Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Chadema ilijikwaa, ikaanguka, ikaangalia tuu pale ilipoangukia, ikainuka, ikaendelea na safari, bila kuangalia ilipojikwa, sasa imejikwaa tena pale pale, Ila bado haijaanguka, hivyo huu ni ushauri wa bure wa kuisaidia this time around, isianguke!.
Mtu unapokuwa umejaaliwa uwezo wa kuona mabaya fulani kupitia kitu kinachoitwa precognition kuwa yatawatokea watu fulani, usipowaambia, halafu yakatokea, utaumia sana kwa a guilty conscious kuwa I saw it coming but you did nothing to help out!. Lakini ukiona jambo baya kinakuja, ukiwaambia, unaweza kuzuia, ila ukiwaambia, wakapuuza, yakija kutokea ya kutokea, angalau hupati a guilt conscious ya dhamira yako kukusuta maana uliwaambia!.
Hivyo hili ni Bandiko la kujitolea kutoa msaada wa bure kabisa
kwa Chadema kwa kuwaelimisha kuhusu kitu kinachoitwa karma ni nini na kinafanyaje kazi "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Japo Wana Macho, Hawaoni!
Japo watu wote wana macho, wengi wana macho ya nje tuu yanayoona vitu vya nje, lakini hawana jicho la ndani (jicho la roho) kuona vitu visivyoonekanika kwa macho ya kawaida, hivyo wanasemwa kuwa wana macho lakini hawaoni.
Japo Wana Masikio, Hawasikii!
Vivyo hivyo kwa masikio, watu wengi wana masikio na wanasikia, ila masikio yao ni masikio ya nje, yanayosikia sauti za nje tuu, lakini hawana sikio la ndani (sikio la roho) kuweza kusikia sauti za ndani "voices from within" hivyo wanasemwa kuwa wana masikio lakini hawasikii.
Jicho la Ndani na Sikio la Ndani
Kila kiumbe anacho ila tumetofautiana sana uwezo wa kutambua, mfano kuna wanyama wana uwezo mkubwa zaidi ya binadamu kutambua hatari. Mfano mbwa anapotumia pua kunusa, amini usiamini, anachonusa sio harufu bali ni sauti ya ndani. Hivyo wale mbwa wanusa mizigo airports au wale panya watengua mabomu, ni wanatumia jicho la ndani na sikio la ndani.
Kwa vile sio watu wote wamejaliwa uwezo wa kutumia jicho la ndani kuona hatari iliyo mbele yetu sisi tuliojaaliwa jicho hilo, na sikio hilo tukiona kitu na tukisikia kitu cha hatari kinakuja kutokea ni vizuri tukasaidia.
Kila tukio, linatokea kwa sababu, everything happens for a reason, hivyo likitokea jambo baya lolote, wengi huishia kwenye kuliangalia tukio tuu la nini kilichotokea na matokeo yake tuu, lakini hawajiulizi the underlying causes za kilichopelekea tukio hilo kutokea, the reasos behind the underlying causes and the consequences.
Hata wengi wakijikwaa na kuanguka, huinuka kujifuta vumbi na kuendelea na safari yao, huwa hawarudi kuangalia wamejikwaa wapi, ili wakipita tena njia hiyo, wasije wakajikwaa tena pale pale na wakaanguka tena vile vile.
Kwenye ile dhana ya usaliti wa ule "Waraka wa Mabadiliko", Chadema ilijikwaa mahali kwenye issue ya kumtiimua Zitto, na kiukweli imekula bakora za karma za kutosha, na wahusika wakuu wametandikwa bakora zao, Chadema ikaangukia, na wahusika wakaanguka, kisha wakasimama na kuendelea na safari yake bila ya kuangalia walipojikwaa bali walipoangukia. Ni Kwa nini Chadema wakijikwaa wakaanguka, wakainuka wakaangalia tuu walipoangukia na sio walipo jikwaa, kwasababu Chadema wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii.
Sasa kwenye hili la Halima Mdee, Chadema, imejikwaa tena pale pale ilipojikwa kwenye issue ya kumtumua Zitto, safari hii Chadema bado haijaanguka na bakora za karma bado hazijaanza kutembea.
Kwa vile Zitto alikimbilia mahakamani akashindwa, Chadema wakashangilia ushindi huo, nashukuru mimi niliwaeleza humu kuwaelimisha kuhusu karma, na nikawaambia the consequences ya matendo, hivyo kwenye hili la Halima Mdee, nae amekimbilia mahakamani, ikitokea na Halima akashindwa kama alivyoshindwa Zitto, hivyo Chadema wakafanikiwa kuwatimua rasmi hao wanaowaita Covid 19, naomba mimi niwe mtu wa kwanza kuwaambia the consequences will be very devastating, kwenye karma ya Zitto, angalau someone survived miraculously, I'm not sure kwenye hili, if anyone will!. Kwa kuchelea this, nimejitolea kuishauri Chadema the right thing to do na kuepuka adhabu ya karma.
