Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi wa Tanzania au Tunisia....haw wa kwetu hamna kitu, ni mbuzi tu!Angeenda police akaripoti nakueleza yote angesaidiwa amegawa uchi kizembe sana
Asipokuwa makini uyo mpuuzi atamrudia akitaka amzalie
Hata wajinga wanazeekaWapenzi kuonyeshana viungo vyao ni kawaida; ila inahitaji ustahimilivu mkubwa pale mnapoachana; muwe mnadate na watu wa miaka 35+
Tufanyeje sasa mkuuHata wajinga wanazeeka
Don't share your NUDE photos at at any cost...Tufanyeje sasa mkuu
Sinaga mzuka na washobokaji aina yakoNipe basi hizo connection za waganga wako[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Binti akijiamini hivi mara nyingi anajivunia waganga wazuri tu
By the way,jamaa ni mpuuzi sana.
Mi angezisambaza tu hata km ingepelekea mi kujiua ila chiiu yangu nisingempa abadaniLillian alikosea. Angemwambia huyo mume wake mtarajiwa ukweli halafu wote wakaenda polisi na hiyo meseji ya vitisho ya huyo ex boya. Wangemaliza msala vizuri tu na kwa heshima zaidi.
Ila nimeupenda msimamo wako. Lillian labda alipaniki tu au hakuwa na mtu wa kuongea naye. Huyo ex boya naamini siku moja ataibuka tena na kudai kingine. Poor Lillian!