Ushauri wa Bure kwa Waziri Ummy Mwalimu kuhusu NHIF

Ushauri wa Bure kwa Waziri Ummy Mwalimu kuhusu NHIF

Mimi nadhani NHIF angeweka bei Kwa dawa na huduma za kitabibu. Sijui kama nimeeleweka. Yaani NHIF aweke Offa zake kua dawa Fulani atalipia Kwa TSH Fulani na huduma Fulani mfano kipimo cha malaria atalipia kiasi Fulani cha pesa. Hospitali au kituo cha afya kitaamua kama bei za NHIF inalipa wataingia mkataba kama haiwalipi wataacha.
Umeongea point muhimu sana wakifuata hu ushauri NHIF watafanikiwa maana vituo vingine kupima maralia tu elfu 20 na NHIF wanalipa

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Kwani bodi ya NHIF ina compose kina nani (kwa majina) ?

Mwenye kujua tafadhali atuletee hapa hiyo taarifa.

Na Mwenyekiti wa hiyo board ni nani ?

Je bado ni Bibi wa Sensa ?

Au kwa sasa ni nani?
 
1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?
Mimi ninafanya kazi za ukaguzi. Kati ya mentality mbaya sana yetu wakaguzi Ni KUTAFUTA MAKOSA.

Kupambania kutafuta PERFECTIONISM wakati wa UKAGUZI.

Mimi nipo pia kituo cha Afya, na huwa najishughulisha sana na UJAZAJI wa fomu za Bima.

Hakuna watu wapuuzi Kama watu wa Bima.

Kiuhalisia, FRAUDS ipo kwasababu both NHIF na Watoa Huduma wanachofanya Ni KUTAFUTANA na KUVIZIANA.

Hata ujaze vizuri vipi hizo forms za BIMA lazima watatafuta makosa na watakukata pesa.

Imagine, unapeleka CLAIMS za 2M wanakata 1.2M wanakulipa laki 8???

Makosa yenyewe utaambiwa:

  • Tulipigia simu mgonjwa kasema Huduma zilizoandikwa siyo kweli.
  • Mgonjwa uliye-claim anakaguliwa kuanzia Mapokezi, Dispensing, Leja ya Daktari mpaka Maabara Kama hayupo hiyo kesi. Ujue hawalipi.
  • Sometimes, unaambiwa tu Kwa level ya Kituo cha Afya ilivyo dawa fulani hukutakiwa kutoa kwanini ulitoa?
  • Mara mtu aliyetoa dawa hakutakiwa kutoa.
Ujinga kibao ilimradi wasilipe tu.

Na hata kama wakipata, imagine Paracetamol NHIF wanalipa Tsh 20 kwa kidonge. Sasa private wao watakuwa wananuaje??
2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
Sidhani kama unajua unachozungumza hapa.
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .
NHIF imejaa Watumishi VILAZA kupindukia kwasababu wanalipana mishahara ya KUTISHA kabisa. Akili Hakuna Ni michongo mingi ndio maana mfuko unafilisika na mhanga mkubwa Ni WATOA HUDUMA na WANACHAMA.

Sasa hivi, watoa Huduma wakiona mteja wa NHIF wanaugua kabisa.

Wamejitahidi mpaka kuanzisha madirisha ya wateja wa NHIF pekee ili kujaribu kupunguza hizi drama za hao wapuuzi lakini wapi.

Ndio maana Hakuna hospital serious Kama Aghakhana watachukua hivi vikadi vya kibwege vya NHIF.
Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
In short, NHIF sasa hivi Ni takataka kabisa
 
Mimi ninafanya kazi za ukaguzi. Kati ya mentality mbaya sana yetu wakaguzi Ni KUTAFUTA MAKOSA.

Kupambania kutafuta PERFECTIONISM wakati wa UKAGUZI.

Mimi nipo pia kituo cha Afya, na huwa najishughulisha sana na UJAZAJI wa fomu za Bima.

