hiyo laki 6!!

Tukiondoa siasa tutafika
hakika
 
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?



2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
Nikikumbuka KCMC walikataa kumlaza mama yangu aliekuwa na tatizo la jicho nachoka kabisa. Eti wanasema huduma watatoa ila kitanda kitalipiwa separately. Hili nalo ni tatizo
 
Mfuko wa NHIF na watoa huduma wanatakiwa wakae na kukubaliana kwa pamoja namna gani wasaidiane kutoa huduma kwa wanachama.

Zamani ulikuwa ukienda hospital na Kadi ya NHIF unapata huduma kwa mbinde na kwa manyanyaso sana. Wakati huu sababu ilikuwa kwamba NHIF wanachelewesha malipo

Kwa Sasa ukiwa na NHIF unapata huduma hadi za "kubambikiwa" ilimradi tu utumie gharama kubwa

Siku hizi ni kawaida kabisa kwa mwanachama wa NHIF kufanyiwa vipimo ambavyo huenda kwa kawaida visingehitajika kwa wakati huo. Kwa mfano, ukienda policlinics nyingi hata kama una mafua watakufanyia kipimo cha "full blood picture"

Matharani, vipimo vya maabara vinaweza visikukute na tatizo lakini mara nyingi utapewa dawa tu!

Kwa namna ilivyo Sasa lazima ujiulize hii hali ya wanachama wa NHIF kuanza kupewa "feva" ambazo hapo mwanzo walikuwa "wakinyanyapaliwa" imetokana na nini?

Binafsi naona NHIF wanalalamiko la msingi hata Kama kweli wanajilipa posho na mishahara mikubwa lakini haiondoi uhalisia kuwa vituo vingi vya afya vinafanya wizi wa wazi kwenye mfuko huu.

Hali ni mbaya zaidi si kwa kuuibia mfuko tu lakini kuhatarisha afya za wanachama.

Ni bora vituo vya afya vingeiba fedha za NHIF pasipo kuweka rehani afya za wananchi. Hayo wangemalizana wenyewe.

Juzi niliandikiwa sindano na kituo fulani kwa mwanangu wa miaka 5, nesi alipopokea kabla ya kumchumo alishika kichwa kwanza!

Ilibidi auvae umama na ubinadamu Kwanza arudi kwa Daktari kubadilisha dozi!

Baada ya mabadiliko vichupa vitatu vya dawa viliondolewa na kiasi cha dawa kikapunguzwa lakini kwenye fomu hakikubadilishwa kitu!

Sasa jiulize, ningekutana na wale manesi wanaofuata kilichoandikwa tu bila kujiongeza afya ya mwanangu si ilikuwa hatarini!?
 
NHIF ni jipu kama MSD. Kuna upigaji mwingi sana yaani mpaka inakera, pesa uchange wewe alafu mfanyakazi wa NHIF ajikopeshe bila riba, manina inakera Dana
 
Mimi nadhani NHIF angeweka bei Kwa dawa na huduma za kitabibu. Sijui kama nimeeleweka. Yaani NHIF aweke Offa zake kua dawa Fulani atalipia Kwa TSH Fulani na huduma Fulani mfano kipimo cha malaria atalipia kiasi Fulani cha pesa. Hospitali au kituo cha afya kitaamua kama bei za NHIF inalipa wataingia mkataba kama haiwalipi wataacha.
Wengi wanaingia ili kuvutia wateja, mteja unaenda wanakupokea, ukishamsikiliza daktari wanaanza kipimo hiki, dawa hizi utalipa cash... Hapo ndo shida huanza
 
Wengi wanaingia ili kuvutia wateja, mteja unaenda wanakupokea, ukishamsikiliza daktari wanaanza kipimo hiki, dawa hizi utalipa cash... Hapo ndo shida huanza
Ujanja Ujanja mwingi sana
 
Ummy Mwalimu ni Mgema Aliyesifiwa Tembo analitia Maji Sasa.

Kauli Ya Kuwa Kwanini Kuwe Na Ada Ya Kumuona daktari Wakati hao Madaktari Wanalipwa Mishahara inafikirisha Kidogo.

Kumbe kuna Mshahara ...!

Mbona Ummy Kawaona Madaktari tu.!

Mbona Wabunge Wanazo allowances kibao Kule Bungeni ingali pia wanapokea Mishahara..?

Kile kinacholipwa hospitali kama Ada Ya Kumuona Daktari anakichukua Daktari chote au kinatumika Kupunguza makali Ya Uendeshaji Wa Hospitali zetu..?

Hapo nimewakumbuka Wahenga Waliposema. 'Mgema Akisifiwa Tembo hulitia Maji'.
Ummy yuko sahihi katika hili,
Hakuna maana ya kuwa na Ada ya kumuona daktari, usichanganye ada ya kumuona daktari na allowance
 
Hivi nauliza.mbona huwa nikienda naambiwa ni sign form kabla ya kuhudumiwa.hivi hapa haiwezekan wakajaza madawa nisiyopew!? Na kwanin isiwe wanafunga kama balance sheet kuzuia kuongezwa dawa
 
Back
Top Bottom