ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Mbona Hujamtaja mhuni mwenzio ******** kwenye bandiko lako?eti alikua mtetezi wa wanyonge🤣🤣✌️✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu John7371, kwanza, nimefarijika sana kujua na wewe ni miongoni mwa watu wenye uwezo wa kufanya critical thinking and critical analysis. Watu wenye uwezo huo ni wachache hata humu jf, kwasababu, ili mtu awe na uwezo huo wa critical thinking na critical analysis ni lazima mtu huyo awe, bright and brilliant with good brain and intelligent mind.
Mimi nina bahati tuu kuzaliwa kwenye familia ambayo both parents, Baba na Mama ni watu wa 'Idara' hivyo nimezaliwa with security conscious hivyo kuonekana kama ofisa kipenyo na kwa vile wazazi ni huko, watu wanaamini mwana wa nyoka ni nyoka.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwetu tumezaliwa 8, we can't all be nyokas wengine ni mijusi.
Hizi the voices from within ni kweli kabisa nazisikia sauti na sio tips from deep state!. Karma nimeisoma nilipoishi New Delhi, India hivyo kuna vitu vinavyosabisha bad karma naviona vikifanywa, kazi yangu it's just to warn kuhusu karma, halafu bakora za karma zikishuka najua hizi ni bakora za karma. Mfano baada ya ushindi wa JPM, ile 2015, nilipandisha uzi huu, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! mtu wa deep state hawezi kupandisha bandiko kama hilo.
Na hata sasa watu wasio na jicho la roho wanaanza kumchagiza Samia kugombea 2025, mimi nimeunga mkono ya 2025 twende na Nagombea mwanamke, ila nikasema sio lazima awe Samia!, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! halafu nikasikia sauti hii Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!, mtu wa deep state, hawezi kuandika kitu kama hii!.
Hivyo rest assured mimi sii sehemu ya deep state, ila niko vizuri kwenye intels na hao deep state, kuna vitu tunaviweka humu, vinawasaidia kama hii kitu Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya? ... mwisho wa siku, jamaa walikula kichwa!, sasa ni mlango wazi! TOKA GEREZANI MPAKA BUNGENI-Nusrat hanje.only idiot won't recognize the key role played by dikteta uchwara
Wanabodi,
.
Mwenye macho na aone Mwenye masikio na asikie!.
- Hili likifanyika, Chadema itakuwa imewatendea haki wanachama wake.
- Adhabu ya bakora za karma ninazoziona hazitakuja, hazita itandika Chadema, Chadema itakuwa salama na viongozi wake watakuwa salama.
- Chadema will prosper again, uchaguzi wa 2025 watashinda baadhi ya majimbo.
Jumamosi Njema
Paskali.
Mkuu The Palm Beach, karma is the law of cause & effects kwa kuhukumiwa kwa matendo yako, ukitenda mema, unalipwa mema, na ukitenda uovu unaafhibiwa!.Hivi hiyo "laana' au "karma" huwapata tu watu kwa kuwa tu fulani wewe Pascal Mayalla umsema, au..?
CHADEMA ni karma gani inayowatandika kwa mfano...?
Hatimaye Chadema sasa wamefunguka macho, they are now doing the right thing na sasa ushauri huu wa bandiko hili ndio unakwenda kufanyika.Wanabodi,
Chadema ilijikwaa, ikaanguka, ikaangalia tuu pale ilipoangukia, ikainuka, ikaendelea na safari, bila kuangalia ilipojikwa, sasa imejikwaa tena pale pale, Ila bado haijaanguka, hivyo huu ni ushauri wa bure wa kuisaidia this time around, isianguke!.
A Way Forward
Mwenye macho na aone Mwenye masikio na asikie!.
- Kitu muhimu cha kwanza kwa Chadema kufanya ni kutengua maamuzi yote kuwahusu hao wabunge 19 kuwa bado ni wanachama halali wa Chadema na kuwakubalia waendelee na ubunge wao.
- Baada ya kurejeshewa uanachama wao, wafute kesi iliyopo mahakamani
- Chadema kufanya a due process, uteuzi wao ulifanyikaje. Ikijiridhisha kuna jinai then waripoti rasmi polisi.
- Kule wathibitishe jinai ya forgery imefanywa na polisi kufanya uchunguzi wa kijinai na ikithibitishwa tuu jinai hiyo, then ni NEC ndio watakao watengua ubunge wao.
- Process ya mashitaka ya ndani ifanyike kwa mujibu wa katiba ya Chadema.
- Only ring leaders ndio waadhibiwe kwa kulazimishwa kuomba msamaha, na kuvuliwa vyeo vyote wabaki wanachama wa kawaida.
- Na wakosaji hao wakishupaza shingo zao then watimuliwe kwa haki na sio kwa kutumia a Kangaroo Court kama mwanzo.
- Hili likifanyika, Chadema itakuwa imewatendea haki wanachama wake.
- Adhabu ya bakora za karma ninazoziona hazitakuja, hazita itandika Chadema, Chadema itakuwa salama na viongozi wake watakuwa salama.
- Chadema will prosper again, uchaguzi wa 2025 watashinda baadhi ya majimbo.
Jumamosi Njema
Paskali.