Hakuna watu wapuuzi Kama watu wa Bima.

Kiuhalisia, FRAUDS ipo kwasababu both NHIF na Watoa Huduma wanachofanya Ni KUTAFUTANA na KUVIZIANA.

Hata ujaze vizuri vipi hizo forms za BIMA lazima watatafuta makosa na watakukata pesa.

Imagine, unapeleka CLAIMS za 2M wanakata 1.2M wanakulipa laki 8???

Makosa yenyewe utaambiwa:

  • Tulipigia simu mgonjwa kasema Huduma zilizoandikwa siyo kweli.
  • Mgonjwa uliye-claim anakaguliwa kuanzia Mapokezi, Dispensing, Leja ya Daktari mpaka Maabara Kama hayupo hiyo kesi. Ujue hawalipi.
  • Sometimes, unaambiwa tu Kwa level ya Kituo cha Afya ilivyo dawa fulani hukutakiwa kutoa kwanini ulitoa?
  • Mara mtu aliyetoa dawa hakutakiwa kutoa.
Ujinga kibao ilimradi wasilipe tu.

Na hata kama wakipata, imagine Paracetamol NHIF wanalipa Tsh 20 kwa kidonge. Sasa private wao watakuwa wananuaje??

Sidhani kama unajua unachozungumza hapa.

NHIF imejaa Watumishi VILAZA kupindukia kwasababu wanalipana mishahara ya KUTISHA kabisa. Akili Hakuna Ni michongo mingi ndio maana mfuko unafilisika na mhanga mkubwa Ni WATOA HUDUMA na WANACHAMA.

Sasa hivi, watoa Huduma wakiona mteja wa NHIF wanaugua kabisa.

Wamejitahidi mpaka kuanzisha madirisha ya wateja wa NHIF pekee ili kujaribu kupunguza hizi drama za hao wapuuzi lakini wapi.

Ndio maana Hakuna hospital serious Kama Aghakhana watachukua hivi vikadi vya kibwege vya NHIF.

In short, NHIF sasa hivi Ni takataka kabisa
Hongera mkuu kwa Uchambuzi mzuri na wa msaada kwa Taifa
 
Mfuko wa NHIF na watoa huduma wanatakiwa wakae na kukubaliana kwa pamoja namna gani wasaidiane kutoa huduma kwa wanachama.

Zamani ulikuwa ukienda hospital na Kadi ya NHIF unapata huduma kwa mbinde na kwa manyanyaso sana. Wakati huu sababu ilikuwa kwamba NHIF wanachelewesha malipo

Kwa Sasa ukiwa na NHIF unapata huduma hadi za "kubambikiwa" ilimradi tu utumie gharama kubwa

Siku hizi ni kawaida kabisa kwa mwanachama wa NHIF kufanyiwa vipimo ambavyo huenda kwa kawaida visingehitajika kwa wakati huo. Kwa mfano, ukienda policlinics nyingi hata kama una mafua watakufanyia kipimo cha "full blood picture"

Matharani, vipimo vya maabara vinaweza visikukute na tatizo lakini mara nyingi utapewa dawa tu!

Kwa namna ilivyo Sasa lazima ujiulize hii hali ya wanachama wa NHIF kuanza kupewa "feva" ambazo hapo mwanzo walikuwa "wakinyanyapaliwa" imetokana na nini?

Binafsi naona NHIF wanalalamiko la msingi hata Kama kweli wanajilipa posho na mishahara mikubwa lakini haiondoi uhalisia kuwa vituo vingi vya afya vinafanya wizi wa wazi kwenye mfuko huu.

Hali ni mbaya zaidi si kwa kuuibia mfuko tu lakini kuhatarisha afya za wanachama.

Ni bora vituo vya afya vingeiba fedha za NHIF pasipo kuweka rehani afya za wananchi. Hayo wangemalizana wenyewe.