Dhana ya Usaliti
Sijui ni wanachama wangapi wa Chadema waliusoma ule Waraka wa Mabadiliko, ukiwa ni msomaji mzuri wa maandishi ya mtu fulani, unajikuta unapata skills zinazoitwa graphology, ambapo ukisoma andiko fulani unamjua mwandishi ni nani, Waraka ule wa Mabadiliko sio kazi ya Zitto ile, mimi najua ni kazi ya Nani!.
Contents za Waraka huo ni hoja za ukweli tuu, na sio kweli kuwa lengo la waraka ule ni kufanya Mapinduzi ya uongozi wa juu, waraka ule ulikuwa ni waraka wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition" na kuitumia hiyo winning coalition kushinda nafasi zote za uongozi wa juu ndani ya Chadema kwenye uchaguzi wa ndani.
Kwanini Chadema Itandikwe na Karma?.
Karma inataka haki bin haki.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, CC ya Chadema inauwezo tuu wa kumsimamisha NKM lakini sio mamlaka yake ya nidhamu, hivyo CC ya Chadema haikuwa na uwezo wa kumfukuza Zitto. Mamlaka halali ya nidhamu ya NKM ni Baraza Kuu na mamlaka ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Zitto?. Bakora za karma zimeshughulikia.
The same same scenario ya kutumbuliwa kwa Zitto, imejirudia katika kutimuliwa kwa Halima Mdee, CC ya Chadema ina uwezo wa kumsimamisha tuu Mwenyekiti wa Bawacha, lakini sio mamlaka yake halali ya nidhamu. Mamlaka halali ya nidhamu ya Halima Mdee ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Mdee?. Bakora za karma zitashughulikia!.
A Way Forward
Jumamosi Njema
Paskali.
Chadema ilijikwaa, ikaanguka, ikaangalia tuu pale ilipoangukia, ikainuka, ikaendelea na safari, bila kuangalia ilipojikwa, sasa imejikwaa tena pale pale, Ila bado haijaanguka, hivyo huu ni ushauri wa bure wa kuisaidia this time around, isianguke!.
Mtu unapokuwa umejaaliwa uwezo wa kuona mabaya fulani kupitia kitu kinachoitwa precognition kuwa yatawatokea watu fulani, usipowaambia, halafu yakatokea, utaumia sana kwa a guilty conscious kuwa I saw it coming but you did nothing to help out!. Lakini ukiona jambo baya kinakuja, ukiwaambia, unaweza kuzuia, ila ukiwaambia, wakapuuza, yakija kutokea ya kutokea, angalau hupati a guilt conscious ya dhamira yako kukusuta maana uliwaambia!.
Hivyo hili ni Bandiko la kujitolea kutoa msaada wa bure kabisa
kwa Chadema kwa kuwaelimisha kuhusu kitu kinachoitwa karma ni nini na kinafanyaje kazi "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Japo Wana Macho, Hawaoni!
Japo watu wote wana macho, wengi wana macho ya nje tuu yanayoona vitu vya nje, lakini hawana jicho la ndani (jicho la roho) kuona vitu visivyoonekanika kwa macho ya kawaida, hivyo wanasemwa kuwa wana macho lakini hawaoni.
Japo Wana Masikio, Hawasikii!
Vivyo hivyo kwa masikio, watu wengi wana masikio na wanasikia, ila masikio yao ni masikio ya nje, yanayosikia sauti za nje tuu, lakini hawana sikio la ndani (sikio la roho) kuweza kusikia sauti za ndani "voices from within" hivyo wanasemwa kuwa wana masikio lakini hawasikii.
Jicho la Ndani na Sikio la Ndani
Kila kiumbe anacho ila tumetofautiana sana uwezo wa kutambua, mfano kuna wanyama wana uwezo mkubwa zaidi ya binadamu kutambua hatari. Mfano mbwa anapotumia pua kunusa, amini usiamini, anachonusa sio harufu bali ni sauti ya ndani. Hivyo wale mbwa wanusa mizigo airports au wale panya watengua mabomu, ni wanatumia jicho la ndani na sikio la ndani.
Kwa vile sio watu wote wamejaliwa uwezo wa kutumia jicho la ndani kuona hatari iliyo mbele yetu sisi tuliojaaliwa jicho hilo, na sikio hilo tukiona kitu na tukisikia kitu cha hatari kinakuja kutokea ni vizuri tukasaidia.
Kila tukio, linatokea kwa sababu, everything happens for a reason, hivyo likitokea jambo baya lolote, wengi huishia kwenye kuliangalia tukio tuu la nini kilichotokea na matokeo yake tuu, lakini hawajiulizi the underlying causes za kilichopelekea tukio hilo kutokea, the reasos behind the underlying causes and the consequences.
Hata wengi wakijikwaa na kuanguka, huinuka kujifuta vumbi na kuendelea na safari yao, huwa hawarudi kuangalia wamejikwaa wapi, ili wakipita tena njia hiyo, wasije wakajikwaa tena pale pale na wakaanguka tena vile vile.