Juzi niliandikiwa sindano na kituo fulani kwa mwanangu wa miaka 5, nesi alipopokea kabla ya kumchumo alishika kichwa kwanza!

Ilibidi auvae umama na ubinadamu Kwanza arudi kwa Daktari kubadilisha dozi!

Baada ya mabadiliko vichupa vitatu vya dawa viliondolewa na kiasi cha dawa kikapunguzwa lakini kwenye fomu hakikubadilishwa kitu!

Sasa jiulize, ningekutana na wale manesi wanaofuata kilichoandikwa tu bila kujiongeza afya ya mwanangu si ilikuwa hatarini!?
Hao wanaokufanyia vipimo ukiwa na kadi yako ya NHIF washukuru sana, mtindo uliopo Sasa hivi vituo vingi vinaminya vipimo na dawa ambavyo ulipaswa kufanyiwa.
 
Hivi nauliza.mbona huwa nikienda naambiwa ni sign form kabla ya kuhudumiwa.hivi hapa haiwezekan wakajaza madawa nisiyopew!? Na kwanin isiwe wanafunga kama balance sheet kuzuia kuongezwa dawa
Hairuhusiw ku sign kabla hujapewa huduma japo hata usipo sign haibadirishi wao kuongeza dawa ama vipimo
 
Hao wanaokufanyia vipimo ukiwa na kadi yako ya NHIF washukuru sana, mtindo uliopo Sasa hivi vituo vingi vinaminya vipimo na dawa ambavyo ulipaswa kufanyiwa.
mfuko huu umeharibika sana
 
Mimi ninafanya kazi za ukaguzi. Kati ya mentality mbaya sana yetu wakaguzi Ni KUTAFUTA MAKOSA.

Kupambania kutafuta PERFECTIONISM wakati wa UKAGUZI.

Mimi nipo pia kituo cha Afya, na huwa najishughulisha sana na UJAZAJI wa fomu za Bima.

Hakuna watu wapuuzi Kama watu wa Bima.

Kiuhalisia, FRAUDS ipo kwasababu both NHIF na Watoa Huduma wanachofanya Ni KUTAFUTANA na KUVIZIANA.

Hata ujaze vizuri vipi hizo forms za BIMA lazima watatafuta makosa na watakukata pesa.

Imagine, unapeleka CLAIMS za 2M wanakata 1.2M wanakulipa laki 8???

Makosa yenyewe utaambiwa:

  • Tulipigia simu mgonjwa kasema Huduma zilizoandikwa siyo kweli.
  • Mgonjwa uliye-claim anakaguliwa kuanzia Mapokezi, Dispensing, Leja ya Daktari mpaka Maabara Kama hayupo hiyo kesi. Ujue hawalipi.
  • Sometimes, unaambiwa tu Kwa level ya Kituo cha Afya ilivyo dawa fulani hukutakiwa kutoa kwanini ulitoa?
  • Mara mtu aliyetoa dawa hakutakiwa kutoa.
Ujinga kibao ilimradi wasilipe tu.

Na hata kama wakipata, imagine Paracetamol NHIF wanalipa Tsh 20 kwa kidonge. Sasa private wao watakuwa wananuaje??

Sidhani kama unajua unachozungumza hapa.

NHIF imejaa Watumishi VILAZA kupindukia kwasababu wanalipana mishahara ya KUTISHA kabisa. Akili Hakuna Ni michongo mingi ndio maana mfuko unafilisika na mhanga mkubwa Ni WATOA HUDUMA na WANACHAMA.

Sasa hivi, watoa Huduma wakiona mteja wa NHIF wanaugua kabisa.

Wamejitahidi mpaka kuanzisha madirisha ya wateja wa NHIF pekee ili kujaribu kupunguza hizi drama za hao wapuuzi lakini wapi.

Ndio maana Hakuna hospital serious Kama Aghakhana watachukua hivi vikadi vya kibwege vya NHIF.

In short, NHIF sasa hivi Ni takataka kabisa
Mim sijajua ila kuna baadh ya huduma naonaga bora nikalipe tu kuliko kwenda kunyanyasika na kadi ya bima.inangawa tunachangia kila mwez
 
Mim sijajua ila kuna baadh ya huduma naonaga bora nikalipe tu kuliko kwenda kunyanyasika na kadi ya bima.inangawa tunachangia kila mwez
Of course, NHIF inadhiofika kila siku. Maana NHIF wenyewe wanasumbua kwa VIJISABABU visivyokuwepo.
 
Kwanini zisijengwe hospitali ambazo ni za serikali specifically zikawa zinaendeshwa na bima ya NHIF badala ya kuhangaika na mahospitali private.

Yani mfano badala ya NSSF kujenga majengo useless kila kona ya mji wangejenga hospitali ambazo jengo hadi wahudumu ni wa NHIF wenyewe tu. Kusiwe na muingiliano wa maslahi.
 
Kwenye kupandisha ngazi ya kituo Cha kutolea huduma nakubariana na wewe kabisa.lakini Nhif ndiyo chanzo.ebu fikiria operesheni inayofanywa na daktari bingwa wa rufaa Nhif inalipa 600,000 na operesheni hiyo hiyo kama atafanya daktari bingwa akiwa hospital ya wilaya NHIF inalipa 110,000!! Sasa unajiuliza kwa nini wizara ya afya iliruhusu madaktari bingwa kuwa kwenye hospital za wilaya? Au madaktari bingwa kwenye hospital ya wilaya ni vilaza hivyo huduma inayotolewa na madaktari bingwa hao iko chini sana kwa hiyo hiyo huduma haistahili kulipwa hiyo laki 6!!

Tukiondoa siasa tutafika
Wanasemaga siasa ndio maisha yao !!
 
Kwanini zisijengwe hospitali ambazo ni za serikali specifically zikawa zinaendeshwa na bima ya NHIF badala ya kuhangaika na mahospitali private.

Yani mfano badala ya NSSF kujenga majengo useless kila kona ya mji wangejenga hospitali ambazo jengo hadi wahudumu ni wa NHIF wenyewe tu. Kusiwe na muingiliano wa maslahi.
Hiyo ndio dawa pekee !!
 
Ummy yuko sahihi katika hili,
Hakuna maana ya kuwa na Ada ya kumuona daktari, usichanganye ada ya kumuona daktari na allowance
Kwamba kumuona daktari ni kuingia kumuangalia na kutoka nje ? au kuna mambo mengine kama kupokea maelezo yako ,kujua kutokana na maelezo yako vipimo vipi au matibabu yapi utahitaji , kuna Ushauri pia na haya ndiyo yanafanya kuwe na pesa ya kumuona Daktari .
 
Kwamba kumuona daktari ni kuingia kumuangalia na kutoka nje ? au kuna mambo mengine kama kupokea maelezo yako ,kujua kutokana na maelezo yako vipimo vipi au matibabu yapi utahitaji , kuna Ushauri pia na haya ndiyo yanafanya kuwe na pesa ya kumuona Daktari .
Kutoa maelezo ya vipimo au matibabu yapi utahitaji ndio sehemu ya kazi ya Daktari, ndio maana analipwa Mshahara kwa kazi hiyo. Kama ni extra kazi anazofanya ndio maana kuna EDA, On call allowances etc, hii kitu inaitwa malipo ya kumuona Daktari inafanya Watanzania wengi wasiende kucheki Afya zao, yaani Mtu alipie kumuona Daktari then alipie matibabu, doesn't make sense
 
Kutoa maelezo ya vipimo au matibabu yapi utahitaji ndio sehemu ya kazi ya Daktari, ndio maana analipwa Mshahara kwa kazi hiyo. Kama ni extra kazi anazofanya ndio maana kuna EDA, On call allowances etc, hii kitu inaitwa malipo ya kumuona Daktari inafanya Watanzania wengi wasiende kucheki Afya zao, yaani Mtu alipie kumuona Daktari then alipie matibabu, doesn't make sense
Hivi unalipia kumuona daktari akiwa uchi au amevaa nguo??
 