Kwenye ile dhana ya usaliti wa ule "Waraka wa Mabadiliko", Chadema ilijikwaa mahali kwenye issue ya kumtiimua Zitto, na kiukweli imekula bakora za karma za kutosha, na wahusika wakuu wametandikwa bakora zao, Chadema ikaangukia, na wahusika wakaanguka, kisha wakasimama na kuendelea na safari yake bila ya kuangalia walipojikwaa bali walipoangukia. Ni Kwa nini Chadema wakijikwaa wakaanguka, wakainuka wakaangalia tuu walipoangukia na sio walipo jikwaa, kwasababu Chadema wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii.
Sasa kwenye hili la Halima Mdee, Chadema, imejikwaa tena pale pale ilipojikwa kwenye issue ya kumtumua Zitto, safari hii Chadema bado haijaanguka na bakora za karma bado hazijaanza kutembea.
Kwa vile Zitto alikimbilia mahakamani akashindwa, Chadema wakashangilia ushindi huo, nashukuru mimi niliwaeleza humu kuwaelimisha kuhusu karma, na nikawaambia the consequences ya matendo, hivyo kwenye hili la Halima Mdee, nae amekimbilia mahakamani, ikitokea na Halima akashindwa kama alivyoshindwa Zitto, hivyo Chadema wakafanikiwa kuwatimua rasmi hao wanaowaita Covid 19, naomba mimi niwe mtu wa kwanza kuwaambia the consequences will be very devastating, kwenye karma ya Zitto, angalau someone survived miraculously, I'm not sure kwenye hili, if anyone will!. Kwa kuchelea this, nimejitolea kuishauri Chadema the right thing to do na kuepuka adhabu ya karma.
Dhana ya Usaliti
Sijui ni wanachama wangapi wa Chadema waliusoma ule Waraka wa Mabadiliko, ukiwa ni msomaji mzuri wa maandishi ya mtu fulani, unajikuta unapata skills zinazoitwa graphology, ambapo ukisoma andiko fulani unamjua mwandishi ni nani, Waraka ule wa Mabadiliko sio kazi ya Zitto ile, mimi najua ni kazi ya Nani!.
Contents za Waraka huo ni hoja za ukweli tuu, na sio kweli kuwa lengo la waraka ule ni kufanya Mapinduzi ya uongozi wa juu, waraka ule ulikuwa ni waraka wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition" na kuitumia hiyo winning coalition kushinda nafasi zote za uongozi wa juu ndani ya Chadema kwenye uchaguzi wa ndani.
Kwanini Chadema Itandikwe na Karma?.
Karma inataka haki bin haki.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, CC ya Chadema inauwezo tuu wa kumsimamisha NKM lakini sio mamlaka yake ya nidhamu, hivyo CC ya Chadema haikuwa na uwezo wa kumfukuza Zitto. Mamlaka halali ya nidhamu ya NKM ni Baraza Kuu na mamlaka ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Zitto?. Bakora za karma zimeshughulikia.
The same same scenario ya kutumbuliwa kwa Zitto, imejirudia katika kutimuliwa kwa Halima Mdee, CC ya Chadema ina uwezo wa kumsimamisha tuu Mwenyekiti wa Bawacha, lakini sio mamlaka yake halali ya nidhamu. Mamlaka halali ya nidhamu ya Halima Mdee ni Baraza Kuu na mamlaka yake ya Rufaa ni Mkutano Mkuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Mdee?. Bakora za karma zitashughulikia!.
A Way Forward
- Kitu muhimu cha kwanza kwa Chadema kufanya ni kutengua maamuzi yote kuwahusu hao wabunge 19 kuwa bado ni wanachama halali wa Chadema na kuwakubalia waendelee na ubunge wao.
- Baada ya kurejeshewa uanachama wao, wafute kesi iliyopo mahakamani
- Chadema kufanya a due process, uteuzi wao ulifanyikaje. Ikijiridhisha kuna jinai then waripoti rasmi polisi.
- Kule wathibitishe jinai ya forgery imefanywa na polisi kufanya uchunguzi wa kijinai na ikithibitishwa tuu jinai hiyo, then ni NEC ndio watakao watengua ubunge wao.
- Process ya mashitaka ya ndani ifanyike kwa mujibu wa katiba ya Chadema.
- Only ring leaders ndio waadhibiwe kwa kulazimishwa kuomba msamaha, na kuvuliwa vyeo vyote wabaki wanachama wa kawaida.
- Na wakosaji hao wakishupaza shingo zao then watimuliwe kwa haki na sio kwa kutumia a Kangaroo Court kama mwanzo.
- Hili likifanyika, Chadema itakuwa imewatendea haki wanachama wake.
- Adhabu ya bakora za karma ninazoziona hazitakuja, hazita itandika Chadema, Chadema itakuwa salama na viongozi wake watakuwa salama.
- Chadema will prosper again, uchaguzi wa 2025 watashinda baadhi ya majimbo.
Jumamosi Njema
Paskali.