Habari wana JF ,Binafsi huwa sipendi kutoa ushauri wa bure huwa naamini kile nlichosomea ili kizae matunda ni Lazima kiwe na thamani lakini kwa leo ntampa ushauri wa bure kuhusu mfuko wa Taifa NHIF .Mambo mengi haya unayajua ila naweka msisitizo .

Kwa kifupi sipendi waziri uwe Chanzo cha Kufifia kwa ubora wa huduma zitolewezo kwa wanachama wa NHIF nchini kwa sababu ya kupunguza matumizi ,Hivyo fanya haya :-

1.Punguza au komesha Fraud ,Ni ukweli usiofichika kuna baadhi ya Watoa huduma sio waaminifu na hili ni jambo linalofahamika mpaka uongozi wa Juu wa NHIF ,na Hapa ni Pesa nyingi sana inapotea unajiuliza kuna hospitali Ndogo tu zina claim pesa nyingi zinatoa watu hao wagonjwa ?



2.Review bei za dawa na gharama za upasuaji

---kuna dawa zinanunuliwa kwa pesa ndogo sana ila NHIF wanalipa karibu mara 3 mpaka 4 ingawa kuna baadhi mna punja .
---Kuna dawa ni za gharama lakini ukiangalia umuhimu wake unaona kabisa ni External force ilitumika kuziingiza kwenye packages ya NHIF .

---na Upande wa Upasuaji hivyo hivyo kuwe na faida kwa NHIF na mtoa huduma .

3. Pitia upya Usajiri wa vituo vya Afya ,vituo vingi vinapambana kupandishwa Ngazi lakini havina sifa hizo hata Nusu tu Hakuna hakuna watumishi ,hakuna vitendea kazi na sababu kubwa ya Kufanya hivyo ni NHIF kwa mnalipa malipo kulingana na Ngazi ya Hospitali .Hapa hela nyingi sana inapotea unakutana na hospital ni Zonal level ila huduma ni ya Chini sana ,kuna haja kupitia upya usajiri .

4. Mwisho kabisa kufutia matamko uliyoyatoa hivi karibuni ni wazi kwamba umezungukwa na Vilaza hivyo hao Viongozi na Watumishi wa NHIF ni bora wajitafakari na waachie Ngazi .

Kwenye Afya za watu biashara itolewa na NHIF kama mfuko wa Taifa kisiwe ndio chanzo cha Kutajirika watu huku huduma zinazorota .
Kwa sisi tunaojua mfuko wa Bima ulikotoka, uongozi wa sasa ni bora zaidi na umepunguza fraud kiasi kikubwa. Usingekuwa uongozi wa sasa haya yote usingeyasikia.

Fraud kwa NHIF zinafanywa na

1. Vituo vya afya na hapa hasa ni private, public si sana.
3. Wagonjwa na watumishi wa afya. Mgonjwa anaweza akawa anataka maziwa ya mtoto, akaenda hospitali kwa kushirikiana na watumishi wa afya wakatengeneza ugonjwa mkubwa ambao dawa zake hazikuwepo hospitali. Labda mgonjwa anaandikiwa dawa zenye thamani ya laki 5 lakini hazipo hospitali. Akipewa form 2c (ambazo zimefungiwa kwa sasa) na kwenda kuchukua dawa pharmacy, kule wanaweza kubaliana kumpa maziwa au pesa au chochote alichonacho kilichopo pharmacy. Hapa hapakuwa na uaminifu kati ya Vituo vya Afya, Pharmacy binafsi, Watumishi wa Afya, na wagonjwa. Wizi huu umefanyika sana Dar es salaam.
3. Watumishi wa NHIF wenyewe. Hawa wengi wao waliondolewa au kuzuiwa. Mfano huko nyuma vibali vya CT scan kwa siku vilikuwa vinatolewa kama elfu moja, lakini chini ya uongozi mpya wa sasa vibali vya NHIF vikapungua ha kufikia around 500 per day. Kazi ya nani? Mkurugenzi wa sasa. Pale NHIF watumishi wao walikuwa wanapiga deal kwa kuwaongeza wategemezi kwenye kadi za principal member bila kuwa na uhusiano. Haya mambo yameenda kwa muda hadi uongozi wa sasa ulipokuja kurekebisha.
4. Serikali kuingiza siasa kwenye mfuko. Mfano kuanzisha vifurushi ni wazo zuri sana, maana kunaongeza wigo. Shida ni aina ya watu wanaofungua vifurushi ni wale wanaoumwa. Wanaenda kula pesa za mfuko. Lakini pia serikali inaposema mfuko utakufa unatumia kiasi ABC kutibu magonjwa sugu wawe wanatuambia wanakusanya kiasi gani na walitaka mfuko uwe unatibu magonjwa gani.

Siasa ikiondoka, uongozi wa sasa wa NHIF utatosha kabisa kusukuma gurudumu la NHIF.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwa sisi tunaojua mfuko wa Bima ulikotoka, uongozi wa sasa ni bora zaidi na umepunguza fraud kiasi kikubwa. Usingekuwa uongozi wa sasa haya yote usingeyasikia.

Fraud kwa NHIF zinafanywa na

1. Vituo vya afya na hapa hasa ni private, public si sana.
3. Wagonjwa na watumishi wa afya. Mgonjwa anaweza akawa anataka maziwa ya mtoto, akaenda hospitali kwa kushirikiana na watumishi wa afya wakatengeneza ugonjwa mkubwa ambao dawa zake hazikuwepo hospitali. Labda mgonjwa anaandikiwa dawa zenye thamani ya laki 5 lakini hazipo hospitali. Akipewa form 2c (ambazo zimefungiwa kwa sasa) na kwenda kuchukua dawa pharmacy, kule wanaweza kubaliana kumpa maziwa au pesa au chochote alichonacho kilichopo pharmacy. Hapa hapakuwa na uaminifu kati ya Vituo vya Afya, Pharmacy binafsi, Watumishi wa Afya, na wagonjwa. Wizi huu umefanyika sana Dar es salaam.
3. Watumishi wa NHIF wenyewe. Hawa wengi wao waliondolewa au kuzuiwa. Mfano huko nyuma vibali vya CT scan kwa siku vilikuwa vinatolewa kama elfu moja, lakini chini ya uongozi mpya wa sasa vibali vya NHIF vikapungua ha kufikia around 500 per day. Kazi ya nani? Mkurugenzi wa sasa. Pale NHIF watumishi wao walikuwa wanapiga deal kwa kuwaongeza wategemezi kwenye kadi za principal member bila kuwa na uhusiano. Haya mambo yameenda kwa muda hadi uongozi wa sasa ulipokuja kurekebisha.
4. Serikali kuingiza siasa kwenye mfuko. Mfano kuanzisha vifurushi ni wazo zuri sana, maana kunaongeza wigo. Shida ni aina ya watu wanaofungua vifurushi ni wale wanaoumwa. Wanaenda kula pesa za mfuko. Lakini pia serikali inaposema mfuko utakufa unatumia kiasi ABC kutibu magonjwa sugu wawe wanatuambia wanakusanya kiasi gani na walitaka mfuko uwe unatibu magonjwa gani.

Siasa ikiondoka, uongozi wa sasa wa NHIF utatosha kabisa kusukuma gurudumu la NHIF.
sawa
 
Back
Top Bottom